Mimi nimeenda Jana nimekuta Kule kwenye mahema wanaweka msingi nadhani ndio ukarabati ndio unaanza hivyoNa pesa anapiga za kutosha.
Nilikwenda Ila niliogopa kuingia kwenye lile jengo.
Linatishaaa.nondo zinaonekana.nyufa.
Alafu wenyewe Hawana hata habari.
Au wangemuuzia liwe lake uenda anaogopa kufanya ukarabati sababu sio lake
Na iwe hivyoMimi nimeenda Jana nimekuta Kule kwenye mahema wanaweka msingi nadhani ndio ukarabati ndio unaanza hivyo
Ww ndo utakua unaita majina au mpuuz m1 wwWachungaji wa kisabato wameajiriwa ni kama mfanyakazi wa serikali, so hawana ubavu wa kugusa hata senti moja ya sadaka, zaka au shs yoyote iliyoingia kwenye eneo la kanisa lao.
Mchungaji anaweza kufanya biashara zake (wapo wanaofanya tunawafahamu) ila kwa si kwa uwazi sana maana kwa mfumo wa kanisa hilo si haki kwa mchungaji kufanya biashara huku anaongoza kondoo, lazima pesa itakuwa na nguvu.
Kutokana na hilo wamekasimishwa kuishi na kula madhabahuni tu, iyo ndiyi inapekea wengi wasionekane wana ukwasi.
mimi mwombezi wangu sio maria wala musa, ni Yesu Kristo, yeye ndiye advocate wetu sisi, ukiokoka anakuwa advocate wako, kama haujaokoka hawezi kuwa advocate wako. ninyi wasabato mnaupinga wokovu ndio maana nimesema hamna advocate wa kuwaombea.Umelishwa tango pori. Yesu ndie njia na uzima hakuna mkristo wa kweli anaye paswa mtumainia musa wala bikira maria wala mafuta ya upako wala sijui vitambaa gani hivyo vyote mnapigwa tu na watumishi matapeli
Yohana 1;17 wanaikataa neema wanang'ang'ania sheria,mimi mwombezi wangu sio maria wala musa, ni Yesu Kristo, yeye ndiye advocate wetu sisi, ukiokoka anakuwa advocate wako, kama haujaokoka hawezi kuwa advocate wako. ninyi wasabato mnaupinga wokovu ndio maana nimesema hamna advocate wa kuwaombea.
Kwa sababu hawajakombolewa kwenye vifungo vya umaskiniNimepata kuona makanisa mengi kukiwa na wachungaji wenye ukwasi mkubwa sana wa mali na fedha.
Kwa upande wa wasabato naona wachungaji wana hali za kawaida sana kiuchumi, Nmefanya ka research kidogo ikitokea mchungaji ana pesa nyingi basi ujue kwamba ana ajira inayomlipa vizuri au biashara nyingine nje ya uchungaji.
Jamaa anawauzia watu maji kwa bei isiyohalisi ya soko na TRA awapati kodi pale.Juzi nilienda pale kawe.
Aisee Yule jamaa anapiga hela.
Maji hela ,mafuta hela ,bado sadaka hapo acha tu.
Ila afanye mpango arekebishe jengo lile.yasije yakatokea ya goba.
Jengo limechoka sana mvua ikinyesha wanakuwa pa ovyo Sana.
Apake japo RANGI