Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, Sasa Kuna haja gani upende vitu negative wakati Kuna vitu vingi positive vya kujifunza.TikTok algorithms
TikTok inakuletea vitu kutokana na mwenendo wako wa mambo unapenda kutazama
Ife horo enda anerundukya mburu mee utre genyeVichekesho vyote vya tiktok vina maudhui mazuri sana.
Huwo ni mtazamo wako mkuu, Ni vema pia kwa kuwa mtu hawezi kukuingilia unacho amini.Nikimuona mwanaume anatumia TikTok, fb,IG actually namshusha thamani kwa kiasi flani... usiniulizee kwanini.
Umeona TikTok ilivyokuharibu wapi nimesema naamini?Huwo ni mtazamo wako mkuu, Ni vema pia kwa kuwa mtu hawezi kukuingilia unacho amini.
Watumiaji wengi hawana lengo la kujifunza, wengi huangalia video za kufurahisha macho tuUkiwa interested na vichekesho watakuletea vichekesho, ila ukiwa interested na mambo positive wanakuletea pia.
Nina mashaka nahisi watu wengi humu hawajanielewa
Kwa nini uingie TikTok kwajili ya ku- scroll na si kujifunza mkuu.
Pia kujifunza kwa video fupi kunasevu data kwa watanzania wa Hali ya chini wakajifunza kitu.
Vip kuhusu twiter(x) na video za ngono nao utasema una manufaa kwa jamii...., Je watazamaji huangalia video za kufurahisha nn?Watumiaji wengi hawana lengo la kujifunza, wengi huangalia video za kufurahisha macho tu
Basi umeandika bila kuamini chochote..., means Umeandika ilimradi.Umeona TikTok ilivyokuharibu wapi nimesema naamini?
Ubinafsi huu, Kama binadamu inabidi tuwe na muingiliano wa kimawazo ili tufike mbali mkuu.Ishi maisha yako,kama unaipenda tiktok au mtandao mwingine jiunge bila kuhitaji justification ya kiazi yeyote.
Itakuwa Sio fair.Na haina mda itakufa
Inakula bando kama unaangalia challenge za wadada wanacheza na vichekesho ila Kuna madini mkuu.Mi nimefuta inakula sana bando
Ukimaliza kuangalia madini lazima upitie challenge za wadada na hataacha hadi sms ya 75%Inakula bando kama unaangalia challenge za wadada wanacheza na vichekesho ila Kuna madini mkuu.
Ukitaka uifaidi tiktok uwe na bando la unlimited!Ukimaliza kuangalia madini lazima upitie challenge za wadada na hataacha hadi sms ya 75%
Ule ni unga mi niliifuta mapema sanaNa haina mda itakufa
Sawa kwa nani?Ila uraibu wa kubet ndio sawa et mkuu.
Tiktok ni mtandao unaokuletea clips nbalimbali za hovyo hovyo na kula Mb zako. Niliifutilia mbali. Huwezi kulinganisha na JF. Inakuletea malaya wanaojitangaza kujiuza na kwenda kinyume na maumbile. Huwezi kuina haya Jf.Hiyo TikTok ndo nn mkuu🤔