Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengi tu.Kwanza hakuna bilionea mkristu hapa bongo
Kuna mda mwingine unakuwaga na akiliWaarabu na wahindu toka karne ya saba wamekuwa na mifumo na mitandao dhabiti ya kibiashara Africa ya mashariki , sio rahis kumfikia mtu wa hivyo wakati weusi walikua bado hawajafunguka .
Pia inaweza kuwa jibu la swali lako kwanini mabilionea wa kiislamu wengi wana sali tofauti na wakristo kwa sababu mabilionea wengi wa kiislamu ni Waarabu na wahindu ambapo kusali ni kama sehemu ya tamaduni zao tofauti na weusi ambao dini zote wameletewa tu hata mambo mengine wanaona kama hayawahusu kihivyo.
Wewe umeongelea tofauti ya matajiri wa kitanzania na wa nchi za kiarabu sio dini...kuna wakristo matajiri na wanapenda ibada Marekani, Europe nk. Huku kwetu hata waislamu matajiri wanaheshimiwa tofati na kapuku kwa sababu, matajiri ni wachache inafanya waonekane specialSiku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.
Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.
Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.
Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?
Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc
Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.
Ni hayo tu
Mtumishi
Matunduizi.
Unaongelea mamilionea gani wakristo ambao hawaendi kanisani wakati mabilionea ndio wachungaji na manabii?Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.
Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.
Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.
Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?
Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc
Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.
Ni hayo tu
Mtumishi
Matunduizi.
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.
Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.
Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.
Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?
Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc
Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.
Ni hayo tu
Mtumishi
Matunduizi.
Reginald Mengi aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa IPP si alikuwa bilionea ?!Kwanza hakuna bilionea mkristu hapa bongo
muislamu hayo majini mbona sijawahi kuwaona?Reward za uislam ukiwa mtu wa Dini zipo wazi sana. uislam uko connected na Majini na mafanikio ya majini!
Kwa Sababu majini hayo associated na Ukristo, then huwezi Kuwa mtu wa ibada sana ya Kikristo ukakutana nayo!
Ila kwa Sababu majini ni sehemu ya uislam, na wa Islam wana consider yanawafanikisha, then kuyafurahisha lazima Uwe mdimi!
Mtoa mada hajakataa kuwa mabilionea wakristo wanatoa sadaka!Kwa kawaida tajiri wa kiislamu akijenga msikiti huwa inakuwa habari kiasi kwamba hata mtu asiye muislamu atajua.
Katika ukristu hiki kitu kipo kwa baadhi ya makanisa Ila mfano RC ni nadra sana kwa sababu sadaka ni SIRI...
Na ukitaka kujua kuwa wakristu wanatoa, usisali kwenye vigango vyetu hivi, sadaka ikifika milioni mbili watu wanashangilia. Nenda st peters au sehemu za kishua. Sadaka kukunja milioni 20 kwa misa moja ni kawaida. Sasa hapo utajua kuwa watu hutoa kiasi gani na usishangae ujenzi au maintenance ya kanisa ambayo ni ghali zaidi ikafanikishwa kirahisi bila wewe kujua ni nani kafanikisha
Kwa hiyo, katika ukristu si rahisi kujua sababu Sadaka ni SIRI
Uko sahihi mkuuMtoa mada hajakataa kuwa mabilionea wakristo wanatoa sadaka!
Anachozungumza ni kuhudhuria sana kwenye nyumba za ibada ukilinganisha na mabilionea waislamu !
Imani ya kiislam mnaamini kama walivyo binafamu waovu na wema majini pia wapo wema na wazuri ndio maana hadi kuna surat bin jinn kwenye Quran.Mimi ni
muislamu hayo majini mbona sijawahi kuwaona?
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.
Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.
Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.
Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?
Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc
Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.
Ni hayo tu
Mtumishi
Matunduizi.
AiseeIbada iwe ndefu au fupi imani yako inakuponya. Hata maskini wengi huwa hawapendi ibada ndefu basi tu hawana pa kwenda baada ya kutoka kwenye hio ibada
MropeToka famila Gani pale mm ndo home
Mm. ndo home Mzee alitoka familia gani
Wakristu wengi wanaona ulokole ni utumwadini yaweza kuwa kitu cha kwanza lakini maisha yao hayazungukii katika dini unless wawe walokole
Leo naona umetumia akili kusoma reply zangu.Kuna mda mwingine unakuwaga na akili
Wewe umeongelea tofauti ya matajiri wa kitanzania na wa nchi za kiarabu sio dini...kuna wakristo matajiri na wanapenda ibada Marekani, Europe nk. Huku kwetu hata waislamu matajiri wanaheshimiwa tofati na kapuku kwa sababu, matajiri ni wachache inafanya waonekane special