Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Hapo hajazingatia. Ila wastani unaonyesha muislam mmoja tajiri anaweza kujenga misikiti 5, ila tajiri mmoja mkristo anaweza kutoa 20K mchango wa majengo ili asijulikane anapesa wakamsumbua.
Kwa kawaida tajiri wa kiislamu akijenga msikiti huwa inakuwa habari kiasi kwamba hata mtu asiye muislamu atajua.
Katika ukristu hiki kitu kipo kwa baadhi ya makanisa Ila mfano RC ni nadra sana kwa sababu sadaka ni SIRI...

Na ukitaka kujua kuwa wakristu wanatoa, usisali kwenye vigango vyetu hivi, sadaka ikifika milioni mbili watu wanashangilia. Nenda st peters au sehemu za kishua. Sadaka kukunja milioni 20 kwa misa moja ni kawaida. Sasa hapo utajua kuwa watu hutoa kiasi gani na usishangae ujenzi au maintenance ya kanisa ambayo ni ghali zaidi ikafanikishwa kirahisi bila wewe kujua ni nani kafanikisha

Kwa hiyo, katika ukristu si rahisi kujua sababu Sadaka ni SIRI
 
Sio kweli tembelea makanisa ya kiroma na kkt huko Moshi ndio utajua hadi dollars millions 1 mpaka 2 mtu mmoja anaweza changia.
Hawa sikupingi maana sina uzoefu nao wa kutosha. Ingawa kuna mzee mmoja mchaga aliwahi kuniambia tumepata eneo la kanisa linauzwa 500M tunapambana kulichukua. Nilishangaa hawakuchukua hata miezi miwili hekari zote zikawa mikononi mwao. Inawezekana wakawepo ila ishu ni kwenye ibada. Matajiri wenye viherehere na walio mstari wa mbele kwenye ibada na mambo ya imani kwa wazi pia wanakuwa wachache sana. Kutoa wanaweza kutoa.

Masikini ndio wako mbele sana. Hii imepelekea watu kudhani kuwa siriasi na Mungu kuna uhusiano na umasikini uliokithiri.
 
Sio kweli tembelea makanisa ya kiroma na kkt huko Moshi ndio utajua hadi dollars millions 1 mpaka 2 mtu mmoja anaweza changia.
Exactly lakini wengi huwa hawasemi. Ni sawa na kufikiria kuwa mzee Mengi pamoja na charity works zake za kusaidia jamii, hakuwahi kuchangia kanisa..

Huwa wanafanya hivyo Ila huwa ni siri sana Ila muislamu akijenga msikiti. Lazma ujue
 
Kwa kawaida tajiri wa kiislamu akijenga msikiti huwa inakuwa habari kiasi kwamba hata mtu asiye muislamu atajua.
Katika ukristu hiki kitu kipo kwa baadhi ya makanisa Ila mfano RC ni nadra sana kwa sababu sadaka ni SIRI...

Na ukitaka kujua kuwa wakristu wanatoa, usisali kwenye vigango vyetu hivi, sadaka ikifika milioni mbili watu wanashangilia. Nenda st peters au sehemu za kishua. Sadaka kukunja milioni 20 kwa misa moja ni kawaida. Sasa hapo utajua kuwa watu hutoa kiasi gani na usishangae ujenzi au maintenance ya kanisa ambayo ni ghali zaidi ikafanikishwa kirahisi bila wewe kujua ni nani kafanikisha

Kwa hiyo, katika ukristu si rahisi kujua sababu Sadaka ni SIRI
Nakukubali. Matajiri wengi wa kiafrika ikifika kwenye vuguvugu la masuala ya ibada maombi kuinjilsha mubashara ( sio kuchangia mahubiri) hawapo sana. Wangefanya na hayo wangekuwa na mvuto mkubwa sana kwa wengi kuingia kanisani. Huu uhafifu wa ushiriki wao unapelekea watu waone kama labda kuna umagumashi kwenye ukwasi wao labda ndio maana wanakaa nyumanyuma kwenye mambo yale.
 
