Kwanini wachina wamekuwa wengi sana?

Kwanini wachina wamekuwa wengi sana?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Nilizoea kuwaona wachina Dar es Salaam tu lakini nimeshangaa kuwakuta wachina hadi huko Kigoma vijijini, mwanzo nilidhani labda ni wakandarasi kwenye miradi ya barabara, lakini hapana, unawakuta wapo barabarani wanazurura, nilishangaa mpaka wanauza vyombo, yaani wanakodi gari na kuanza kukopesha vyombo kwenye taasisi za kiserikali.

Nimejikuta nashangaa tu, maana hata Kariakoo siku hizi na wao wanamiliki maduka, Juzi mmesikia Kuna boat kutoka Kigoma kwenda Congo inaitwa mama Benita ilizama, wachina walikuwa kama 6 hivi, Hawa jamaa ni wanasaka opportunity sehemu yoyote ile, nadhani upambanaji wao ndio unawafanya hata nchini kwao kutajirika.

Tumeng'ang'ania kukaa mijini tukiwa na maisha ya ufukara lakini hawa jamaa nadhani wameingia Kwa Kasi kutufundisha kitu.
 
Nilizoea kuwaona wachina Dar es Salaam tu lakini nimeshangaa kuwakuta wachina hadi huko Kigoma vijijini, mwanzo nilidhani labda ni wakandarasi kwenye miradi ya barabara, lakini hapana, unawakuta wapo barabarani wanazurura, nilishangaa mpaka wanauza vyombo, yaani wanakodi gari na kuanza kukopesha vyombo kwenye taasisi za kiserikali.

Nimejikuta nashangaa tu, maana hata Kariakoo siku hizi na wao wanamiliki maduka, Juzi mmesikia Kuna boat kutoka Kigoma kwenda Congo inaitwa mama Benita ilizama, wachina walikuwa kama 6 hivi, Hawa jamaa ni wanasaka opportunity sehemu yoyote ile, nadhani upambanaji wao ndio unawafanya hata nchini kwao kutajirika.

Tumeng'ang'ania kukaa mijini tukiwa na maisha ya ufukara lakini hawa jamaa nadhani wameingia Kwa Kasi kutufundisha kitu.
Sheria za kibiashara ndan y nchi yetu n rahc kwa wagen kfanya biashara kama hzo
 
Kweli kabisa mkuu.
Huku Tabora- Kaliua nilimuona mchina mwanamke anauza Simu ajui english/kiswahili bei kaandika kwenye calculator.

So mnaongea kama mabubu kuna kitu kikubwa nilijifunza kutoka kwao kituicho ni usiogope kwenda sehem kutafuta fursa.

Issue ya mjini ni kweli watu wanaishi life gumu ila hawataki kutoka kwenda vijijin/majiji kutafuta fursa.
 
Nilizoea kuwaona wachina Dar es Salaam tu lakini nimeshangaa kuwakuta wachina hadi huko Kigoma vijijini, mwanzo nilidhani labda ni wakandarasi kwenye miradi ya barabara, lakini hapana, unawakuta wapo barabarani wanazurura, nilishangaa mpaka wanauza vyombo, yaani wanakodi gari na kuanza kukopesha vyombo kwenye taasisi za kiserikali.

Nimejikuta nashangaa tu, maana hata Kariakoo siku hizi na wao wanamiliki maduka, Juzi mmesikia Kuna boat kutoka Kigoma kwenda Congo inaitwa mama Benita ilizama, wachina walikuwa kama 6 hivi, Hawa jamaa ni wanasaka opportunity sehemu yoyote ile, nadhani upambanaji wao ndio unawafanya hata nchini kwao kutajirika.

Tumeng'ang'ania kukaa mijini tukiwa na maisha ya ufukara lakini hawa jamaa nadhani wameingia Kwa Kasi kutufundisha kitu.
Sera sera sera zimewaruhusu mpaka kufanya biashara za uchuuzi wakati si sawa.
 
Nilizoea kuwaona wachina Dar es Salaam tu lakini nimeshangaa kuwakuta wachina hadi huko Kigoma vijijini, mwanzo nilidhani labda ni wakandarasi kwenye miradi ya barabara, lakini hapana, unawakuta wapo barabarani wanazurura, nilishangaa mpaka wanauza vyombo, yaani wanakodi gari na kuanza kukopesha vyombo kwenye taasisi za kiserikali.

Nimejikuta nashangaa tu, maana hata Kariakoo siku hizi na wao wanamiliki maduka, Juzi mmesikia Kuna boat kutoka Kigoma kwenda Congo inaitwa mama Benita ilizama, wachina walikuwa kama 6 hivi, Hawa jamaa ni wanasaka opportunity sehemu yoyote ile, nadhani upambanaji wao ndio unawafanya hata nchini kwao kutajirika.

Tumeng'ang'ania kukaa mijini tukiwa na maisha ya ufukara lakini hawa jamaa nadhani wameingia Kwa Kasi kutufundisha kitu.
Niliwai kupanda bus la tunduma kulikua na wachina 11 mle ndani nikawa nashangaa hawa wanaenda wapi?
Kufanya nini?
Ilikua zamani sana
 
Kweli kabisa mkuu.
Huku Tabora- Kaliua nilimuona mchina mwanamke anauza Simu ajui english/kiswahili bei kaandika kwenye calculator.

So mnaongea kama mabubu kuna kitu kikubwa nilijifunza kutoka kwao kituicho ni usiogope kwenda sehem kutafuta fursa.

Issue ya mjini ni kweli watu wanaishi life gumu ila hawataki kutoka kwenda vijijin/majiji kutafuta fursa.
Huku wanauza vyombo, wanatembea na wakalimani wao.
 
Back
Top Bottom