Kwanini wadau wanajamii forum mnabeza mtandao wa TikTok.

Kwanini wadau wanajamii forum mnabeza mtandao wa TikTok.

Ubinafsi huu, Kama binadamu inabidi tuwe na muingiliano wa kimawazo ili tufike mbali mkuu.
Kila jambo unalotaka kufanya au kusema kuna watu hawatalipenda.Utakuwa MPUMBAVU kama huwezi kufanya maamuzi bila kuhitaji kibali cha wengine.
Kwa mfano, mimi namkubali sana Adolf Hitler kuliko viongozi wote kuwahi kuwepo duniani,lakini mabilion ya watu duniani wanamchukia.Now, do you think I care?
I surely DON'T.
 
Back
Top Bottom