Kwanini wachezaji wa Al Ahly walikuwa wanaonyesha 2-2 toka goli la kwanza lilivyofungwa?

Kwanini wachezaji wa Al Ahly walikuwa wanaonyesha 2-2 toka goli la kwanza lilivyofungwa?

Hiyo ni ishara Yao kuwa wapo pamoja na Palestina
Mbona mchezaji wa Bayern aliandika kwenye mitandao ya kijamii kwamba yuko pamoja na Palestine halafu Bayern wakamfungia Kwanza kucheza michezo inayoendelea
 
Majibu swali la kwanza ( mathematically)

Kuhusu kuweka vidole viwili juu

Walimaanisha kuwa Al ahly watafunga goals 2........lkn makolo wakienda kwao watapigwa 2 × 5 ( kiganja Cha mkono)

Means jumanne Simba atakula 10
Aaahaaaa
 
Mkuu iyo alama ya vidole viwili viwili na kuweka kama alama ya X kati ni ujumbe wa kuwa palestine iachwe free na vile vidole viwili ni alama ya victory iyo pia ni kwa ajili ya palestine so hao ahly wapo bega kwa bega na wapalestina na ndo mana wameshangilia vile.
Wewe ndo uko sahihi 100%
 
Majibu swali la kwanza ( mathematically)

Kuhusu kuweka vidole viwili juu

Walimaanisha kuwa Al ahly watafunga goals 2........lkn makolo wakienda kwao watapigwa 2 × 5 ( kiganja Cha mkono)

Means jumanne Simba atakula 10
Una kazi kubwa sana ya kuipambania Simba.

Una energy kubwa Sana!

Halafu Kila kitu unajua!
 
Daah kuna watu wana tia aibu jamani...bora mtoa mada kauliza...ila majibu ya Utopolo sasa....pale wana peleka ujumbe kwa Wapalestina...
 
Majibu swali la kwanza ( mathematically)

Kuhusu kuweka vidole viwili juu

Walimaanisha kuwa Al ahly watafunga goals 2........lkn makolo wakienda kwao watapigwa 2 × 5 ( kiganja Cha mkono)

Means jumanne Simba atakula 10
Unahangaika wee na vikejeli weee wakati chura wa mtaroni atapasuliwa taqo kesho kutwa tu tena kwa mkapa na sio chini ya 3
 
Mbona mchezaji wa Bayern aliandika kwenye mitandao ya kijamii kwamba yuko pamoja na Palestine halafu Bayern wakamfungia Kwanza kucheza michezo inayoendelea
Hilo lipo chin ya club Cha soka Cha Nchi husika si FIFA Wala CAF
 
Wale mliokuwa mnakejeli hoja yangu ya kuhusu jezi, mmeona kilichotokea jana?
 
Back
Top Bottom