Kwanini wachezaji wa Tanzania wana spidi ndogo uwanjani?

Kwanini wachezaji wa Tanzania wana spidi ndogo uwanjani?

Akilindogosana

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
4,303
Reaction score
12,679
Kuna changamoto kubwa kwa wachezaji wa Tanzania. Wanakuwa na spidi ndogo sana uwanjani pia wana spidi ndogo ya maamuzi. Bila kusahau makosa katika kukaba, kutoa pasi/cross na kumalizia magoli.

Je, kuna suluhisho?
 
Huwezi kula ugali ukawa na maamuzi ya haraka.Mahindi ni chakula cha wanyama.

Bado nafuatilia kuona kama hiki ni chakula cha asili ama kililetwa na wazungu kwa ajili ya watumwa. Huenda hata kuna sumu inaua nguvu za ubongo wetu kwenye hivi vyakula.

Chakula nilicho na uhakika nacho ni mtama na uwele tu
 
Wachezaji wetu Wana akisi hali halisi ya sisi Watanzania tulivyo na tunavyoishi....uvivu na kutojituma hasa tunapoona kuwa tupo kwenye kilele Cha mafaniki.

Sisi ni watu wa kuridhika na kubweteka hali ya wachezaji wetu ndio hivyo hivyo mpaka maofisini na sehemu sehemu zingine za kazi.

Mtanzania sehemu pekee anayojituma na kuwa na speed ya ajabu ni kwenye ngono na wizi.....lakini kwenye masuala ya uwajibikaji kwa ajili ya taasisi au eneo lake la kazi ni sifuri hata uwanjani unaona tofauti kati ya mgeni na mwenyeji.
 
Makuzi duni ya soka wachezaji wetu wengi wanajifunza mpira kweny mifumo isiyo rasmi wanajikuza wenyewe jaribu kuangalia mitaani tu utaukuta vijana mazoezi ya mpira wanaofanya ni aina moja Kila siku,hawana makocha wazuri wanakuwasimamia wanasimamiwa na watu wahuni wahuni tu kijana akichelewa mazoezi utasikia kocha Ake anamwambia kimbia Round kumi uwanja kiufupi hakuna programme speed haipatkan tu eti kwakua unakimbia uwanja Round mia zaidi zaidi utaishia tu kuchosha kifua chako,njoo kweny Lishe vijana wakitoka mazoezi wanaenda kula chapati na maharage Kwa mamantilie iyo speed itatoka wapi kiufupi tunahitaji mifumo rasmi ya kukuza vijana sio kuokota okota wachezaji ovyo
 
Wewe jamaa kweli una Akilindogosana! Mbona Clotus Chama anaitwa kiungo konokono kwa sababu ya kucheza mpira wa aina hiyo hiyo! Na yeye ni Mtanzania?

Ulishawahi kuwasikia akina Edibily Lunyamila, Said Maulid SMG, Said Swed SCUD, na wengineo wengi? Au umezaliwa hapa juzi kati?
😂
 
Wachezaji wetu Wana akisi hali halisi ya sisi Watanzania tulivyo na tunavyoishi....uvivu na kutojituma hasa tunapoona kuwa tupo kwenye kilele Cha mafaniki.

Sisi ni watu wa kuridhika na kubweteka hali ya wachezaji wetu ndio hivyo hivyo mpaka maofisini na sehemu sehemu zingine za kazi.

Mtanzania sehemu pekee anayojituma na kuwa na speed ya ajabu ni kwenye ngono na wizi.....lakini kwenye masuala ya uwajibikaji kwa ajili ya taasisi au eneo lake la kazi ni sifuri hata uwanjani unaona tofauti kati ya mgeni na mwenyeji.
Kama kuna ukweli hivi. Yaani kotekote hata nje ya michezo tuna maamuzi ya taratibu na ya hovyohovyo 😂😂
 
Kama kuna ukweli hivi. Yaani kotekote hata nje ya michezo tuna maamuzi ya taratibu na ya hovyohovyo 😂😂
Hii ni ukweli.....na ukweli huu huwezi kuuona mpaka uwe umefanya kazi na watu wa mataifa mbali mbali.... utagundua kuwa sisi huku ni mwendo wa Kobe sana........

