Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!

Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
20211203_134126.jpg


Jicho la nice boy hapa Kwenye reply .
 
Tatizo hawa wasabato unakuta kaiona pisi kali ila sasa suruali kavaa kitambaa mita 7 aka bwanga[emoji23][emoji23] sasa zama izi kweli utaeleweka mkuu? Alafu anaanzia mbali uje kanisani kwetu.... na akimuwin manzi mpaka ale kichwa ni yesu amuongoze tofauti na ivyo ni story tu sasa unategemea iyo game inakuwaje?

Hapo kweli kazi ipo, kwamba mwamba anavaa suruali kama kung'utio la mashineni, kuna kazi kubwa ya kufanya hapo.
 
Hapo kweli kazi ipo, kwamba mwamba anavaa suruali kama kung'utio la mashineni, kuna kazi kubwa ya kufanya hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et kung'utio la mashineni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
most of us struggle throughout our lives by giving too many fu.cks in situations where fu.cks do not deserve to be given.
Fu.cks given everywhere......And for what purpose? For what reason? Convenience? Easy comforts? A pat on the fucking back maybe?

This is the problem, my friend.

Like a fine wine, our fucks must age into a fine vintage, only uncorked and given on the most special fu.cking occasions.


umenikumbusha huyu jamaa[emoji23][emoji23]
Mark Manson [emoji23][emoji23]
 
Wana ule Utakatifu... Dem kamkazia kidogo kumpa mzigo. Anasema Sawa hata siku nyingine.

Dem kamzengua, Nice G anabembeleza.

Dem kila anachotaka ,anapewa kwa muda huo huo kama kilivyo .


Demu kila Mara anaambiwa...Nakupenda, usiniachee. Siwez ishi bila weeeee.


Demu haonyeshwi kua. Ukizengua nakutema.


Nice G wanaamin kupata mwanamke ni Bahati kwao, wanaamin kua dem anataka wemaaaaaa,


Mamaeeee.... Dem anakamatwa na bad boy, kwanza anamtombaaa huku amemzamishia Dole nyuma, analipiga makofi Kalio lakeee,...akaiengua makofi , sometimes anabembelezwawa , sometimes hamna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dole la mnduku
 
Mark Manson [emoji23][emoji23]
Namkubali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


If you find yourself consistently giving too many fu.cks about trivial shit that bothers you—your ex-girlfriend’s new Facebook picture, chances are you don’t have much going on in your life to give a legitimate fu.ck about.

And that’s your real problem.

In life, our fu.cks must be spent on something special. There really is no such thing as not giving a fu.ck.
You only get a limited number of fu.cks to give over your lifetime, so you must spend them with care.

As my father used to say, “Fu.cks don’t grow on trees, Mark.” OK, he never actually said that. But fu.ck it, pretend like he did.
Fu.cks are cultivated like a beautiful fu.cking garden, where if you f.uck shit up and the fu.cks get fu.cked, then you’ve fu.cking fucked your fucks all the https://jamii.app/JFUserGuide up.

Haki huyu jamaa ananichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini kumbuka hamna binadamu mubaya Mimi naangalia roho yake njema, unaona Ile picha ya yule commando iliyo trend, ndio napenda wanaume wa design hyo
Sasa yule mbona bishoo kabisa mdogo wetu, au zile camo colors zimekuchanganya?
 
Wengi mnaangalia tu upande wa sex, japo pia ni sababu kubwa lakini kwenye hicho kipengele binadamu haturidhikagi hata huyo Mr.X awe anapiga vipi mpini anaweza kuachwa vizuri tu .
Ila Mr. X kinachofanya mamanzi wamuone dhahabu ni ile kutojari saana hisia zao, kuwatesatesa ndo kumewafanya wawe mateja kwake.
Ukiwa good guy wa morning babe na goodnight kila siku lazma upigwe matukio.

Ukiona penzi linadumu basi jua mmoja kakubali kua zoba, Mr. X hajakubali kua zoba ndo mana wanapapalika kwake.
 
Back
Top Bottom