Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.
Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.
#OmukaOjuka
Hii ishu itaamuliwa mahakamaniππNilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.
Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.
#OmukaOjuka
Wangefanyia tamasha Ingrandi ningewaerewa ira kwa hapa dar bado hawajanishawishi.Lengo ni kutangaza utamaduni wa mhaya..Kwa Kagera tayari wanaujua utamaduni wao. Ni sahihi kuuza utamaduni wa kihaya Kwa watu wengine toka mikoa mingine.
Dar. ni sehemu sahihi Kwa kuwa Ina mkusanyiko mkubwa wa watu toka pande zote za nchi, Afrika na nje ya Afrika
Sawa mbona unawasimanga mkuu? Kila watu wana matatizo yao. Wazaramo wako wapi na Mzizima yao?Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.
Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.
#OmukaOjuka
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Ukisikia bahati mbaya ndio hii sasa.Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi walivyoshindwa kusimamia hata ujenzi wa standi na soko japo serikali imeshawawekea mabilioni zaidi ya miaka mitano wameshindwa kuyatumia.
Kukimbia matatizo sio njia ya kutatatua.
#OmukaOjuka
Yooooo bojoooo π π π πKalye empari...bikukweteki???
Chonka nikwo wamujuma...kigendesibwe ne bigosi π€£π€£π€£π€£Hahahaha π€£
Agendesibwe okwo aahππ
Mbatwenda muno, ntubashaga bingiYani aba tituluga mubinwa byabo π mbanyila Bata si shwii
Mbwembwe tu hizo, wenye hela hata hawajivuni au kutamba tamba ovyo.Mtajuaje kama wana hela?