Kwanini Wahindu wanawachukia sana Waislam ambao ni ndugu zao na kuwapenda Wakristo na Wabudha?

Kwanini Wahindu wanawachukia sana Waislam ambao ni ndugu zao na kuwapenda Wakristo na Wabudha?

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Hawa Wahindi wa india ambao ni waamini wa dini ya Kihindu wanawachukia sana Waislam wanakwambia wangeweza wangewateketeza kwa bomu kama lile la USA kwenda Japan.

Hii chuki inatokana na nini? Tukumbuke hawa wote ni wahindi jamii moja.

Zamani kutokana na hii chuki kulipelekea Waislam kujitenga na kuunda nchi yao ya Pakstan
Ila kuna Waislam walibaki kwenye nchi yao ya asili ya India na kupelekea mgogoro hadi leo.

Hawa Wahindu wana upendo wa dhati kwa Wakristo na Wabudha ila hawataki kuwasikia wahindi ambao ni Waislam.

Na ukichunguza kwa kina wahindi wengi waislam walikimbilia Africa na nchi nyingine kutokana na hizi chuki.

Nchini India jamii za kiislam zinaishi kwa wasiwasi sana na ukibainika muislam anaona binti wa kihindi anaweza kufa kifo cha kutatanisha.

Cha ajabu kule Pakstan jamii ya kihindi inachuki na ukristo kuliko Wahindu.

Sijawahi kushuhudia huu uhasama wa kidini nchi yeyote zaidi ya India.
 
Shida ni Mafundisho ya Dini ya Uislamu, Waislamu wanafundishwa kwamba Mtume Muhammad (SAW) ndiyo wa mwisho kwa maana hiyo hakuna mwingine hivyo basi binadamu wote ni lazima wamkubali na kumfwata, shida inaanzia hapo, tatizo la India ni kwamba Uislamu hauutambui Uhindu na Waislamu wanaamini kwamba watu wote mwishowe ni lazima wawe Waislamu.

Hata Ukristu ulikuwa hivyo zamani lkn tofauti ni kwamba Ukristu unabadilika na muda wakati Uislamu uko vile vile, hivyo siyo India tu hata hapa Tanzania ni swala la muda tu kabla hakijanuka, kwa sababu ya kuamini hivyo nilivyoandika hapo juu, kwa maana nyingine kwa Muislamu kama wewe siyo Muislamu kwa upande wake ni kwamba ubinadamu wako una mapungufu au kasoro hata kama hatokwambia usoni lkn deep inside anaamini hivyo, …
 
Kila kona ya hii dunia Dini ya kiislamu ni shida. Inapigwa vita na wazungu , wachina na wahindi na shida ni ile ile waislamu wanataka kulazimisha dini yao ifuatwe kwa nguvu kitu ambacho akikubaliki kwa dunia ya saiv ambayo dini ni hiyari ya mtu.
 
Hawa wahindi wa india ambao ni waamini wa dini ya kihindu wanawachukia sana waislam wanakwambia wangeweza wangewateketeza kwa bomu kama lile la USA kwenda japan....
Tatizo ni moja linalo sababisha chuki kuzidi duniani dhidi ya waislam ni kwamba kwa sasa hakuna waislamu bali wamejaa waisiharamu ...na hao waisiharamu ndiyo tatizo
 
Shida ni Mafundisho ya Dini ya Uislamu, Waislamu wanafundishwa kwamba Mtume Muhammad (SAW) ndiyo wa mwisho kwa maana hiyo hakuna mwingine hivyo basi binadamu wote ni lazima wamkubali na kumfwata, shida inaanzia hapo, tatizo la India ni kwamba Uislamu hauutambui Uhindu na Waislamu wanaamini kwamba watu wote mwishowe ni lazima wawe Waislamu.
Kama tatizo lingekuwa Waislamu kwani Dubai wengi wao ni wa dini gani na msuguano kama huo umeuona?

Qatar napo kuna Wahindi wengi msuguano kama huo umeuona?

Kuwait kuna Wahindi wengi msuguano wa namna hiyo umeusikia?

Kote huko Wahindi wana nyumba zao za ibada.

Kuna kipindi ilikuwa ni mwezi wa Ramadhani futari iliandaliwa kabla ya kuswali magharibi ili baada ya swala watu wale. Kwa ghafla kundi la nyani likavamia na kula futari. Kumaliza swala nyani wanakula futari.

Viongozi wakasema tusiwafukuze! Wakaenda temple ya karibu kuwaambia kuna suala limetokea kwenye nyumba yetu ya ibada tunaomba mtusaidie kuli tatua. Walipofika wakakuta nyani wanakula futari, walifurahi sana! Wakalipia gharama ya chakula chote kwa ujumla. Sikujua ina maanisha nini! Kuuliza nikaambiwa ile temple nyani ni mungu wao! Tungeliwakimbiza laiti wangelituona ingelikuwa mtafaruku mkubwa! Wahindu wana miungu mingi! Kuwa makini na kila kiumbe ukiwa kwenye jamii yao hususani India.

