Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
 
1: tupe uthibitisho

2: sio kila ibada ni ya kujionyesha ili tujue we ni wa kuabudu.

3: unajua maana ya mtu kuwa mkristo au kisa tu tajiri ana jina la kizungu eti ndio mkristo

4: Wanaabudu nini haswa?
Ibada huwezi kujificha aisee. Hata Kiongozi Daniel alikuwa PM wa Serikali ya Dario watu wote walijua ni mcha Mungu na yuko sirias na ibada zake hadi wakamuhujumu.

Hata kama za wale zinamashaka ila ile devotion yao ni tofauti na matajiri wengi wa kikristo.
 
Inategemea na sehemu huwa hnaenda kufanya Ibada.

Mfano ukisali ule msikiti wa kariakoo ambao Bkhressa huwa anasali hakika utasema waislamu ni matajiri.

Ila kuna sehemu ukienda kusali inapigwa harambee ikiambatana na VITISHO vikali ili tu watu watoe sadaka maana yake hali za waumini sio imara.


Pia kwa Upande wa Makanisa ni vilevile kuna makanisa wanasali watu ambao wanajitafuta Ila pia kuna makanisa ukifika wewe mwenyewe utakubali.


So hoja yako kuhusu Ubilionea n.k kuna watu wana hela sana Ila wana play low key na hawana kelele na hawataki kujulikana . na wanasali Sana Ila hauwezi kuwajua
 
Sio hakuna bilionea mkristo ni hakuna matajiri wakubwa wa kimataifa ambao ni watu weusi, tofauti na waarabu na Hindu ambao wengi ni waislamu na wahindu , ukiwatoa hao mabilionea weusi wanaofuata wengi wao ni wakristo .
Kwa nini watu weusi hawamo kwenye ubilionea wa kimaaifa wakati bara hili ndio lina fedha za kutosha
 
Kwa nini watu weusi hawamo kwenye ubilionea wa kimaaifa wakati bara hili ndio lina fedha za kutosha
Waarabu na wahindu toka karne ya saba wamekuwa na mifumo na mitandao dhabiti ya kibiashara Africa ya mashariki , sio rahis kumfikia mtu wa hivyo wakati weusi walikua bado hawajafunguka .

Pia inaweza kuwa jibu la swali lako kwanini mabilionea wa kiislamu wengi wana sali tofauti na wakristo kwa sababu mabilionea wengi wa kiislamu ni Waarabu na wahindu ambapo kusali ni kama sehemu ya tamaduni zao tofauti na weusi ambao dini zote wameletewa tu hata mambo mengine wanaona kama hayawahusu kihivyo.
 
Inategemea na sehemu huwa hnaenda kufanya Ibada.

Mfano ukisali ule msikiti wa kariakoo ambao Bkhressa huwa anasali hakika utasema waislamu ni matajiri.

Ila kuna sehemu ukienda kusali inapigwa harambee ikiambatana na VITISHO vikali ili tu watu watoe sadaka maana yake hali za waumini sio imara.


Pia kwa Upande wa Makanisa ni vilevile kuna makanisa wanasali watu ambao wanajitafuta Ila pia kuna makanisa ukifika wewe mwenyewe utakubali.


So hoja yako kuhusu Ubilionea n.k kuna watu wana hela sana Ila wana play low key na hawana kelele na hawataki kujulikana . na wanasali Sana Ila hauwezi kuwajua
Kwani mleta uzi anauliza habari ya utoaji sadaka ? Au kasema waislamu wote ni matajiri?

Mbona unachanganya mada
 
Waislamu wanakuzwa kuona dini na kutimiza nguzo za kiislamu ni kitu muhim sana. Ndio maana mtu anaweza kuwa mafia Ila akajenga msikiti na kwenda makka pasipo kusahau kufunga kipindi cha mfungo

Kwa wakristu, dini yaweza kuwa kitu cha kwanza lakini maisha yao hayazungukii katika dini unless wawe walokole. Hao at least wanazingatia sana dini kuliko kitu chochote. Kwa hiyo Yes, kuna utofauti kiujumla katika uzingatiaji wa dini lakini hii haimaainishi kuwa matajiri wa kikristu hawazingatii Ila tu kuna utofauti
 
Inategemea na sehemu huwa hnaenda kufanya Ibada.

