MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ndikubi alafu ndi oku owanyu tina na demu kabisaKwahiyo WA Ina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndikubi alafu ndi oku owanyu tina na demu kabisaKwahiyo WA Ina?
Uzunguni anhaaOlinkaa?
Uzunguni anhaa
Bk mjiniOlinkaa?
Jiji linadhorotesha vijiji kakaMuhaya yuko radhi ajenge Mwanza au Kahama kuliko Bukoba. Wanaogopa kurogwa na majungu
Ni kweli wamesoma ndio maana wakaweka Tamasha Mlimani City kilipo.chuo kikuu Cha Dar es salaam waliposoma na kupata digrii zaoNshomile
Dar sehemukiNdi dar
Saw kendija ndikukaribisha owaitu ni upangaKigamboni
Kisha nikitangaziwa niige utamaduni wa Muhaya au ikoje? Hebu kuweni serious? Yaani Leo mie nianze tambo na majivuno.Lengo ni kutangaza utamaduni wa mhaya..Kwa Kagera tayari wanaujua utamaduni wao. Ni sahihi kuuza utamaduni wa kihaya Kwa watu wengine toka mikoa mingine.
Dar. ni sehemu sahihi Kwa kuwa Ina mkusanyiko mkubwa wa watu toka pande zote za nchi, Afrika na nje ya Afrika
Uandishi wako unaonyesha wewe ni wa hapo Karagwe...mimi wa Kamachumu😅Wangefanyia tamasha Ingrandi ningewaerewa ira kwa hapa dar bado hawajanishawishi.
Kaka nitake radhi bwana ,utu uzima huu niende Tandika kufanya nini ndugu yangu ?Mambo ya Tandika hamjaacha
Mambo ya masiala Kama yako tukiwa uso kwa uso sikawiagi kuwatoa menoAmu vere sore
Income per capitaKabla hujamchamba nshomile jiulize Mkoani kwenu kuna kipi cha kuzidi Kagera?? Mie najiuliza maendeleo ni stendi na soko kuu tu basi? Bahati nzuri karibia Mikoa mingi Tanzania meneo ya vijijini nimefika ni Mikoa michache inayolingana na mkoa wa Kagera kwa maendeleo vijijini.
Ukifika kagera ukaangalia miundombinu ya barabara, ubora wa nyumba za kuishi, shule, hospital nina hakika ni mkoa wa kirimanjaro pekee unaoweza kuipiku kagera.