Kwanini Wahindu wanawachukia sana Waislam ambao ni ndugu zao na kuwapenda Wakristo na Wabudha?

Kwanini Wahindu wanawachukia sana Waislam ambao ni ndugu zao na kuwapenda Wakristo na Wabudha?

mwanamke raia wa sudan kaskazini alimgombeza mwanamke wa kitanzania hapa marekani, kwa nini anaongea na wakristo! mtanzania akajibu kwetu hatuna chuki za kidini. Yule msudan akasisitiza kuwa je mnawaruhusu wakristo kuingia ndani kwenu, mtanzania kamjibu sisi mpaka tunaoleana na familia inakuwa nzuri sana! msudani alichukia akatimka zake!
 
Salafiyya sio extremism na Isis sio Salafist. Moja katika makosa yanayofanywa na baadhi ya wasomi wa kimagharibi ni kuwaita Isis salafist. Isis ni khawaarij.

Niishie hapo.
Fafanua kidogo boss hao khawaarij ni kina nani na wapoje ?
 
Zamani ukristu wa Ulaya ulikuwa hivyo au unafikiri kwa nini kuna Ukristu Tanzania unafikiri ilikuwa hiari?
Watu hawajui historia za dini zao, Wakristu washukuru tu dini yao inaenda na wakati ndomana mambo mengi yanabadilika na sio shida kukuta sheria mpya katika dini ya Kikristu lakini ukweli Wakristu wameua sana katika juhudi zao za kueneza dini yao na walikuwa na sheria kali sana. Mfano mdogo ni Spain
 
Huwezi kuwa na akili timamu na kujitambua ukawa mfuas wa dini ya wavaakobazi..wengi ni brainwashed na wamependikizwa chuki dhidi ya watu wa imani zingine..sasa dini gani hiyo.

Mtu anauwa wenzake kisa dini karne hii ya 21 huu si upumbafu..mtu anajiua na kuua wengine kwa kujilipua mabomu kisa dini huu si ukosefu wa akili.
Dini+ujinga ni janga kwa ulimwengu uliostaarabika.

#MaendeleoHayanaChama
Ndege wanaofanana hutaka pamoja...
 
Watu hawajui historia za dini zao, Wakristu washukuru tu dini yao inaenda na wakati ndomana mambo mengi yanabadilika na sio shida kukuta sheria mpya katika dini ya Kikristu lakini ukweli Wakristu wameua sana katika juhudi zao za kueneza dini yao na walikuwa na sheria kali sana. Mfano mdogo ni Spain
Spain ilifanywa nini?
 
Unavyowaona Taleban ndivyo uislam unavyotaka sema maeneo mengine wanazidiwa ila Waislam wote wameamriwa kufanya kama wanavyofanya Talaban.
 
Hawa wahindi wa india ambao ni waamini wa dini ya kihindu wanawachukia sana waislam wanakwambia wangeweza wangewateketeza kwa bomu kama lile la USA kwenda Japan

Hii chuki inatokana na nini? Tukumbuke hawa wote ni wahindi jamii moja

Zamani kutokana na hii chuki kulipelekea waislam kujitenga na kuunda nchi yao ya Pakstan
Ila kuna waislam walibaki kwenye nchi yao ya asili ya India na kupelekea mgogoro hadi leo

Hawa wahindu wanaupendo wa dhati kwa wakristo na wabudha ila hawataki kuwasikia wahindi ambao ni waislam

Na ukichunguza kwa kina wahindi wengi waislam walikimbilia Africa na nchi nyingine kutokana na hizi chuki

Nchini India jamii za kiislam zinaishi kwa wasiwasi sana na ukibainika muislam anaona binti wa kihindi anaweza kufa kifo cha kutatanisha

Cha ajabu kule Pakstan jamii ya kihindi inachuki na ukristo kuliko wahindu

Sijawahi kushuhudia huu uhasama wa kidini nchi yeyote zaidi ya India
Achana na dini za India, zimekaa ki-castle zaidi kuliko imani: castles za india hazichanganyikani, hilo la dini ni next level. ila waislam, waache wachukiwe tu kwakuwa hata wao wanachuki na imani nyingine
 
Unavyowaona Taleban ndivyo uislam unavyotaka sema maeneo mengine wanazidiwa ila Waislam wote wameamriwa kufanya kama wanavyofanya Talaban.
Unaonaje ukipita pale kwa mangi ukapata kilo moja ya mdudu na faru john kwa bill yangu?, hebu fanya hivyo
 
Spain ilifanywa nini?
Katika karne ya nane Hispania ilikuwa ni moja ya nchi yenye Waislam wengi miongoni mwao wakiwa ni Waarabu, Berbers na wale wazawa waliobadilisha dini wenyewe. Miongo michache baadaye Kadinali Francisco Jiménez de Cisneros alianza kampeni katika mji wa Granada kulazimisha kufuata dini ya Ukristo kwa mateso na kifungo. Uislam ulikomeshwa kwa nguvu kubwa na mauaji makubwa ya halaiki. Ili waishi kwa amani iliwabidi Waislam wabadili dini au waendelee kuabudu katika imani yao kwa siri.
 
