Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Hopefully, now you know!!Nimejifunza leo baada ya kusema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopefully, now you know!!Nimejifunza leo baada ya kusema
yeah', absolutely..!![emoji87] [emoji87] kumbee
Naomba no yako ya siku ili nitumie fursa vizuri kabisa, tafadhali wahisha haraka iwezekanavyo Mama [emoji87]Ukiona mwanamke kaanza kwa kukuomba pesa mwanzo kabisa wa mahusiano ama pengine hata hujamtongoza, that's the easiest way of telling you that 'you don't deserve to be in her life'..!
Hakuna aliye tayari kukipoteza chenye thamani kwenye maisha yake!!
Mtajifunza lini hili wanaume??
😀 😀 😀Naomba no yako ya siku ili nitumie fursa vizuri kabisa, tafadhali wahisha haraka iwezekanavyo Mama [emoji87]
unapogonga type ya mwanamke wa hivyo ukumbuke kuvaa condom 4 maanaAlphaMale,
Mjuba mmoja aliniambia ukiona binti anapenda kuomba omba hela huyo dawa yake ni kumgonga na kumtema
umelenga na hili jiwe lina shabaa limetua sehemu husikaMleta mada nakushangaa aana. Inaonekana siku hizi hamjui kutongoza. Nikimpenda demu. Kazi ya kwanza ni kumpa huduma ndogo ndogo. Chakula, nauli, muda wa maongezi n.k. Alainike. Nikimwambia hachomoi.
Demu kupewa ni wajibu. Kama hutaki kutoa usitongoze.
Hata mke usipomnunulia nguo na chupi zitanunuliwa na mwingine.
Ukiona mwanamke kaanza kwa kukuomba pesa mwanzo kabisa wa mahusiano ama pengine hata hujamtongoza, that's the easiest way of telling you that 'you don't deserve to be in her life'..!
Hakuna aliye tayari kukipoteza chenye thamani kwenye maisha yake!!
Mtajifunza lini hili wanaume??
yan kila siku tunawambia lkn hawasikii ukiona unaombwa hela mapema jua HUPENDWIUkiona mwanamke kaanza kwa kukuomba pesa mwanzo kabisa wa mahusiano ama pengine hata hujamtongoza, that's the easiest way of telling you that 'you don't deserve to be in her life'..!
Hakuna aliye tayari kukipoteza chenye thamani kwenye maisha yake!!
Mtajifunza lini hili wanaume??
Hapana hiyo miguu niiiangalia tu kwenye pp yako moyo wangu unapigwa shoti ya msisimko, plz and plz send to me your phone no....[emoji23]😀 😀 😀
Mbinu uliyotumia ni moto sana!
Hongera.!!
Ha ha ha..... ni kweli kabisa mkuu. lakini ujue wakati mwingine ukisoma kitu cha mtu japo hata mstari mmoja ndo unapata wazo la kutoa elimu kwa watuTALLMAN12, Kwaurefu wa hili jibu inatakiwa mjibuji alifungulie thread yake
Kwasbb mwanaume ndo kichwa cha familia... Sasa ww ndo kichwa lazma umuhudumie mke ila hujaoa yeye akamuombe Nani pesa??
tulia tu mkuuKuna kitu umenikumbusha hapa mkuu😂😂😂😂 daaaah...! Anyway, nisije hali ya hewa.🙏🙏🙏🙏
Kabisa mkuu😂😂😂 kuna watu wanatumia nguvu nyingi hadi unashangaa hawa watu wanakwama wapi au bado teens.tulia tu mkuu
yasije tokea ya ebitoke tafadhali
kausha huko huko....
😂 😂 😂 😂