Kwanini wafanyabiashara wa kupima mkaa karibu wote vipimo vyao vya makopo ya bati yamekandamizwa katikati?

Mimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?
Hao na wauza nyanya, viazi masokoni ni wahuni, dhulumati, wezi, hawata iona mbingu.
 
Mkuu napokudanganya mimi napata nini hapa soma hiyo article namba 8 hapo kwenye right of ownershipView attachment 3009120
Sasa kupimia kopo lililopondeka hao maliasili linawasaidia nini?
Halafu hata mstari huo uliouonesha hapo kwenye article imeelezea kinyume na ulivyosema wewe,nanukuu maneno ya mwisho kwenye article 8-3
Such measurements include using a plastic bucket and an un-dented tin can.
Un-dented tin can-kopo lisilopondeka/lisilotoboka
 
Ujaelewa
 
Bongo hapa kuna kasumba ya kufanya mambo kwa kuiga kwa waliotangulia hata kama hajui sababu ya kwanini hiki kiko hivi ila yeye anaiga tu.....

Hayo makopo ya kupimia mkaa kama issue ni kipimo muuzaji anaweza akalikata au akatafuta kopo la size ya kubeba mkaa kiasi anachokitaka yeye na sio lazima aliponde ponde hadi linakuwa kama limekanyagwa na gari.
 
ivi shingapi sasa mkaa wa kupima,,mana nahisi naelekea uko yaani gunia la mkaka sasa ni 20,000😫😫
 
itabidi mkaa uanze kuuzwa kwa kilo kama ndio hivo。
 

Hapo kwa mali asili umedanganya
 
Mkuu napokudanganya mimi napata nini hapa soma hiyo article namba 8 hapo kwenye right of ownershipView attachment 3009120
Pole Fundi manyumba kwa kuchelewa kujibu nilikuwa Niko natafsiri kwa kamusi ,hii sheria neno kwa neno ,mpaka ukweli numeujua .

Nisamehe bure ningeyajulia wapi haya na lugha ya malkia ilinikataa ,japo Asante umenipa Cha kuwafundisha wanakijiji leo
 
Apikie maharage kwenye

Kweli 😅😅 kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…