Mfano ukisali ule msikiti wa kariakoo ambao Bkhressa huwa anasali hakika utasema waislamu ni matajiri.

Ila kuna sehemu ukienda kusali inapigwa harambee ikiambatana na VITISHO vikali ili tu watu watoe sadaka maana yake hali za waumini sio imara.


Pia kwa Upande wa Makanisa ni vilevile kuna makanisa wanasali watu ambao wanajitafuta Ila pia kuna makanisa ukifika wewe mwenyewe utakubali.


So hoja yako kuhusu Ubilionea n.k kuna watu wana hela sana Ila wana play low key na hawana kelele na hawataki kujulikana . na wanasali Sana Ila hauwezi kuwajua
Umebalance vizuri. Waislam hasa wasio nacho wengi sio watoaji kama wakristo wasionacho. Msikiti mmoja jirani wamejengewa na mama mmoja ila jamaa wanachangishanaga kwa mbine bado hawapati fungu la maana. Ila wakristo wauza mchicha tu wanaweza kujinyima wakashusha mjengo kwa nguvu zao na wakaendesha mambo yao bila backup. Hapo kuna tofauti kwa mqsikini.

Mkristo Tajiri atajulikana maana kama ni muaminifu atatoa zaka. Na zaka waheesabuji wanajua anamzigo na viongozi. Kuna mmoja US aliwahi kutoa kama TSh Bil 300 zaka tu.
 
Kwani mleta uzi anauliza habari ya utoaji sadaka ? Au kasema waislamu wote ni matajiri?

Mbona unachanganya mada
Hapo hajazingatia. Ila wastani unaonyesha muislam mmoja tajiri anaweza kujenga misikiti 5, ila tajiri mmoja mkristo anaweza kutoa 20K mchango wa majengo ili asijulikane anapesa wakamsumbua.
 
Reward za uislam ukiwa mtu wa Dini zipo wazi sana. uislam uko connected na Majini na mafanikio ya majini!

Kwa Sababu majini hayo associated na Ukristo, then huwezi Kuwa mtu wa ibada sana ya Kikristo ukakutana nayo!

Ila kwa Sababu majini ni sehemu ya uislam, na wa Islam wana consider yanawafanikisha, then kuyafurahisha lazima Uwe mdimi!
 
Hapo hajazingatia. Ila wastani unaonyesha muislam mmoja tajiri anaweza kujenga misikiti 5, ila tajiri mmoja mkristo anaweza kutoa 20K mchango wa majengo ili asijulikane anapesa wakamsumbua.
Sio kweli tembelea makanisa ya kiroma na kkt huko Moshi ndio utajua hadi dollars millions 1 mpaka 2 mtu mmoja anaweza changia.
 
Reward za uislam ukiwa mtu wa Dini zipo wazi sana. uislam uko connected na Majini na mafanikio ya majini!

Kwa Sababu majini hayo associated na Ukristo, then huwezi Kuwa mtu wa ibada sana ya Kikristo ukakutana nayo!

Ila kwa Sababu majini ni sehemu ya uislam, na wa Islam wana consider yanawafanikisha, then kuyafurahisha lazima Uwe mdimi!
Lakini na sisi si tuna malaika ambao wako vizuri kuliko majini. Kwa nini wanashindwa kuwa na mtotisha za kimalaika kama wenzao wanavyopata motisha kutoka kwa majini safi.
 
Umebalance vizuri. Waislam hasa wasio nacho wengi sio watoaji kama wakristo wasionacho. Msikiti mmoja jirani wamejengewa na mama mmoja ila jamaa wanachangishanaga kwa mbine bado hawapati fungu la maana. Ila wakristo wauza mchicha tu wanaweza kujinyima wakashusha mjengo kwa nguvu zao na wakaendesha mambo yao bila backup. Hapo kuna tofauti kwa mqsikini.

Mkristo Tajiri atajulikana maana kama ni muaminifu atatoa zaka. Na zaka waheesabuji wanajua anamzigo na viongozi. Kuna mmoja US aliwahi kutoa kama TSh Bil 300 zaka tu.

Ukihesabu maknisa na misikiti ipo Ina idadi kubwa ?
 
Back
Top Bottom