Kwanini wahaya wanaukwepa mkoa wao? Buhaya Festival kufanyikia Dar, Mlimani City leo 27.10.2024

Kwanini wahaya wanaukwepa mkoa wao? Buhaya Festival kufanyikia Dar, Mlimani City leo 27.10.2024

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.

Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.

Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.

#OmukaOjuka
 
Lengo ni kutangaza utamaduni wa mhaya..Kwa Kagera tayari wanaujua utamaduni wao. Ni sahihi kuuza utamaduni wa kihaya Kwa watu wengine toka mikoa mingine.

Dar. ni sehemu sahihi Kwa kuwa Ina mkusanyiko mkubwa wa watu toka pande zote za nchi, Afrika na nje ya Afrika

Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.

Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.

Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.

#OmukaOjuka
 
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.

Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.

Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.

#OmukaOjuka
Hii ishu itaamuliwa mahakamani😁😁
 
Lengo ni kutangaza utamaduni wa mhaya..Kwa Kagera tayari wanaujua utamaduni wao. Ni sahihi kuuza utamaduni wa kihaya Kwa watu wengine toka mikoa mingine.

Dar. ni sehemu sahihi Kwa kuwa Ina mkusanyiko mkubwa wa watu toka pande zote za nchi, Afrika na nje ya Afrika
Wangefanyia tamasha Ingrandi ningewaerewa ira kwa hapa dar bado hawajanishawishi.
 
Wewe utakuwa hujasafiri nje ya Nchi ukajionea majiji yaliyopangwa na kupendeza.wewe umepumbwazwa na ccm na kuamini Dar ni jiji zuri wakati ni jiji la hovyo sana Duniani.mkoa wa kagera kuwa mbaya na sababu ya ccm yenu
 
wanaogopa kulogana maana karibia kila nyumba ina kibuyu cha uchawi na uchawi ni mwiko kufanya maendeleo! Wanaona bora wafanyie mikoa ya watu vibuyu vinakuwa havina nguvu sana kwakua kunakua hakuna kujuana kwa undani.....Wahaya mmejitahidi kusoma ila kwenye mambo ya utamaduni mbaya pia hamjambo,Badilikeni mkajenge kwenu.
 
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.

Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.

Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.

#OmukaOjuka
Sawa mbona unawasimanga mkuu? Kila watu wana matatizo yao. Wazaramo wako wapi na Mzizima yao?
 
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.

Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.

Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.

#OmukaOjuka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ukisikia bahati mbaya ndio hii sasa.
 
Back
Top Bottom