Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Kwanini wadada wengi wanapenda bad boys?

Salam wakuu,

Straight to the point. Kuna jamaa yangu anaitwa bwana X, huyu mwamba anatabia zote za kihuni unazozifahamu. Dazi,tungi, ma tattoo hereni sijui takataka zote na tabia kwa ujumla ni mshenzi pro max. Ana muonekano au haiba ya kuvutia kiukweli msela ila tatizo kubwa mwana uhuni umetamalaki.

Ninachojiuliza ni wimbi la kinadada anavyowapanga kama draft, Tena ni pisi haswaa. Najiuliza hawa wanawake wana akili kweli? Kuna mmoja juzi kati kaenda ghetto kwa bwana X sijui alimzingua nini Akala kichapo heavy mpaka Wana tukaenda kuamulia ugomvi. Cha ajabu, asubuhi mwamba akaja room kutafuta "nali" akaniambia mwanang manzi alilala home bado yuko ghetto and I robbed her (hapo akanionesha mpunga aliokwara kwenye wallet ya manzi).

Yote tisa, kuna dada mmoja anafanya kazi Barclays bank, aisee sijui nisemeje wakuu muelewe uzuri wake ni WA namna gani. Dada ni mlimbwende haswaa, she got everything aisee halafu ni wale tunaita beauty with brains, yuko vizuri sana upstairs. Pia ni wale design kama church girls flani hivi hanaga makuu kabisa hata ugimbi hagusi, Cha ajabu juzi nimemkuta na bwana X katika mazingira ya ukiona manyoya.

Kwa wimbi la mademu wakali anaoruka nao, nashindwa kuelewa jamaa sijui ana dawa ama vipi sababu kama mpunga basi ni ile unga unga mwana, ma manzi wenyewe ndio wana shower fuber on him, lakini anavyowafyatua basi mtu unabaki unajiuliza tu kwamba wadada mnapenda wanaume wahuni? Wasabato hamuwapendi? Hebu tuelezeni hapa ili wasabato basi nasisi tuchange characters tuweze kula mema ya nchi.

Nawasalimu kwa jina la J.M.T

KAZI IENDELEE
wote hawana nafsi hao, wanezaliwa kuanzia 2000, roho zinazopayapaya za mahayati wa biashara ya utumwa na wa vita kuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndugu mtoa nilipokuwa shule mpaka chuoni Nilikuwa ni dj na kazi hii ndiyo nilinipa ulaji sana.
Hivyo madj huonekana kama na haiba ya kihuni au tuseme watu walikuwa wananiona Kama muhuni sijui

Hivyo nilinyandua pisi za aina nyingi pasipo kutoa jasho sana hata zile ambazo wakishua walikuwa wanafukuzia mimi nilijipatia kirahisi mnoo,

Na wala sikuwa nashoboka sana, I was mind my own business wakija ni hit and run ,
Hii ishu nadhani wanawake wenyewe ndio wanajua.

NB: uhuni sio mzuri huoni hata Samson alikuwa bad boy lakini kwenye mapaja ya Delilah mwenyewe aliloa?
 
Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!

Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
Uko sahihi,wenye akili zao watakuelewa...
 
Ndugu mtoa nilipokuwa shule mpaka chuoni Nilikuwa ni dj na kazi hii ndiyo nilinipa ulaji sana.
Hivyo madj huonekana kama na haiba ya kihuni au tuseme watu walikuwa wananiona Kama muhuni sijui

Hivyo nilinyandua pisi za aina nyingi pasipo kutoa jasho sana hata zile ambazo wakishua walikuwa wanafukuzia mimi nilijipatia kirahisi mnoo,

Na wala sikuwa nashoboka sana, I was mind my own business wakija ni hit and run ,
Hii ishu nadhani wanawake wenyewe ndio wanajua.

NB: uhuni sio mzuri huoni hata Samson alikuwa bad boy lakini kwenye mapaja ya Delilah mwenyewe aliloa?
Umesha pima ngoma mkuu?
 
Ile selfika ile... na age group niliyokuweka hubby ake ni ya kukukimbia tu.

Sababu ndo age ya badboys tu.
Ingawa umejiquote mwenyewe Ila nimejua unaongea na Mimi😁 .Unaongelea selfie ipi my dear? Hebu kanitag
 
Hao ni sehemu ya wadada sio wote, tumegawayika katika makundi makundi ndio mana wanasema kila mtu na mtuwe..
Mwanaume anaevaa hereni ptuuu!!!! wanaume kama akina Brown sijui watu wanawapendea nini wakaka wa Tabata
 
Back
Top Bottom