Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Dada koma.... Tena koma kipeo cha pili. Tabata tumekukosea nini.....?!Hao ni sehemu ya wadada sio wote, tumegawayika katika makundi makundi ndio mana wanasema kila mtu na mtuwe..
Mwanaume anaevaa hereni ptuuu!!!! wanaume kama akina Brown sijui watu wanawapendea nini wakaka wa Tabata
Koma dada.