Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Dini ya ukristo hata ukiwa ni mtu wa kuabudu sana, huwezii onekana, siku ya kuabudu ni moja tu kwa wiki, na huwa ni breaf, huwa hakuna publicity
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Bikira 72 si mchezo.
 
Kuna mtu anaongoza kwa kutoa Misaada TZ hii kumshinda BAKHRESA? Au ww unataka aende kwenye TV?
Misaada ya kugawa pesa misikiti na kufuturisha watu ? umewahi kuona Bakhresa akigharamia schoolarship ya watoto masikini kwenda kusoma ? labda wa kwenda kusomea uislamu Saudi Arabia..
 
Mtoa mada hajakataa kuwa mabilionea wakristo wanatoa sadaka!
Anachozungumza ni kuhudhuria sana kwenye nyumba za ibada ukilinganisha na mabilionea waislamu !

Kwa hiyo sadaka wanazitolea wapi mkuu..

Hata hivyo toka huko nyuma nimesema yawezekana ikawa kweli lakini isiwe na ukweli pia katika namna flani
 
Hao Royal Family wanafanya biashara gani Global wawe na utajiri huo unaosema ? hizo ndio Haox story za kina Rothchild kuwa ndio wamiliki wa mabenki yote Duniani.. Musk,Gate,Buffen,Zuckerberg wamewekeza kwenye teknolojia ya Mawasiliano ambayo inatumika karibu Duniani kote..
Mafuta? Na kuwekeza Hisa za kampuni mbalimbali.

Na sio Hoax, nenda kasome vigezo vya forbes, si kila tajiri yupo kule.

Hata hapa Africa it's well known fact Raisi wa Angola ana Ukwasi kuliko Dangote ila sababu hajakidhi vigezo vya Forbes Dangote ndio anaitwa Tajiri.
 
Misaada ya kugawa pesa misikiti na kufuturisha watu ? umewahi kuona Bakhresa akigharamia schoolarship ya watoto masikini kwenda kusoma ? labda wa kwenda kusomea uislamu Saudi Arabia..
Nchi hii toka ipate Uhuru hakuna mtu muhimu kushinda Bakhresa, jamaa single handed katatua matatizo kibao ya watanzania. Kama unahisi Msaada ni mpaka mtu akupe hela basi upo mbali sana.

1. Bidhaa zake anajinyima faida ili wafanyabiashara wadogo wapate faida. Kabla ya Bakhresa watu walikua wakiuza soda wanapata sh 50 tu, angeweza kujitajirisha mwenyewe ila akaja akauharibu huo mfumo na kuleta soda mtu anapata faida 180, Coka na Pepsi wakalalamika, ikabidi Serikali ipange bei ila outcome yake mpaka leo watu wakiuza soda wanapata angalau 100. Si soda tu bidhaa ambazo yeye ni Monopoly kama ice-cream zake alikua pasu pasu anagawana na wale wenye Vibaskeli unanunua I've cream 250-300 unauza 500, usione tu watu mtaani wanauza Bidhaa za Bakhresa wanapigwa na Jua, zina Faida especially kama huna Mtaji. Na hili pia lina reflect net worth ya Bakhresa, net worth yake inaongezeka kidogo mno kureflect faida ndogo anayoweka.

2. Soko la Filamu Tanzania, Kabla ya Bakhresa lilikua mfu, watu wanafanya Sanaa ila hawapati hela, sasa hivi kawainua wengi, Kasponsor Filamu nyingi na series.

3. Mpira Tanzania Kabla ya Bakhresa kila. Mtu alikua hautaki mpaka Super Sport waliukataa ila sasa hivi ameifanya ni katika Ligi tajiri Africa.

4. Usafiri wa Maji Kwenda Zanzibar enzi hizo kila siku unaskia Boti zinazama watu wanakufa, sasa hivi usafiri ni wa kisasa na unaenda kwa amani kabisa. Na ameingia tena kwenye biashara ya vivuko.

5. Amekua Akifanya Innovations mbalimbali na kubuni vitu vipya havi exist soko la Tanzania etc.

Cha muhimu zaidi Angalia Sekta ambazo Bakhresa anawekeza zote zinahitaji zaidi Informal education, anamgusa moja kwa moja Mtanzania wa kitaa kuliko Matajiri na wasomi wachache. Huu ni msaada mkubwa kuliko angetoa scholarship kwa maelfu ya watu.
 
Waislamu wanakuzwa kuona dini na kutimiza nguzo za kiislamu ni kitu muhim sana. Ndio maana mtu anaweza kuwa mafia Ila akajenga msikiti na kwenda makka pasipo kusahau kufunga kipindi cha mfungo

Kwa wakristu, dini yaweza kuwa kitu cha kwanza lakini maisha yao hayazungukii katika dini unless wawe walokole. Hao at least wanazingatia sana dini kuliko kitu chochote. Kwa hiyo Yes, kuna utofauti kiujumla katika uzingatiaji wa dini lakini hii haimaainishi kuwa matajiri wa kikristu hawazingatii Ila tu kuna utofauti
Unazungumziaje el chapo kujenga makanisa huko Latin Amerika na kusaidia watu?
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Matajiri wengi wa kiislamu wanafuga majini na majini mengi yanakaa misikitini so lazima wawe wanaenda huko
 
Makamo wa raisi
IMG_0790.jpeg


Vs
IMG_0791.jpeg
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Sio ibada wanapenda ushirikina zaidi kuliko hao wenzao.
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Hili litakuwa huko kwenu!
 
Unazungumziaje el chapo kujenga makanisa huko Latin Amerika na kusaidia watu?
Baniani mbaya kiatu chake dawa, naamini kusaidia watu ni kitu chema japo drug dealers wengi hutumia njia hiyo kutakatisha fedha lakini pia kupata loyalty ya wakazi wa maeneo wanayoishi.

K
 
Nakukubali. Matajiri wengi wa kiafrika ikifika kwenye vuguvugu la masuala ya ibada maombi kuinjilsha mubashara ( sio kuchangia mahubiri) hawapo sana. Wangefanya na hayo wangekuwa na mvuto mkubwa sana kwa wengi kuingia kanisani. Huu uhafifu wa ushiriki wao unapelekea watu waone kama labda kuna umagumashi kwenye ukwasi wao labda ndio maana wanakaa nyumanyuma kwenye mambo yale.
Labda kama sijakuelewa hoja yako,kwani wewe mkuu unapoingia Kanisa fulani huwa unajua status za waamini wote humo ndani?eg Catholic wastani wa waumini 400+ ibada kuanzia tatu hadi nne kwa siku hawa wote huwa unajua hali zao kimaisha?

Wakati fulani nilibahatika kuhudhuria chakula cha hisani kwa waumini kwa ajili ya ununuzi wa gari la Kanisa (Land Cruiser Hard Top hizi new shape) gharama yake ilikuwa 78mill but chini ya watu 100 hiyo hela ilipatikana na ni watu sikuwahi kuwaona wote so huwezi kusema matajiri hawahudhurii ibada as long as humjui kila mtu kwenye jamii ya waamini.
 
Back
Top Bottom