Sababu ndio yalivyo hayo makopo ni spesho kwa mkaa tuMimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?
Tumia nishati mbadala, okoa mazingiraMimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?
Apikie maharage kwenye gasππTumia nishati mbadala, okoa mazingira
Busness strategyMimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?
YesApikie maharage kwenye gasππ
Hata Kwenye makaa ya mawe nayo ni mbadalaApikie maharage kwenye gasππ
Makaa ya mawe harufu sasaHata Kwenye makaa ya mawe nayo ni mbadala
Janja janja kila sehemu!Busness strategy
Huwezi toboa bila janja janjaJanja janja kila sehemu!
Siyo kukandamizwa tu, yanapondwapondwa kila mahala chini , juu na pembeni.Mimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?
Kwan gasi na maharage vinaugomvi ganii?Apikie maharage kwenye gasππ
Ndugu nionee huruma Mimi na huu uzee bado unaamua kunipiga kambaZamani nilijua wanayaponda ili kipimo cha mkaa kipungue..
Ila nilifanya tafiti nyumba kwa nyumba za wanaouza mkaa nikaja gundua kuwa haya makopo yananunuliwa hivo hivo yakiwa yamepondeka..
Kupata kopo ambalo lipo zima kabisa gharama yake ni kubwa mno.
Hata maliasili wakikushika unapima mkaa katika kopo ambalo alijapondeka ni kesi .