Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
πππππππππππKwetu bongo mtu anaonekana kabisa anakipaji lakin serikali inampotezea ad anarudi shamba kuishia kulima
Tutasubiri kutengenezewa na wa wazungu kila kitu adi chupi mpakA uzeeni[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Magufuli HILI ALIFANYIE KAZI....
TUNAMTEGEMEA YEYE...
Popote ulipo baba MAGUFULI,vijana wanalalamika VIPAJI VINAPOTEZEWA....Ila wanashukuru kina Zuchu wanajitahidi kuimba....
Baba JPM huku mitaani KILA kijana ETI ATAKA KUIMBA KAMA DIAMOND....hv RWANDA nako ni hivihivi?!!!
Tuna IMANI nawe kipenzi magufuli...plz continue to change the horrible STATUS QUO....aaaamen aaamen
I am weeping as a toddler ooo goshTutasubiri kutengenezewa na wa wazungu kila kitu adi chupi mpakA uzeeni
Wie etwas nutzt so wird esWajerumani Wana msemo wao kuntu:
Wieetwas nutztsowirdes geputzt
Mambo hayo....its high time now to speed up our goals ya Tz ya VIWANDA Kaka...KIMKAKATI hasaaKuna kipind nilipata bahati ya kutembelea kiwanda cha KRONES watengenezaji wa mashine za kutengenezea vinywaji aice jamaa wana watu wako serious sana na kaz zao,mtu anafanya kazi productive analipwa pesa nzuri kabisa.,, unapishana nayo yanatoka kiwandani yanavuta fegi zen yanarud ndan yan theory ya kila part ya mtambo husika nouma sana
Monde Kaka...usiku wa majonzi huuWie etwas nutzt so wird es
Samahani sana mkuu. Nimekusahihisha hapo katika bolded letters kidogo.
well said mkuu@Mkuu Hakika Mada Ina AFYA Sana Hasa KIPINDI HIKI Cha kuwa na RAIS mzalendo na mwenye maono ya KUSIMAMA WENYEWE na kutotegemea WAJOMBA WASIOKUWEPO huko nje....
nimeipenda hiiGermany is a very interesting country...Kuna ya kujifunza....
1.Kiteknolojia
2.Kielimu
3.Kiviwanda
Kaka. Hujawahi fika huku Buza kwa Mpalange? Ukija utakua why BuzaWhy Buza?
Mkuu. Inaonekana umekulia ulaya na Bado uko ulaya. Kipindi choote miezi 18 niliyokaa ulaya umeme haujawahi kukatika. Hapa TZ hata muda huu umeme umekatika ilhali tanesco Kuna mainjinia kibao. Hivi hawawezi kukagua vifaa vyao mpaka umeme ukatike ndio waje Kama Zima Moto? Inatumia akili na gharama kiasi gani kukagua transformer ili lisiungue? Ndio maana che Nkapa alileta mabeberu kuja kuwasimamia Hawa japo vyuo wameenda vile vile na course zile zile.Wahandisi wa TANESCO wao wana shida gani,huja tudokeza hilo.
Tatizo tunawekeza heavily katika non productive sector inayoitwa "ulinzi na usalama". Inawezekana kwa kila watanzania watano mmoja ni "mlinzi na msalama" akiwa kwenye payroll hiyohoyo inayotokana na ka keki kadogo ka nchi. Vijana wenye afya njema na akili safi badala kuendelezwa ki elimu na teknolojia wengi wanakazi za kukusanya taarifa za watu na kufatilia mienendo ya maisha ya wengine! What a waste!!!Mkuu Hakika Mada Ina AFYA Sana Hasa KIPINDI HIKI Cha kuwa na RAIS mzalendo na mwenye maono ya KUSIMAMA WENYEWE na kutotegemea WAJOMBA WASIOKUWEPO huko nje....
Germany is a very interesting country...Kuna ya kujifunza....
1.Kiteknolojia
2.Kielimu
3.Kiviwanda
Wajerumani Wana msemo wao kuntu:
Wieetwas nutztsowirdes geputzt
Yaani "atumiaye kitu huking'arisha daima"............