Kwa Waislam kuna dhehebu linaloitwa Salafi. Salafi nao wamegawanyika; kuna wa moto kiasi na wa moto kabisa. Hawa chao ni sahihi cha kwako si sahihi, ukimfuata upo sahihi usipomfuata umepotea. Hawa ndoa zao wanafungishana wao tu! Wengine wanafika mbali kabisa asie Muislam kwao wanamuona amekuja bahati mbaya duniani. Fahamu pia; mpaka Waislamu dheheb la Sunni kwa upande wa Salafi wanawaona Sunni wamepotea hivyo utapewa majina mabaya kweli.

Sasa Muhidu mwenye dini nyingi na miungu mingi wawe ndani ya jamii moja na Salafi unategemea nini? Chuki itakuwepo baina yao na uhasama mkubwa!
 
Kama tatizo lingekuwa Waislamu kwani Dubai wengi wao ni wa dini gani na msuguano kama huo umeuona?

Qatar napo kuna Wahindi wengi msuguano kama huo umeuona?

Kuwait kuna Wahindi wengi msuguano wa namna hiyo umeusikia?

Kote huko Wahindi wana nyumba zao za ibada.

Kuna kipindi ilikuwa ni mwezi wa Ramadhani futari iliandaliwa kabla ya kuswali magharibi ili baada ya swala watu wale. Kwa ghafla kundi la nyani likavamia na kula futari. Kumaliza swala nyani wanakula futari.

Viongozi wakasema tusiwafukuze! Wakaenda temple ya karibu kuwaambia kuna suala limetokea kwenye nyumba yetu ya ibada tunaomba mtusaidie kuli tatua. Walipofika wakakuta nyani wanakula futari, walifurahi sana! Wakalipia gharama ya chakula chote kwa ujumla. Sikujua ina maanisha nini! Kuuliza nikaambiwa ile temple nyani ni mungu wao! Tungeliwakimbiza laiti wangelituona ingelikuwa mtafaruku mkubwa! Wahindu wana miungu mingi! Kuwa makini na kila kiumbe ukiwa kwenye jamii yao hususani India.

Kwa Waislam kuna dhehebu linaloitwa Salafi. Salafi nao wamegawanyika; kuna wa moto kiasi na wa moto kabisa. Hawa chao ni sahihi cha kwako si sahihi, ukimfuata upo sahihi usipomfuata umepotea. Hawa ndoa zao wanafungishana wao tu! Wengine wanafika mbali kabisa asie Muislam kwao wanamuona amekuja bahati mbaya duniani. Fahamu pia; mpaka Waislamu dheheb la Sunni kwa upande wa Salafi wanawaona Sunni wamepotea hivyo utapewa majina mabaya kweli.

Sasa Muhidu mwenye dini nyingi na miungu mingi wawe ndani ya jamii moja na Salafi unategemea nini? Chuki itakuwepo baina yao na uhasama mkubwa!

Usisahahu India kuna Waislamu wengi sana tu isitoshe Dubai/UAE ni nchi ya Kiislamu na inayofwata Uislamu hivyo mgeni yoyote ni lazima afwate masharti yao ya Uislamu kama unataka kuishi UAE usifikiri ni kama Tanzania ambapo mgeni ndiyo anapanga wewe mwenyeji ndio ujipendekeze!
 
Usisahahu India kuna Waislamu wengi sana tu isitoshe Dubai/UAE ni nchi ya Kiislamu na inayofwata Uislamu hivyo mgeni yoyote ni lazima afwate masharti yao ya Uislamu kama unataka kuishi UAE usifikiri ni kama Tanzania ambapo mgeni ndiyo anapanga wewe mwenyeji ndio ujipendekeze!
Mzee UAE waarabu wote wanaovaa kanzu na kufuga ndevu si wote ni waislamu wengine ni Wakristo na dini nyengine ila wengi wao ni Waislam. Na huko vinywaji mivinyo inanywewa kama kawaida. Unaweza kufika mahali ukamkuta mwarabu ana kanzu na kilemba na ndevu anakunywa bia. Ukiuliza dini si Muislam. Hakuna sheria za Kiislamu kule bali kuna sheria za jamii yao na ndiyo maana princess wa Dubai utamuona kichwa wazi muda mwengine.

Au utaona mwanamke kavaa juba lakini kwa juu kwenye kichwa kaachia nywele wazi kiasi yaani hijabu yake imevaliwa nusu! Hata vichwa wazi wanawake wanatembea hususani wageni. Hivyo kule hakuna sheria za Kiislamu.

Sijui umekielewa nilickokuwa nakizungumzia?
 
Shida ni Mafundisho ya Dini ya Uislamu, Waislamu wanafundishwa kwamba Mtume Muhammad (SAW) ndiyo wa mwisho kwa maana hiyo hakuna mwingine...
Ukristo haujawahi kuamini kwamba ni lazima kila mtu amuamini Mungu wao. Wapi Ukristo uliwahi tumia nguvu kueneza injili?

Wahindu ni dini kongwe kuliko Uislamu. Mtume kazaliwa kakuta Wahindu wapo na mambo yao kina Krishna sijui ng'ombe na Budha. Mara Waislamu wakaenea mpaka maeneo ya Wahindu na kutaka kubadili tamaduni.

Uislamu haujui kuadapt tamaduni za eneo husika ndio maana hadi Botswana wanakula tende na kuvaa kanzu, wa Bolivia watafanya hivyo, wa Honduras watafanya hivyo, wa Burma hivyo. Wakati tende ni asili ya Waarabu hata kabla ya Uislamu kuwepo zililiwa, usingekuwepo muujiza wa kuwalisha vanilla zao lililokuwa Mexico tu hapa duniani.

Kanzu kabla ya Uislamu kuwepo zilivaliwa, wasingevaa mashuka ya kimasai kwani wangeyatoa wapi? Hata kuhiji ni ukouko Uarabuni, wasingehiji Venezuela hawakuwa hata wanaijua.

Dini inampasa mtu kutumia lugha moja ambayo haijazinduliwa na dini hiyo ila ni utamaduni wa Waarabu. Mwishowe jamii zenye tamaduni imara na za kale zaidi zinapata ugumu kuukubali Uislamu. China, Japan, India wote wana historia ya maelfu ya miaka na imani zao. Leo uwaambie kufuga ndevu, kufunga mwezi mtukufu, kuoa wake wanne na mambo ya sunna wanakushangaa. Fujo inakuja pale unapowalazimisha.

Dini kuu zote ni dini za watu waliokuwa na expansionism na wauaji. Kama Wahindu wangekuwa na expansionism watu wengi duniani wangekuwa Wahindu
 
We mwenyewe si umesikia wamemlamba visu mtu huko kisa kitabu kiliandikwa 1988.Mchina ndio anawaweza.
Sasa hao wanaofanya hivyo ndiyo wahuni wa kwenye dini!

Uislamu umekataza kumshambulia mtu kisa kakutukana! Hata Mtume alipoulizwa na Arab jamii ya Bedui ya kuwa umetujia na nini? Mtume alianza amekuja na ubinadamu kwanza, dini ikawa ni ya 3 kwenye jawabu lake. Mafundisho ya dini yanasema ubinadamu kwanza kabla ya dini.

Mtume amekashifiwa hakuamuru wauawe! Akisalimiwa alikuwa akiambiwa Assamu alaykum: Maana yake; kifo kiwe juu yako (ewe Muhammad) lakini yeye hakukasirika wala kuamuru hao watu wapigwe.

Mtume alipigwa mawe mpaka damu zinamchuruzika lakini hakuwaombea waliompiga dua mbaya wala kuwaamuru Maswahaba zake waende wakalipe kisasi chake.

Mtume kwa kugundua kua Madina wanaishi jamii zenye dini tofauti aliingia nao mikataba ya amani baina ya jamii hizo zote wakiwemo na wao likiwemo suala la jamii hizo zote waweze kulinda maslahi ya mipaka ya ardhi endapo mahala popote pakivamiwa watetee ardhi yao.

Fahamu ya kwamba; kwenye dini kuna wahuni! Ukimpata muhuni atawapeleka kihuni.
 
Ukristo haujawahi kuamini kwamba ni lazima kila mtu amuamini Mungu wao. Wapi Ukristo uliwahi tumia nguvu kueneza injili?

Wahindu ni dini kongwe kuliko Uislamu. Mtume kazaliwa kakuta Wahindu wapo na mambo yao kina Krishna sijui ng'ombe na Budha. Mara Waislamu wakaenea mpaka maeneo...

Zamani ukristu wa Ulaya ulikuwa hivyo au unafikiri kwa nini kuna Ukristu Tanzania unafikiri ilikuwa hiari?
 
Mzee UAE waarabu wote wanaovaa kanzu na kufuga ndevu si wote ni waislamu wengine ni Wakristo na dini nyengine ila wengi wao ni Waislam. Na huko vinywaji...

Sawa, usichanganye Utalii na kuishi, UAE ni nchi ya Kiislamu na ukitaka kuishi huko wana masharti na kanuni za Kiislamu ambazo ni lazima uzifwate!
 
Zamani ukristu wa Ulaya ulikuwa hivyo au unafikiri kwa nini kuna Ukristu Tanzania unafikiri ilikuwa hiari?
Zamani gani hiyo. Lini na wapi, na kina nani. Unataka kusema crusader, katafute the first crusader ilitokana na nini.

Wapi hapa Tanganyika kuna mtu alikatwa shingo akilazimishwa kuwa Mkristo
 
Zamani gani hiyo. Lini na wapi, na kina nani. Unataka kusema crusader, katafute the first crusader ilitokana na nini.

Wapi hapa Tanganyika kuna mtu alikatwa shingo akilazimishwa kuwa Mkristo

Kulazimishwa siyo lazima kukatwa shingo tu hata Uislamu haukuenezwa kila mahali kwa kukatwa shingo labda nikuulize kwa nini Watanzania wana majina ya Kizungu kama George, Elisabeth au sijui Anna? Ilikuwaje ? Nini kilitokea kwani kabla ya Wazungu kuja hakukuwa na Anna wala Christopher sasa nini kilitokea?
 
Back
Top Bottom