Katika karne ya nane Hispania ilikuwa ni moja ya nchi yenye Waislam wengi miongoni mwao wakiwa ni Waarabu, Berbers na wale wazawa waliobadilisha dini wenyewe. Miongo michache baadaye Kadinali Francisco Jiménez de Cisneros alianza kampeni katika mji wa Granada kulazimisha kufuata dini ya Ukristo kwa mateso na kifungo. Uislam ulikomeshwa kwa nguvu kubwa na mauaji makubwa ya halaiki. Ili waishi kwa amani iliwabidi Waislam wabadili dini au waendelee kuabudu katika imani yao kwa siri.

Inatia kichefu chefu kuona mnavyoangaika kubadili history.
Hivi, ni nini hasa kilichondani ya mioyo yenu waislamu?. Kwanini kweli haimo ndani mwenu?.

Hii guts ya kupindisha history ili ku-justfy nia yenu ovu dhidi ya dunia mnaipata wapi?.
Kila nikitafakari kuhusu uislamu, uanzishwa wake na kinachoendelea dunia:-natikisa kichwa najisemea moyoni "acha Yesu awe Mungu" . Founder wa Dini yenu ni Yule baba uwongo na ndiye amewafanya hata nyinyi wafuasi muwe waongo waongo na hamna haya pindi mnapotaka kudanganya kuhusu dini.

Yn 8:44 SUV​

Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba uwongo.

Hapa unajaribu kueleza uislamu as if wakazi wa Spain waliposikia habari Muhammad na dini yake mpya wakaslim bila shurti.

Spain imekuwa na wakristo toka hata Muhammad hajawepo dunia na cult yake the same to Morocco, tunisia na misri unalijua ili ila kwasababu ya dini yako inakutaka udanganye katika jambo lolote linahusu dini umeamua kuruka iki kipande muhimu.

Kwasababu hiyo hiyo ya kuongea uwongo ili upate thawabu kwa mungu wako:- hutaki kuongelea wanajihadi walioji-mobilize na kutumia ukingo wa STRAIT OF GIBRALTAR ili kwenda kuislimisha ulaya.
Utaki kuongelea vile majihadist hao walichoma mashua zao ili hasipatikane wa kurudi nyuma kwenye adhima yao ya kwenda kueneza upagani wao ulaya.
Kosa la wakristo wa wakati huo ni kukataa kuvumilia masaghibu ya majihadist ndiyo maana unawaangushia mzigo.. Kwako wewe ulitaka wakristo wawe wiped ama waupokea upagani wa makka.
MMELOGWA.
 
Inatia kichefu chefu kuona mnavyoangaika kubadili history.
Hivi, ni nini hasa kilichondani ya mioyo yenu waislamu?. Kwanini kweli haimo ndani mwenu?.

Hii guts ya kupindisha history ili ku-justfy nia yenu ovu dhidi ya dunia mnaipata wapi?.
Kila nikitafakari kuhusu uislamu, uanzishwa wake na kinachoendelea dunia:-natikisa kichwa najisemea moyoni "acha Yesu awe Mungu" . Founder wa Dini yenu ni Yule baba uwongo na ndiye amewafanya hata nyinyi wafuasi muwe waongo waongo na hamna haya pindi mnapotaka kudanganya kuhusu dini.

Yn 8:44 SUV​

Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba uwongo.

Hapa unajaribu kueleza uislamu as if wakazi wa Spain waliposikia habari Muhammad na dini yake mpya wakaslim bila shurti.

Spain imekuwa na wakristo toka hata Muhammad hajawepo dunia na cult yake the same to Morocco, tunisia na misri unalijua ili ila kwasababu ya dini yako inakutaka udanganye katika jambo lolote linahusu dini umeamua kuruka iki kipande muhimu.

Kwasababu hiyo hiyo ya kuongea uwongo ili upate thawabu kwa mungu wako:- hutaki kuongelea wanajihadi walioji-mobilize na kutumia ukingo wa STRAIT OF GIBRALTAR ili kwenda kuislimisha ulaya.
Utaki kuongelea vile majihadist hao walichoma mashua zao ili hasipatikane wa kurudi nyuma kwenye adhima yao ya kwenda kueneza upagani wao ulaya.
Kosa la wakristo wa wakati huo ni kukataa kuvumilia masaghibu ya majihadist ndiyo maana unawaangushia mzigo.. Kwako wewe ulitaka wakristo wawe wiped ama waupokea upagani wa makka.
MMELOGWA.
Kwahiyo Uislam uliingia kwa vita Spain na kisha dini ya Mungu Ukristo wakawaua kwasababu hawakuwataka Waislam? Au unamaanisha nini?
 

Inatia kichefu chefu kuona mnavyoangaika kubadili history.
Hivi, ni nini hasa kilichondani ya mioyo yenu waislamu?. Kwanini kweli haimo ndani mwenu?.