Niliwahi kununua mzigo sehemu fulani vifaa vya Ujenzi nilituma oda nikaomba proforma invoice tangu saa nne asubuhi imekuja kutumwa saa nane mchana.......hebu fikiria jambo rahisi kama proforma invoice ambayo huitungi bali ipo kwenye system wewe ni kujaza tu na kuprint lakini ni shida.........

Niliwahi kufanya kazi kwenye taasisi moja yaani kila siku nilikuwa nagombana na mdada mmoja pale ofisini....yaani ofisi nzima watu wanatembea na kufanya kazi kama mazombi au kama wapo gerezani.......

Kitu pekee wanachozingatia ni mida ya lunch na siku za sikukuu.........
 
Huwezi kula ugali ukawa na maamuzi ya haraka.Mahindi ni chakula cha wanyama.

Bado nafuatilia kuona kama hiki ni chakula cha asili ama kililetwa na wazungu kwa ajili ya watumwa. Huenda hata kuna sumu inaua nguvu za ubongo wetu kwenye hivi vyakula.

Chakula nilicho na uhakika nacho ni mtama na uwele tu
Hakika
 
Kuna changamoto kubwa kwa wachezaji wa Tanzania. Wanakuwa na spidi ndogo sana uwanjani pia wana spidi ndogo ya maamuzi. Bila kusahau makosa katika kukaba, kutoa pasi/cross na kumalizia magoli.

Je, kuna suluhisho?
Wengi huwa hawapendi yale mazoezi ya kupa ga koni... Wenye wana kwambiaga huu ni mpira wa miguu sio Riaza ... Sasa wakikutanaga na wanyama wanao serereka ktk flanks aisee huwa ni majutoo mtu kama M17 huwa anatesekaga yule mwamba ila anajikazaga sana alafu ni bedui hasaa
 
Hivyo vitu vyote mchezaji anafundishwa kwenye umri mdogo ili awe na basic football skills na Tanzania hatuna mtaaala unaotuongoza kwenye mpira ndio maana wachezaji wetu wengi wakienda trial wanafeli kwasababu wanakosa basic football skills hatuna misingi ya mpira wachezaji wetu tunatoa tu mtaani wakati wenzetu wachezaji wao wanatoa kwenye academy.
 
Hii ni ukweli.....na ukweli huu huwezi kuuona mpaka uwe umefanya kazi na watu wa mataifa mbali mbali.... utagundua kuwa sisi huku ni mwendo wa Kobe sana........

Niliwahi kununua mzigo sehemu fulani vifaa vya Ujenzi nilituma oda nikaomba proforma invoice tangu saa nne asubuhi imekuja kutumwa saa nane mchana.......hebu fikiria jambo rahisi kama proforma invoice ambayo huitungi bali ipo kwenye system wewe ni kujaza tu na kuprint lakini ni shida.........

Niliwahi kufanya kazi kwenye taasisi moja yaani kila siku nilikuwa nagombana na mdada mmoja pale ofisini....yaani ofisi nzima watu wanatembea na kufanya kazi kama mazombi au kama wapo gerezani.......

Kitu pekee wanachozingatia ni mida ya lunch na siku za sikukuu.........
Ee Mungu tuokoe
 
Kuna changamoto kubwa kwa wachezaji wa Tanzania. Wanakuwa na spidi ndogo sana uwanjani pia wana spidi ndogo ya maamuzi. Bila kusahau makosa katika kukaba, kutoa pasi/cross na kumalizia magoli.

Je, kuna suluhisho?

Sio wachezaji wa Tanzania, Sema wachezaji wa Yanga.
 
Back
Top Bottom