Waislamu wanakuzwa kuona dini na kutimiza nguzo za kiislamu ni kitu muhim sana. Ndio maana mtu anaweza kuwa mafia Ila akajenga msikiti na kwenda makka pasipo kusahau kufunga kipindi cha mfungo

Kwa wakristu, dini yaweza kuwa kitu cha kwanza lakini maisha yao hayazungukii katika dini unless wawe walokole. Hao at least wanazingatia sana dini kuliko kitu chochote. Kwa hiyo Yes, kuna utofauti kiujumla katika uzingatiaji wa dini lakini hii haimaainishi kuwa matajiri wa kikristu hawazingatii Ila tu kuna utofauti
Hiki ndio nauliza. Mkuu umekifafanua vizuri. Mkristo anaweza kuwa mkristo kwa sababu amezaliwa kajikuta akatoa hata bilioni sadaka lakini maisha yake yasiwe yamethiliwa na dini na ibada za mara kwa mara ila wale jamaa wao hata kama ni bilionea bado utamkuta ubilionea wake una deep conection na ibada hata kama kuna mambo maovu anafanya gizani.
 
Hawa sikupingi maana sina uzoefu nao wa kutosha. Ingawa kuna mzee mmoja mchaga aliwahi kuniambia tumepata eneo la kanisa linauzwa 500M tunapambana kulichukua. Nilishangaa hawakuchukua hata miezi miwili hekari zote zikawa mikononi mwao. Inawezekana wakawepo ila ishu ni kwenye ibada. Matajiri wenye viherehere na walio mstari wa mbele kwenye ibada na mambo ya imani kwa wazi pia wanakuwa wachache sana. Kutoa wanaweza kutoa.

Masikini ndio wako mbele sana. Hii imepelekea watu kudhani kuwa siriasi na Mungu kuna uhusiano na umasikini uliokithiri.
Kuna namna matajiri wengi wanayatumia makanisa kutakatisha pesa na kujificha kwa migongo ya makanisa ,kwa namna hiyo yeye kutoa dollar laki mbili sio shida.
 
Exactly lakini wengi huwa hawasemi. Ni sawa na kufikiria kuwa mzee Mengi pamoja na charity works zake za kusaidia jamii, hakuwahi kuchangia kanisa..

Huwa wanafanya hivyo Ila huwa ni siri sana Ila muislamu akijenga msikiti. Lazma ujue
Ipo siri ya utakatishaji wa pesa siamini eti ni sadaka tu
 
Hawa sikupingi maana sina uzoefu nao wa kutosha. Ingawa kuna mzee mmoja mchaga aliwahi kuniambia tumepata eneo la kanisa linauzwa 500M tunapambana kulichukua. Nilishangaa hawakuchukua hata miezi miwili hekari zote zikawa mikononi mwao. Inawezekana wakawepo ila ishu ni kwenye ibada. Matajiri wenye viherehere na walio mstari wa mbele kwenye ibada na mambo ya imani kwa wazi pia wanakuwa wachache sana. Kutoa wanaweza kutoa.

Masikini ndio wako mbele sana. Hii imepelekea watu kudhani kuwa siriasi na Mungu kuna uhusiano na umasikini uliokithiri.
Matajiri huwa hawapendi sana kujichanganya na wakristo masikini kwenye kufanya ibada sana sababu masikini ukiwa nao karibu sana watakunanga kuona wewe hufai wewe ni wamotoni unaondoka na gari ya million 200 yeye anaondoka kwa miguu utasemwa utajiondoa wewe mwenyew

Hali ambayo ni tofauti na dini ya kiislam tajiri anafurahiwa na kusifiwa sana kwaanzia usafiri anaotembelea Hadi mali anazomiliki
 
