Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani docta hayaland anasemaje.Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.
Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.
#OmukaOjuka
Hakuna cha hela ni ushamba wangekuwa na pesa au fedha wangeenda kuusaidia mkoa wao. Hawa jamaa ni maskini ila wanajitutumua sana. Kuonekana.Mtajuaje kama wana hela?
Nliwahi kuweka uzi humu,wahaya kwandumba ni noma,sema waty. Baki huwa hawajui hilowanaogopa kulogana maana karibia kila nyumba ina kibuyu cha uchawi na uchawi ni mwiko kufanya maendeleo! Wanaona bora wafanyie mikoa ya watu vibuyu vinakuwa havina nguvu sana kwakua kunakua hakuna kujuana kwa undani.....Wahaya mmejitahidi kusoma ila kwenye mambo ya utamaduni mbaya pia hamjambo,Badilikeni mkajenge kwenu.
Nadhani walengwa wengi wa hiyo festival wapo dsm
Hivyo tu.Hakuna cha hela ni ushamba wangekuwa na pesa au fedha wangeenda kuusaidia mkoa wao. Hawa jamaa ni maskini ila wanajitutumua sana. Kuonekana.
Yoooooh!!! Chonka iwe kadada!!!Kalye empari...bikukweteki???
Nmefurah tu 🤣 kwani ni vibaya?Kipi kikukenuacho😂
Ngoja tukenue, kama hatuvunji sheria za nchi.Amna sio vibaya😁
Hiyo ni ya kwenu wahaya🤣🤣 kwanza nipo kijiji huku namtumbo napalilia mahindi 🤣🤣Hahahaha
Unaonaje twende kukenulia mlimani city kwenye festival 🤣🤣
Sawa mbona unawasimanga mkuu? Kila watu wana matatizo yao. Wazaramo wako wapi na Mzizima yao?
Wanaita nyarujuwanaogopa kulogana maana karibia kila nyumba ina kibuyu cha uchawi na uchawi ni mwiko kufanya maendeleo! Wanaona bora wafanyie mikoa ya watu vibuyu vinakuwa havina nguvu sana kwakua kunakua hakuna kujuana kwa undani.....Wahaya mmejitahidi kusoma ila kwenye mambo ya utamaduni mbaya pia hamjambo,Badilikeni mkajenge kwenu.
Mh 🤔Kalye empari...bikukweteki???
Wakausaidie mkoa wao wakati kuna mwanza pale karibu? Unajua athari za majiji kwa mikoa mingine?Hakuna cha hela ni ushamba wangekuwa na pesa au fedha wangeenda kuusaidia mkoa wao. Hawa jamaa ni maskini ila wanajitutumua sana. Kuonekana.
Nogamba ebintu ebwankola embolo esimameNini sweetheart
Umaskini hauna kabila ndugu, hata Dar walala hoi ndio wengi kuliko wanaoweza mudu mlo wa kila siku, Wengi dar kimwonekano anaonekana yuko vizuri lkn hawezi kumu kumiliki gari au anauwezo wa kununua gari lkn hawezi kumudu mafuta, na huo ni umaskini.Hakuna cha hela ni ushamba wangekuwa na pesa au fedha wangeenda kuusaidia mkoa wao. Hawa jamaa ni maskini ila wanajitutumua sana. Kuonekana.