Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Nimeshakutana na Ke wenye misimamo kama yako lakini mwisho waliufyata. Wa mwisho alikuwa mtata hasa lakini alifikia mpaka kuuweka udini rehani ili tu apate kuwa nami, Mimi ndiye nkaona hatari.Teh hata wewe hujapata wanawake kama mimi mkuu labda umezoea wale ambao ukiwafokea wananywea ila kwangu kabhi nahi. Mimi conditions za kukuheshimu ni uwe muaminifu na usimamie majukumu yako tofauti na hapo usitegemee heshima yoyote toka kwangu na ukiniforce tutaonana wabaya asee.
Huey mzinguaji sana. Alimuita grandaddy eti zebedayo freeman bitches
Huna lolote, ni ubaya gani sasa, huna jeuri hiyo, huna ubaya wowote wa kunionyesha.Teh hata wewe hujapata wanawake kama mimi mkuu labda umezoea wale ambao ukiwafokea wananywea ila kwangu kabhi nahi. Mimi conditions za kukuheshimu ni uwe muaminifu na usimamie majukumu yako tofauti na hapo usitegemee heshima yoyote toka kwangu na ukiniforce tutaonana wabaya asee.
Kichwa ngumu.Oohh ninyi si mmezoea mnapata wale wanawake wanaowapapatikia na kuwanyenyekea na ndiyo mnafikiri kila mwanamke yuko hivyo! Sisi wengine vichwa ngumu bwashee!
Mimi nilivyo, huwa nasimamia katika "what is best for both of us, na us namaanisha Mimi, mke na watoto". So kama msimamo wako una mashiko na uadilifu kwetu ntakubaliana na wewe Karma Ila kama Hamna hamna sitaukubali.Haha kama unadhani kujitambua ni kuwa mbabe bila sababu za msingi my friend kwangu utasanda mapema sana! Kuna wanawake wenzangu nawafahamu wanajikutaga watata but kwangu wamenyanyua mikono na wanajua hawanifikii!
Hujakutana na mwanamke mwenye misimamo kama yangu mkuu wangu trust me! Mimi nikisema NO ni NO na nikisema YES ni YES yaani mimi nikiamua kitu sifanyi ni sifanyi na nikisema nafanya basi lazima nitafanya no mattet what!
Kama wazazi wangu tu ninaowapenda na kuwaheshimu sana walinishindwa na kunyanyua mikono kwa misimamo yangu! Basi sidhani kama kuna kiumbe mwingine yeyote ataniweza na uzuri wangu sibembelezagi mtu ukinishindwa off you go!
Halafu mkuu, Kuna Ile mtu anataka kukushape uwe Bora Ila wewe unachukulia kama manyanyaso.Mkuu ndiyo maana awali nilisema mimi mwanaume mpole ndiyo namheshimu ila mwanaume mbabe tutagombana kila siku! Hata mimi naamini katika upole kama njia ya kutatua matatizo na ugomvi na siyo ubabe!
Kwenye maisha yangu huwa sipendi ubabe na kuonewa eti kisa mtu kanizidi nguvu au mamlaka! Hata mimi huwa sipendi kumbugudhi mume lakini unakuta kuna wanaume ni wanyanyasaji tu by nature unafikiri unafanyeje?
And ofcourse siwezi kuwa na misimamo ambayo haina manufaa kwa mume na watoto ili iweje sasa? Mimi ni mpole halafu muoga sana mkuu ukiona nimegombana na wewe jua tu umenikosea kiasi cha mimi kushindwa kuvumilia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti unaweza kua bad boy halafu usipate pisiNa hawana hela.... Labda za baba zao, maana watu dizain hiyo huwaga ni wakishua af wahuni, Ila wenzangu namm masking unaweza kuwa badboy na uspate pisi hata moja , madem wanavutiwa na vingi ttafte hela.... Money never cheats love cheats .... Mwisho wa siku manz atataka kuolewa na atachana na wahuni, ataacha kupost memes ataanza kupost nyimbo za dini na motivation quotes.... Ukiona hvo ujue kimeumana, ko ttafte hela
Uongo wewe Sio mgumu Wala Nini unajisifia hapa tukuogope Acha hizo mrembo,Oohh ninyi si mmezoea mnapata wale wanawake wanaowapapatikia na kuwanyenyekea na ndiyo mnafikiri kila mwanamke yuko hivyo! Sisi wengine vichwa ngumu bwashee!
Ana kingineNamkubali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
If you find yourself consistently giving too many fu.cks about trivial shit that bothers you—your ex-girlfriend’s new Facebook picture, chances are you don’t have much going on in your life to give a legitimate fu.ck about.
And that’s your real problem.
In life, our fu.cks must be spent on something special. There really is no such thing as not giving a fu.ck.
You only get a limited number of fu.cks to give over your lifetime, so you must spend them with care.
As my father used to say, “Fu.cks don’t grow on trees, Mark.” OK, he never actually said that. But fu.ck it, pretend like he did.
Fu.cks are cultivated like a beautiful fu.cking garden, where if you f.uck shit up and the fu.cks get fu.cked, then you’ve fu.cking fucked your fucks all the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up.
Haki huyu jamaa ananichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Nmekiona ila sijakisoma mkuuAna kingine
Everything is Fucked
[emoji23][emoji23][emoji23]Namkubali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
If you find yourself consistently giving too many fu.cks about trivial shit that bothers you—your ex-girlfriend’s new Facebook picture, chances are you don’t have much going on in your life to give a legitimate fu.ck about.
And that’s your real problem.
In life, our fu.cks must be spent on something special. There really is no such thing as not giving a fu.ck.
You only get a limited number of fu.cks to give over your lifetime, so you must spend them with care.
As my father used to say, “Fu.cks don’t grow on trees, Mark.” OK, he never actually said that. But fu.ck it, pretend like he did.
Fu.cks are cultivated like a beautiful fu.cking garden, where if you f.uck shit up and the fu.cks get fu.cked, then you’ve fu.cking fucked your fucks all the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up.
Haki huyu jamaa ananichekeshaga sana [emoji23][emoji23][emoji23]