Hii guts ya kupindisha history ili ku-justfy nia yenu ovu dhidi ya dunia mnaipata wapi?.
Kila nikitafakari kuhusu uislamu, uanzishwa wake na kinachoendelea dunia:-natikisa kichwa najisemea moyoni "acha Yesu awe Mungu" . Founder wa Dini yenu ni Yule baba uwongo na ndiye amewafanya hata nyinyi wafuasi muwe waongo waongo na hamna haya pindi mnapotaka kudanganya kuhusu dini.

Yn 8:44 SUV​

Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba uwongo.

Hapa unajaribu kueleza uislamu as if wakazi wa Spain waliposikia habari Muhammad na dini yake mpya wakaslim bila shurti.

Spain imekuwa na wakristo toka hata Muhammad hajawepo dunia na cult yake the same to Morocco, tunisia na misri unalijua ili ila kwasababu ya dini yako inakutaka udanganye katika jambo lolote linahusu dini umeamua kuruka iki kipande muhimu.

Kwasababu hiyo hiyo ya kuongea uwongo ili upate thawabu kwa mungu wako:- hutaki kuongelea wanajihadi walioji-mobilize na kutumia ukingo wa STRAIT OF GIBRALTAR ili kwenda kuislimisha ulaya.
Utaki kuongelea vile majihadist hao walichoma mashua zao ili hasipatikane wa kurudi nyuma kwenye adhima yao ya kwenda kueneza upagani wao ulaya.
Kosa la wakristo wa wakati huo ni kukataa kuvumilia masaghibu ya majihadist ndiyo maana unawaangushia mzigo.. Kwako wewe ulitaka wakristo wawe wiped ama waupokea upagani wa makka.
MMELOGWA.
Unaposhangaa kwanini Wahindu kuwachukia Waislam, mbona hujiuliza kwanini Wayahudi mnaowaabudu hawako pamoja nanyi kiimani. Mlivyo hamna akili mko radhi kufurahia Wakristo wenzenu kuuwawa na kunynyaswa kisa tu wanaowanyanyasa ni mabwana zenu mliowapa utukufu Waisrael
 
Kwahiyo Uislam uliingia kwa vita Spain na kisha dini ya Mungu Ukristo wakawaua kwasababu hawakuwataka Waislam? Au unamaanisha nini?
Niwe nina maanisha nini katika framework hipi?. History ni kuleza vitu vilivyokuwa sio KUMAANISHA. ilo la kumaanisha linaamuliwa na history YENYEWE, si mimi.
Swali liwe lenye utimamu ungeliuliza" kwa hiyo historia inamaanisha nini juu ya matukio hayo?".sio ninamaanisha(mimi)
nini!! Kuniuliza hivyo ni kutengeneza hisia kwamba mi ni muhiska katika historia hiyo.
So, mimi simaanishi, mimi ninaeleza history chungu usiyotaka kuisema kwasababu ya kuhofia kukosa thawabu kwa mungu wako.
 
Unaposhangaa kwanini Wahindu kuwachukia Waislam, mbona hujiuliza kwanini Wayahudi mnaowaabudu hawako pamoja nanyi kiimani. Mlivyo hamna akili mko radhi kufurahia Wakristo wenzenu kuuwawa na kunynyaswa kisa tu wanaowanyanyasa ni mabwana zenu mliowapa utukufu Waisrael
Haya unayayoaandika hapa chanzo chake ni ujinga wako na sina namna ya kukusaidia juu ya shida uliyonayo.
 
Haya unayayoaandika hapa chanzo chake ni ujinga wako na sina namna ya kukusaidia juu ya shida uliyonayo.
Huna la kujitetea hapa ndomana unaishia kuongea pumba. Mlichokosea ni kuandika uteule wa Waisrael katika kitabu chenu hamkujua mbeleni itakuwaje leo mnadhalilika hawajawahi kuukubali Ukristo🤣
 
Huna la kujitetea hapa ndomana unaishia kuongea pumba. Mlichokosea ni kuandika uteule wa Waisrael katika kitabu chenu hamkujua mbeleni itakuwaje leo mnadhalilika hawajawahi kuukubali Ukristo🤣
Chief, unatatizo kubwa na mi binafsi siwezi shughulika nalo.shauri ya wazazi wako.
 
Shida ni Mafundisho ya Dini ya Uislamu, Waislamu wanafundishwa kwamba Mtume Muhammad (SAW) ndiyo wa mwisho kwa maana hiyo hakuna mwingine hivyo...
Umetoa wapi haya mafundisho unayodai ya uislam kwamba lazima watu wote wawe waislam!?..hebu tupe faida na sisi maana hatukuyajua
 
Hawa Wahindi wa india ambao ni waamini wa dini ya Kihindu wanawachukia sana Waislam wanakwambia wangeweza wangewateketeza kwa bomu kama lile la USA kwenda Japan...
Wahindi waislamu na wahindu, hii ni Vita ya kisiasa
 
Wahindu ni washenzi sana, Ukifika India ndio utaelewa, Wanawabagua sana waislamu, Hata ajira kupata ni tabu, Hata nyumba kukodi ni shida ukishakua muislmau.
 
Back
Top Bottom