Kwanini wadada wengi mnatuombaga hela baada ya sisi kuwatongoza?

Kwanini wadada wengi mnatuombaga hela baada ya sisi kuwatongoza?

Ukiona mwanamke kaanza kwa kukuomba pesa mwanzo kabisa wa mahusiano ama pengine hata hujamtongoza, that's the easiest way of telling you that 'you don't deserve to be in her life'..!
Hakuna aliye tayari kukipoteza chenye thamani kwenye maisha yake!!
Mtajifunza lini hili wanaume??
Naomba no yako ya siku ili nitumie fursa vizuri kabisa, tafadhali wahisha haraka iwezekanavyo Mama [emoji87]
 
Mleta mada nakushangaa aana. Inaonekana siku hizi hamjui kutongoza. Nikimpenda demu. Kazi ya kwanza ni kumpa huduma ndogo ndogo. Chakula, nauli, muda wa maongezi n.k. Alainike. Nikimwambia hachomoi.
Demu kupewa ni wajibu. Kama hutaki kutoa usitongoze.
Hata mke usipomnunulia nguo na chupi zitanunuliwa na mwingine.
 
Mleta mada nakushangaa aana. Inaonekana siku hizi hamjui kutongoza. Nikimpenda demu. Kazi ya kwanza ni kumpa huduma ndogo ndogo. Chakula, nauli, muda wa maongezi n.k. Alainike. Nikimwambia hachomoi.
Demu kupewa ni wajibu. Kama hutaki kutoa usitongoze.
Hata mke usipomnunulia nguo na chupi zitanunuliwa na mwingine.
umelenga na hili jiwe lina shabaa limetua sehemu husika

Kweli nashangaa unaharaka ya nn kumwambia mwanamke nakupenda,sijui fye fye fye

let your actions speak, ukija kutongoza hata huongei neno moja Ile ukianza tuuu

anakuziba mdomo anakwambia funga macho "ukifumba" unamkuta kajaa kwenye lips

That means Yes is her OPTION.
 
Endelea tu hivohivo kutukumbusha hii jinsia yangu kuna watu vichwa vigumu
Ukiona mwanamke kaanza kwa kukuomba pesa mwanzo kabisa wa mahusiano ama pengine hata hujamtongoza, that's the easiest way of telling you that 'you don't deserve to be in her life'..!
Hakuna aliye tayari kukipoteza chenye thamani kwenye maisha yake!!
Mtajifunza lini hili wanaume??
 
Ukiona mwanamke kaanza kwa kukuomba pesa mwanzo kabisa wa mahusiano ama pengine hata hujamtongoza, that's the easiest way of telling you that 'you don't deserve to be in her life'..!
Hakuna aliye tayari kukipoteza chenye thamani kwenye maisha yake!!
Mtajifunza lini hili wanaume??
yan kila siku tunawambia lkn hawasikii ukiona unaombwa hela mapema jua HUPENDWI
 
Hao Wanawake walikufaga enzi za vita vya Kagera, siku hizi ukichukua tu no za simu hata kabla hujamtongoza tayari ushakuwa ATM CARD.
 
Kwasbb mwanaume ndo kichwa cha familia... Sasa ww ndo kichwa lazma umuhudumie mke ila hujaoa yeye akamuombe Nani pesa??

Ukitongozwa tu unakuwa mke [emoji15][emoji15][emoji15]

Eti akamuombe nani pesa, jana ulimwomba nani..? [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi Jana nimekatongoza kademu twitter tumetumiana msg 5 kanasema kana shida na 10000 dah nikaona kweli sikuhz pesa mbele mapenzi badae
 
Back
Top Bottom