Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Kinacho wa drive hao pisi crazy ni “The Art of not giving a fucq” dem anaweza kuwa pisi af muhuni akamuona kibungo tu wala hampapatikii...Hapa mademu huchanganyikiwa mno!

Most Alphas huwa wana gain respect zaidi na hula pisi kali zaidi regardless ya uhuni walioko nao sababu they don’t fucq with bitches feelings esp. attention seeking bullcrap. Bad boys wana attract madem wazuri sababu pretty girls love real Gs. Wanaume ambao hawaoni noma ku express their minds ata dkk 1. dry dock yani no vaseline ka hivi... “Ka vipi sogea Ngwea nkutoe nyege hizo dzain ziko shazi”[emoji38]

Kuna huu ugonjwa ambao nice guys wengi wanao yani,,,”Bitch dependency syndrome” hii ni ile hali ya kutaka ku respond in each & every feeling ya demu. Kujifanya ku care kwa wingi na kutaka kuonesha that you are very important to her, giving too much of yourself just to satisfy her feelings matokeo yake unakuwa so fragile! You loose yourself in the process and end up being dumped.
most of us struggle throughout our lives by giving too many fu.cks in situations where fu.cks do not deserve to be given.
Fu.cks given everywhere......And for what purpose? For what reason? Convenience? Easy comforts? A pat on the fucking back maybe?

This is the problem, my friend.

Like a fine wine, our fucks must age into a fine vintage, only uncorked and given on the most special fu.cking occasions.


umenikumbusha huyu jamaa[emoji23][emoji23]
 
most of us struggle throughout our lives by giving too many fu.cks in situations where fu.cks do not deserve to be given.
Fu.cks given everywhere......And for what purpose? For what reason? Convenience? Easy comforts? A pat on the fucking back maybe?

This is the problem, my friend.

Like a fine wine, our fucks must age into a fine vintage, only uncorked and given on the most special fu.cking occasions.


umenikumbusha huyu jamaa[emoji23][emoji23]
My niggah bae😎
 
Wanawake Wanapenda NGONO .

NGONO ni Dhambi.

BAD BOYS WENGI, NI WATU WA DHAMBI .


Ivo wanawake wako na Bad Boy sababu Bad boy anawafanya wajihisi wote ni washirika wa 'Dhambi' na hamna kitu kibaya.


Ukijua akili ya Mwanamke inavyotenda kazi, Hautakaa kumshangaa Bwana X.


Kama wee ni Bad Boy, umenielewa !!.
 
Wanawake Wanapenda NGONO .

NGONO ni Dhambi.

BAD BOYS WENGI, NI WATU WA DHAMBI .


Ivo wanawake wako na Bad Boy sababu Bad boy anawafanya wajihisi wote ni washirika wa 'Dhambi' na hamna kitu kibaya.


Ukijua akili ya Mwanamke inavyotenda kazi, Hautakaa kumshangaa Bwana X.


Kama wee ni Bad Boy, umenielewa !!.
Kwahio Nice Guys ni washirika wa mema sio😅
 
Kiukweli ni kama vile wanaume mnapenda mdada ajiachie on bed yaani awe muhuni asiwe na aibu, ndiyo na sisi tunapenda babe asiwe mlokole sana ustaarabu mwingi, hadi tendo la ndoa style zingine kama popo kanyea mbingu aone dhambi aargh tunahitaji rough games, hujakaa sawa jikoni imoo, hujakaa sawa babe kagusa titi kidogo unanuna kidogo ila unaenjoy hujakaa sawa unapita sebuleni mara kakupiga kikofi cha tako😂 yaani muhuni huni hivi hana aibu, yaani Unakua unamfikiria yeye tu na huo ukorofi wake.

Siyo babe kapoaa kama kakimbia upadre bana. Ustaarabu mwingi hata kwenye visivohitaji ustaarabu mbususu na mishedede haihitaji ustaarabu, peleka moto heavy hadi mkitoka hapo mnahisi harufu ya mishikaki kumbe ni viungo vyenu vya siri vilikua kazini🏃‍♀️

Note: uhuni hadi wa mavazi na hereni kwa mkaka hapana, awe bad boy on bed tu.
😁😁😁😁😁 eti kakimbia upadre hahahaaaa
 
Kwasababu wadada wengi (sio wote) wanapenda rough game, and wanaamini bad boys ndio watu sahihi kwa hizi mambo.
Bahati mbaya wanatusahau na upande wa huku back benchers kwamba ni wakali...[emoji12]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoa mada jibu lako liko ndani ya uzi wako, huyo msela ni handsome ndoa maana mademu wanajipeleka kwake, sio u-bad boy wake Unavutia wadada, bali muonekano wake, mdada akiona huyo mwanaume alivyo handsome, anaona hataweza pata mkaka mwingine mzuri kama huyo, hivyo wanavumilia vipigo donlucchese
Kweli watu tumetofautiana, mie si mind ma handsome boy kabisa
 
Nice guys are boring according to them. Wako slow kwenye kuanzisha stori, hawawezi kuwachangamsha na hata kwenye uchakataji wanakuwa wastaarabu sana kitu ambacho wengi hawataki ...... Anyway I'm a nice guy!
Si kweli you can be nice guy ila Kuna vitu unakuta havijakvutia huyo dada, unaweza kujiona wewe ni nice guy ila Kuna weakness yako huijui, mpaka siku uje kupata wa kuendana naye kitabia
 
Hata mimi ni mwanamke lakini huwa nawashangaa sana wanawake wenzangu kwenye hili. Wanawake kwenye mapenzi ni kama hatuna misimamo ama sijui niseme hatujielewi.

Yaani eti unakuta mwanamke anakuambia hapendi kuwa controlled. Haya akipata mwanaume asiyemcontrol anasema anaboa anataka mwanaume mbabe anayejua kucontrol.

Bora wengine tunajijua kabisa tukisema hatupendi kuwa controlled ni hatupendi kweli. Mimi mwanaume akiwa mpole ndiyo namheshimu ila akileta ubabe wallahi atajua hanijui.
Dah wewe ni Mimi napenda mwanaume mtulivu na mstaarabu na asiye control control hovyo ni rahisi kudumu naye maana Mimi sipendagi heka heka na ugomvi usio na kichwa wala miguu na sipendi kuchokozwa.
 
Kwahio Nice Guys ni washirika wa mema sio[emoji28]
Wana ule Utakatifu... Dem kamkazia kidogo kumpa mzigo. Anasema Sawa hata siku nyingine.

Dem kamzengua, Nice G anabembeleza.

Dem kila anachotaka ,anapewa kwa muda huo huo kama kilivyo .


Demu kila Mara anaambiwa...Nakupenda, usiniachee. Siwez ishi bila weeeee.


Demu haonyeshwi kua. Ukizengua nakutema.


Nice G wanaamin kupata mwanamke ni Bahati kwao, wanaamin kua dem anataka wemaaaaaa,


Mamaeeee.... Dem anakamatwa na bad boy, kwanza anamtombaaa huku amemzamishia Dole nyuma, analipiga makofi Kalio lakeee,...akaiengua makofi , sometimes anabembelezwawa , sometimes hamna.
 
Back
Top Bottom