Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Teh hata wewe hujapata wanawake kama mimi mkuu labda umezoea wale ambao ukiwafokea wananywea ila kwangu kabhi nahi. Mimi conditions za kukuheshimu ni uwe muaminifu na usimamie majukumu yako tofauti na hapo usitegemee heshima yoyote toka kwangu na ukiniforce tutaonana wabaya asee.
Nimeshakutana na Ke wenye misimamo kama yako lakini mwisho waliufyata. Wa mwisho alikuwa mtata hasa lakini alifikia mpaka kuuweka udini rehani ili tu apate kuwa nami, Mimi ndiye nkaona hatari.
Mdogo wangu jua tu hujapata wa kukuongoza. Mwanamke yeyote ni mwepesi kwa mwanaume anayejitambua.
 
Teh hata wewe hujapata wanawake kama mimi mkuu labda umezoea wale ambao ukiwafokea wananywea ila kwangu kabhi nahi. Mimi conditions za kukuheshimu ni uwe muaminifu na usimamie majukumu yako tofauti na hapo usitegemee heshima yoyote toka kwangu na ukiniforce tutaonana wabaya asee.
Huna lolote, ni ubaya gani sasa, huna jeuri hiyo, huna ubaya wowote wa kunionyesha.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Two faced.

Multiple personalities.

Im not tattooed, pierced....

I do smoke ila ukiniona huwezi dhania , Lend me your ears once you'll never regret...

Utakuja for more dakika mbili pichu ushavua...

Tunhevaag x rabaan -Badboy dedication kwa mabadbois.


Fucboi
 
Oohh ninyi si mmezoea mnapata wale wanawake wanaowapapatikia na kuwanyenyekea na ndiyo mnafikiri kila mwanamke yuko hivyo! Sisi wengine vichwa ngumu bwashee!
Kichwa ngumu.

Hapa itakuwa laini.
 
Haha kama unadhani kujitambua ni kuwa mbabe bila sababu za msingi my friend kwangu utasanda mapema sana! Kuna wanawake wenzangu nawafahamu wanajikutaga watata but kwangu wamenyanyua mikono na wanajua hawanifikii!

Hujakutana na mwanamke mwenye misimamo kama yangu mkuu wangu trust me! Mimi nikisema NO ni NO na nikisema YES ni YES yaani mimi nikiamua kitu sifanyi ni sifanyi na nikisema nafanya basi lazima nitafanya no mattet what!

Kama wazazi wangu tu ninaowapenda na kuwaheshimu sana walinishindwa na kunyanyua mikono kwa misimamo yangu! Basi sidhani kama kuna kiumbe mwingine yeyote ataniweza na uzuri wangu sibembelezagi mtu ukinishindwa off you go!
Mimi nilivyo, huwa nasimamia katika "what is best for both of us, na us namaanisha Mimi, mke na watoto". So kama msimamo wako una mashiko na uadilifu kwetu ntakubaliana na wewe Karma Ila kama Hamna hamna sitaukubali.
Halafu Mimi ni Mara chache kutumia nguvu Ila Mara nyingi natumia soft power niliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu. Lazima nitetee na nisimamie kile nnachoona ni kizuri kwa Sasa na baadaye.
Amin Amina nakwambia mwamba mgumu huwa unamalizwa na maji yanayotiririka kila siku. Hiyo misimamo yako inayeyushwa na namna ntakavyo ku treat kila siku.
 
Mkuu ndiyo maana awali nilisema mimi mwanaume mpole ndiyo namheshimu ila mwanaume mbabe tutagombana kila siku! Hata mimi naamini katika upole kama njia ya kutatua matatizo na ugomvi na siyo ubabe!

Kwenye maisha yangu huwa sipendi ubabe na kuonewa eti kisa mtu kanizidi nguvu au mamlaka! Hata mimi huwa sipendi kumbugudhi mume lakini unakuta kuna wanaume ni wanyanyasaji tu by nature unafikiri unafanyeje?

And ofcourse siwezi kuwa na misimamo ambayo haina manufaa kwa mume na watoto ili iweje sasa? Mimi ni mpole halafu muoga sana mkuu ukiona nimegombana na wewe jua tu umenikosea kiasi cha mimi kushindwa kuvumilia!
Halafu mkuu, Kuna Ile mtu anataka kukushape uwe Bora Ila wewe unachukulia kama manyanyaso.
 
Na hawana hela.... Labda za baba zao, maana watu dizain hiyo huwaga ni wakishua af wahuni, Ila wenzangu namm masking unaweza kuwa badboy na uspate pisi hata moja , madem wanavutiwa na vingi ttafte hela.... Money never cheats love cheats .... Mwisho wa siku manz atataka kuolewa na atachana na wahuni, ataacha kupost memes ataanza kupost nyimbo za dini na motivation quotes.... Ukiona hvo ujue kimeumana, ko ttafte hela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti unaweza kua bad boy halafu usipate pisi
 
Oohh ninyi si mmezoea mnapata wale wanawake wanaowapapatikia na kuwanyenyekea na ndiyo mnafikiri kila mwanamke yuko hivyo! Sisi wengine vichwa ngumu bwashee!
Uongo wewe Sio mgumu Wala Nini unajisifia hapa tukuogope Acha hizo mrembo,
Hunitishi nyau wewe ukiwa na Mimi nakulainisha unakua mchumba kama wachumba wengine kama unabisha leta mkono tushindane!
 
Namkubali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


If you find yourself consistently giving too many fu.cks about trivial shit that bothers you—your ex-girlfriend’s new Facebook picture, chances are you don’t have much going on in your life to give a legitimate fu.ck about.

And that’s your real problem.

In life, our fu.cks must be spent on something special. There really is no such thing as not giving a fu.ck.
You only get a limited number of fu.cks to give over your lifetime, so you must spend them with care.

As my father used to say, “Fu.cks don’t grow on trees, Mark.” OK, he never actually said that. But fu.ck it, pretend like he did.
Fu.cks are cultivated like a beautiful fu.cking garden, where if you f.uck shit up and the fu.cks get fu.cked, then you’ve fu.cking fucked your fucks all the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up.

Haki huyu jamaa ananichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ana kingine
Everything is Fucked
 
Namkubali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


If you find yourself consistently giving too many fu.cks about trivial shit that bothers you—your ex-girlfriend’s new Facebook picture, chances are you don’t have much going on in your life to give a legitimate fu.ck about.

And that’s your real problem.

In life, our fu.cks must be spent on something special. There really is no such thing as not giving a fu.ck.
You only get a limited number of fu.cks to give over your lifetime, so you must spend them with care.

As my father used to say, “Fu.cks don’t grow on trees, Mark.” OK, he never actually said that. But fu.ck it, pretend like he did.
Fu.cks are cultivated like a beautiful fu.cking garden, where if you f.uck shit up and the fu.cks get fu.cked, then you’ve fu.cking fucked your fucks all the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up.

Haki huyu jamaa ananichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom