Kwanini Wahindu wanawachukia sana Waislam ambao ni ndugu zao na kuwapenda Wakristo na Wabudha?

Umaskini ukikutana na itikadi za msimamo mkali ni kama kiberiti kilichowashwa karibu na petrol.
 
Amna kitu kama icho Uislamu hauna chuki na dini nyingine yoyote ikiwa na wao wanaishi na nyinyi kwa upendo tuje kwenye kipindi cha uhai wa mtume s.a.w aliishi kwenye mji mmoja na watu wa dini nyingine wasiokuwa waislamu na wala akuwadhuru ..usome uislamu vizuri kiufupi wahindu ni wabaguzi kupita kiasi kwenye dini yao wenyewe mtu mweusi amelaaniwa yani ni wabaguzi grade A duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imani nikitu hatari sana nihisia za ndani kabisa kwa mwanadamu kwa hiyo kila mtu anacho amini hapo ndio utata unakuja mwingine kulazimisha kuamini asicho kiamini mwisho mauaji, chuki na kutengana

MUNGU ATUNUSULU KWA TAIFA LETU.
Kwenye uislamu hakuna kulazimishana kwenye dini kama mtu amekataa kusilimu na kuwa muislamu upaswi kumfanyia vitimbi vyovyote unatakiwa kumuacha na vile vile kuitusi dini za wengine ni haramu kwenye uislamu .. Uislamu ni amani na upendo na wala siyo chuki na vita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kona ya hii dunia Dini ya kiislamu ni shida. Inapigwa vita na wazungu , wachina na wahindi na shida ni ile ile waislamu wanataka kulazimisha dini yao ifuatwe kwa nguvu kitu ambacho akikubaliki kwa dunia ya saiv ambayo dini ni hiyari ya mtu.
Narudia tena hakuna kulazimishana kwenye uislamu kama mtu amekataa kusilimu aitakiwi kumlazmisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dubai imejaa wageni sio waarabu na ndio maana makanisa yapo kibao na hata majengo mengi ni wazungu, wahindi na wachina wapo
 
Dini zililetwa na waarabu na wazungu, na walitukuta tukiabudu na kupata matokeo ya ibada zetu, mtu anakuja anakwambia wewe ni khafiri na ukimuu khafiri mmoja unapata thawabu mbinguni.

Huu ni ujinga mkubwa sana
 
Acha kuongopa..sheria za Tanzania zimetokana na common law..na customary laws.

#MaendeleoHayanaChama
 
Utamlaumu mzungu lakini chanzo cha yote ni udini na chuki za Islam baada ya kushindwa na kukataliwa kuharibu tamaduni za wahindi..

Leo mzungu kaondoka kutawala huko miaka mingi kwanini wasirudi hali yao ya wali?

#MaendeleoHayanaChama
 
Wapi jamii ya kiislamu ilishawahi kupaza sauti kukemea hao wanaofanya vitendo hivyo..ama hayo makundi ya kigaidi?zaidi ya kukaa kimya kumaanisha wanaunga mkono yote hayo yanayotokea.

Mimi na mfano mdogo tu wa hapa hapa kwetu hata tusiende mbali..kwanini wakristo wa zenji wanakatariwa kumiliki ardhi..na kwanini miaka ya nyuma mapadri waliuliwa zenji na wengine kumwagiwa tindikali...kama kweli uslam ni dini ya upendo na amani kwa watu wote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuhusu ubaguzi hata waarabu kupitia dini yao hawachangamani na mweusi ndio mana leo hii ni ngumi sana mwarabu pure kuozesha mtoto wake kwa mweusi hata kama wawe imani moja...

Ubaguzi ni asili ya yao.

#MaendeleoHayanaChama
 
..usome uislamu vizuri kiufupi wahindu ni wabaguzi kupita kiasi kwenye dini yao wenyewe mtu mweusi amelaaniwa yani ni wabaguzi grade A duniani

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtu mweusi anaiingiaje kwenye Uhindu? Nimesoma Bhagvad Gita hakuna mahali niliona imeongelea mtu mweusi kama ulimaanisha Mwafrika labda kama unachanganya na caste System ya India ambayo ina classes kuanzia Brahmas juu hadi wale wa chini kabisa untouchables, lkn untouchables siyo watu weusi kama sisi ni Wahindi wenzao, hivyo kama ni Ubaguzi ni wa Wahindi kwa Wahindi kutokana na hiyo caste system yao, lkn Uhindu hauna uhusiano wowote na mtu mweusi wa Afrika kama sisi!
 
Kule garrisa Kenya Yale magaid ya alshabab yalipovamia kile chuo na kuua wakristo na kuacha wavaa kobaaz wenzao walikua na maana gani? Kule Nigeria wale bokoharam wanaolazimisha uislam uko kwao Yani wanataka jamhuri yaa kiislam ..kwanini magaidi wengi wanautumia uislam na siyo ukristo kueneza arakati zao ..kwanini wengi Ni wavaa kobaaz na siyo watu wa kawaida. Kama munadai uislam Ni dini ya amani kwanini magaidi wanatafuta amani ama Sheria zao za kikumbavu kufuatwa. ..
 
Sasa Muhidu mwenye dini nyingi na miungu mingi wawe ndani ya jamii moja na Salafi unategemea nini? Chuki itakuwepo baina yao na uhasama mkubwa!
Upo sahihi kabisa, tena huko India kuna jamii za kihindu zenye misimamo mikali na mara nyingi hujaribu kuwalazimisha waislamu wawe wahindu kimabavu na makundi hayo huungwa mkono na baadhi ya wanasiasa ili wavune kura na wafuasi nyakati za uchaguzi.
 
Lkn ukiangalia tabia za waislam karibu dunia nzima zinafanana hapo uingereza anasingiziwa kwasababu ya mapungufu ya dini nyengine
Uwe unaongea unachokijua na uwe unaijua nature ya Uislamu ipo vipi. Vinginevyo kaa kimya na uache kuendeleza chuki zako kwenye udini, waislamu toka enzi wanaishi na wasiyo waislamu na hawajawahi kuwalazimisha kubadili dini au kuwaingilia imani zao. Hata Mtume Muhammad(S.A.W) mwenyewe kaishi na wayahudi na aliwaheshimu imani zao. Na yeye ndiye kila mwislamu anafuata mafunzo yake na taratibu zake alizoishi na wengine.

India kabla ya ujio wa Ukoloni hawakuwa na uhasama kati ya wahindu na waislamu, waliishi vizuri tu kwa amani. Mambo yamekuja kusababishwa na mkoloni, aliona umoja wao ungekuwa hatari kwake. Akawagawa ili atawale vizuri
 
Utamlaumu mzungu lakini chanzo cha yote ni udini na chuki za Islam baada ya kushindwa na kukataliwa kuharibu tamaduni za wahindi..

Leo mzungu kaondoka kutawala huko miaka mingi kwanini wasirudi hali yao ya wali?

#MaendeleoHayanaChama
Kabla ya ujio wa Mzungu hawakuwa na chuki wala udini, waliishi pamoja. Sera ya DIVIDE AND RULE ndiyo imeleta yote haya. Hii hata huku Afrika imeacha ukabila mwingi maana watu walitambuana kwa kabila, tofauti na huko walipojali dini.

Pia kule India ni watu ambao wanarithishana chuki kutoka kizazi hadi kizazi, suala hili ni gumu sana jambo kama hili kuisha. Kila mtoto akizaliwa alikuwa akipewa sumu dhidi ya adui wanayemchukia. Jambo hili limefanya hadi baadhi ya koo kule kwao kuishi hivyo hadi leo, hivyo usitegemee hilo suala la uhasama likaisha wakati linasambazwa kizazi kimoja hadi kingine

Pre-colonial period India haikuwa na uhasama wa kidini kati ya waislamu na wahindu, na hata watafiti wengi wamethibisha hilo
 
Kuna makala niliiona BBC wanasema chanzo cha chuki ni Mkoloni wao ambaye Mwingereza.

Mwingereza wakati anaitawala India, Wahindi wa kihindu walikuwa wanapewa upendelea mkubwa sana kwenye elimu na utawala na Wahindi waislam walikuwa wanachukuliwa kama daraja la china kabisa na watu wanaodharauliwa.

Na hii ilikuwa mbinu ya Mwingereza kuwatawala, kwa hiyo Ile kubaguana kumeendelea mpaka Leo na kesho.

Sawa na ilivyo hapo Rwanda.
 
Hawa watu wengi wao ni wastaarabu kwenye maandishi tu ila mioyo yao imejaa chuki huo ndio ukweli
 
Kila kona ya hii dunia Dini ya kiislamu ni shida. Inapigwa vita na wazungu , wachina na wahindi na shida ni ile ile waislamu wanataka kulazimisha dini yao ifuatwe kwa nguvu kitu ambacho akikubaliki kwa dunia ya saiv ambayo dini ni hiyari ya mtu.
uislamu haupo hivyo,dini zilibadilika baada ya kuingizwa biashara na siasa ndani yake...tafuta katika Quran suratul baqra aya ya 62 na nadhani suratul maida Aya ya 63 Mungu anaweka wazi yeye NI wadini zote sio uislamu TU....hapo itakufungua macho na kuona Quran inataka Nini na si waumini wa kiislamu wanataka nini
 
Lkn kiongozi wa dini ya kiislam huko iran aliagiza huyo mwandishi auwawe maiti ipelekwe iran
Watu walimfuata Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake juu ya kadhia fulani nayo ni: Wakamuuliza "mwanamke fulani anafunga kwa ajili ya Mungu, anakamilisha swala zote tano na anatumia sehemu yake ya usiku kufanya ibada. Lakini maisha yake ni mwenye kuwaudhi majirani zake". Mtume akajibu huyo ni mtu wa motoni!

Akaja kushitakiwa tena na watu ya kuwa mtu fulani anamtesa paka; Mtume akawajibu huyo ni mtu wa motoni.

Akamwambia kijana mmoja ambaye alikuwa anajiona yeye ni bora kuliko mwengine kuwa "dini yetu ni ya Mungu kuwa na heshima na viumbe vyake".

Maandiko kutoka kwenye hizo nukuu tatu unayaelewaje? Na unayafafanuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…