Kwanini wadau wanajamii forum mnabeza mtandao wa TikTok.

Kwanini wadau wanajamii forum mnabeza mtandao wa TikTok.

Ukiwa interested na vichekesho watakuletea vichekesho, ila ukiwa interested na mambo positive wanakuletea pia.

Nina mashaka nahisi watu wengi humu hawajanielewa

Kwa nini uingie TikTok kwajili ya ku- scroll na si kujifunza mkuu.

Pia kujifunza kwa video fupi kunasevu data kwa watanzania wa Hali ya chini wakajifunza kitu.
Watumiaji wengi hawana lengo la kujifunza, wengi huangalia video za kufurahisha macho tu
 
Watumiaji wengi hawana lengo la kujifunza, wengi huangalia video za kufurahisha macho tu
Vip kuhusu twiter(x) na video za ngono nao utasema una manufaa kwa jamii...., Je watazamaji huangalia video za kufurahisha nn?

Kikubwa Kama jamii tuwe positive tuu mitandao yote Ni mazuri tukiitumia kwa manufaa na sio tuu kubeza TikTok.
 
Ishi maisha yako,kama unaipenda tiktok au mtandao mwingine jiunge bila kuhitaji justification ya kiazi yeyote.
Ubinafsi huu, Kama binadamu inabidi tuwe na muingiliano wa kimawazo ili tufike mbali mkuu.
 
Nikitoka jf nikaona hanma nyuzi za maana kituo kinachofuata ni tiktak. Hapo ndio naweza malizia na bando kabisa.
Vichekesho ndio napenda, michezo na matukio ya kiila siku.
 
Hiyo TikTok ndo nn mkuu🤔
Tiktok ni mtandao unaokuletea clips nbalimbali za hovyo hovyo na kula Mb zako. Niliifutilia mbali. Huwezi kulinganisha na JF. Inakuletea malaya wanaojitangaza kujiuza na kwenda kinyume na maumbile. Huwezi kuina haya Jf.
 
Back
Top Bottom