Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Hao na wauza nyanya, viazi masokoni ni wahuni, dhulumati, wezi, hawata iona mbingu.Mimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?