Kuna namna matajiri wengi wanayatumia makanisa kutakatisha pesa na kujificha kwa migongo ya makanisa ,kwa namna hiyo yeye kutoa dollar laki mbili sio shida.
Biblia Daudi aliwahi kutoa sadaka ya thamani zaidi ya Trillioni 20 kwa siku moja kwa rate ya sasa.
Rockefeller (myahudi nadhqni) jumla ya zaka aliyotoa katika uhai wake ni zaidi ya Trilioni 3.
1 B kwa Tajiri mtoaji ni kama Buku tu
 
Matajiri huwa hawapendi sana kujichanganya na wakristo masikini kwenye kufanya ibada sana sababu masikini ukiwa nao karibu sana watakunanga kuona wewe hufai wewe ni wamotoni unaondoka na gari ya million 200 yeye anaondoka kwa miguu utasemwa utajiondoa wewe mwenyew

Hali ambayo ni tofauti na dini ya kiislam tajiri anafurahiwa na kusifiwa sana kwaanzia usafiri anaotembelea Hadi mali anazomiliki
Umenena
 
Biblia Daudi aliwahi kutoa sadaka ya thamani zaidi ya Trillioni 20 kwa siku moja kwa rate ya sasa.
Rockefeller (myahudi nadhqni) jumla ya zaka aliyotoa katika uhai wake ni zaidi ya Trilioni 3.
1 B kwa Tajiri mtoaji ni kama Buku tu
Sawa boss
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuriq ibadq za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
WAkristo wakishaona unafiki wanakaa pembeni tu. Ila kwenye Uislam unafiki ni maisha ndio maana kawaida tu.

Mimi nikishaona mtu anajifanya wa dini ila anachukua pesa za wanasiasa, anawaabidu huwa naona hakuna Mungu hapo.

Watu wengi wanaabudu Pesa na wanasiasa wenye madaraka tu. Hakunaga Mungu hapo.
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuriq ibadq za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Ninini kilimuua Manji
 
Lakini na sisi si tuna malaika ambao wako vizuri kuliko majini. Kwa nini wanashindwa kuwa na mtotisha za kimalaika kama wenzao wanavyopata motisha kutoka kwa majini safi.

Yea, but kuna kanunu hamtaki fuata, mfano, wewe hujui kula papuchi kabla ya ndoa na ukiwa kwenye ndoa kutoka nje ni dhambi? Na Mungu hawasikii waovu? Malaika anakusaidiaje?
 
WAkristo wakishaona unafiki wanakaa pembeni tu. Ila kwenye Uislam unafiki ni maisha ndio maana kawaida tu.

Mimi nikishaona mtu anajifanya wa dini ila anachukua pesa za wanasiasa, anawaabidu huwa naona hakuna Mungu hapo.

Watu wengi wanaabudu Pesa na wanasiasa wenye madaraka tu. Hakunaga Mungu hapo.
Kweli unafiki kwenye dini haufai. Ila tajiri mnafiki na mcha Mungu wote wakiudhuriq ibada au wakiwa wafia dini wa ukweli atajulikana tu
 
Kweli unafiki kwenye dini haufai. Ila tajiri mnafiki na mcha Mungu wote wakiudhuriq ibada au wakiwa wafia dini wa ukweli atajulikana tu
Kwanza mtu wa dini na utajiri havina mahusiano.

Nyumba za ibada ni matendo yako n asiyo una nini?

Ule uninga wa kuwawekea mahali pa kukaa na viti vyao, na wanasiasa siku hizi wakienda lazima waende mbele wapewe MIC wazungumze. Ni uhuni tu kama uhuni mwingine.

Ndio maana kwa wakristo mifano ya matajiri iko mingi. Mtu aliytoa BUKU kwenye utajiri wake wa buku jero, ametoa sadaka kubwa kuliko tajiri aliyetoa milioni 200 kwenye utajiri wake wa bilioni 900
 
Back
Top Bottom