Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Kwanini Waislam matajiri wanapenda ibada kuliko wakristo waliofanikiwa kifedha?

Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Technically uisilamu na Biashara vinashabihiana muda mrefu mno, ukisoma Historia, Elites wa Nchi mbalimbali walikua wakisilimu sababu ya Biashara, hata Hapa Tanzania Still biashara imejichimbia kwenye Uisilamu, hivyo ni kawaida kukuta Watu wenye pesa wanaswali Tarawehe saa 8 usiku.

Kupitia Dini unakuwa recognised kwenye zaka, kupitia dini unapata connection za biashara etc, hivyo inakuwa rahisi kwa mfanyabiashara wa Kiisilamu kuwa mchamungu.
 
Sio hakuna bilionea mkristo ni hakuna matajiri wakubwa wa kimataifa ambao ni watu weusi, tofauti na waarabu na Hindu ambao wengi ni waislamu na wahindu , ukiwatoa hao mabilionea weusi wanaofuata wengi wao ni wakristo .
Hata hao matajiri wa kimataifa weusi pia wengi ni waisilamu toka Africa. Top 3 mostly ni Dangote, Adenuga na Abdul samadu.
 
Sio kweli tembelea makanisa ya kiroma na kkt huko Moshi ndio utajua hadi dollars millions 1 mpaka 2 mtu mmoja anaweza changia.
Kumchangia nani?

Upande wa Pili mostly kazi ya sadaka wanawachangia viongozi wa dini ama taasisi husika.

Waisilamu viongozi wa dini dhima yao ni kusimamia tu hizo Mali ila sadaka zinachangwa kwa ajili ya jamii na charity mbalimbali.

Kawaida sana kwa muisilamu kufa na kuacha nyumba ya Bilioni ama zaidi wakfu.

Tatizo kubwa la Tanzania ni Bakwata ambao wao na CCM ni chanda na pete, wanafuja mno Mali za waisilamu.
 
Vilevile hakuna Muislamu katika Top 20 za matajiri duniani !
Top 20 za forbes ambazo zina vigezo hazi include Royal families, Wanasiasa na watu wengi ambao utajiri wao haupo public. Ila watu kama kina Musk ni wachumba sana kwa Royal families za Middle East, mfano Saudi Royal family sio tena Bilionea washavuka na kuwa Trilionea.
 
Top 20 za forbes ambazo zina vigezo hazi include Royal families, Wanasiasa na watu wengi ambao utajiri wao haupo public. Ila watu kama kina Musk ni wachumba sana kwa Royal families za Middle East, mfano Saudi Royal family sio tena Bilionea washavuka na kuwa Trilionea.
Hao Royal Family wanafanya biashara gani Global wawe na utajiri huo unaosema ? hizo ndio Haox story za kina Rothchild kuwa ndio wamiliki wa mabenki yote Duniani.. Musk,Gate,Buffen,Zuckerberg wamewekeza kwenye teknolojia ya Mawasiliano ambayo inatumika karibu Duniani kote..
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Utajiri wa majini utapotea usipoenda kuyatembelea msikitini.
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Shida yetu wakristo michango mingi makanisani
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Shida yetu wakristo michango mingi makanisa
 
Utajiri wa majini utapotea usipoenda kuyatembelea msikitini.
Matajiri wengi wa kiislamu sio watoaji wa misaada ya kijamii zaidi ya kugawa pesa misikitini, fikiria Marehemu Mengi alikuwa akitoa misaada mingi bila kujali it4kadi ama dini ya mtu..hata Matajiri wa Kizungu sehemu kubwa ya pesa zao huzigawa kwa masikini bila kujali itikadi mfano ni Bill Gate.. ana Charity Foundation inayojali sn masikini kwenye nyanja nyingi, wanaamini"tumepewa bure toeni bure".. Matajiri wa kiarabu pesa yao akitoa sana sana ni kujenga misikitit na kufadhili ugaidi..ndio maana leo utakuta mtu anatumia ARV zinazotoka na hao Matajiri wa Kizungu na sio hao waislamu bahili.
 
Waisilamu wengi utajiri wao unatokana na Biashara hata hawana time na hio Serikali
Akili zako ni ndogo utajiri wa waislamu wote Tanzania unatoka serikalini tena kwa njia za kifisadi .
Waislamu ni wala rushwa na mafisadi hatari sana...kwa sababu huwa awana chembe yoyote ya uzalendo mioyoni mwao....nirahisi kumwona malaika kuliko kumwona muislamu wa mtanzania aliye mzalendo.
 
Matajiri wengi wa kiislamu sio watoaji wa misaada ya kijamii zaidi ya kugawa pesa misikitini, fikiria Marehemu Mengi alikuwa akitoa misaada mingi bila kujali it4kadi ama dini ya mtu..hata Matajiri wa Kizungu sehemu kubwa ya pesa zao huzigawa kwa masikini bila kujali itikadi mfano ni Bill Gate.. ana Charity Foundation inayojali sn masikini kwenye nyanja nyingi, wanaamini"tumepewa bure toeni bure".. Matajiri wa kiarabu pesa yao akitoa sana sana ni kujenga misikitit na kufadhili ugaidi..ndio maana leo utakuta mtu anatumia ARV zinazotoka na hao Matajiri wa Kizungu na sio hao waislamu bahili.
Kuna mtu anaongoza kwa kutoa Misaada TZ hii kumshinda BAKHRESA? Au ww unataka aende kwenye TV?
 
Umebalance vizuri. Waislam hasa wasio nacho wengi sio watoaji kama wakristo wasionacho. Msikiti mmoja jirani wamejengewa na mama mmoja ila jamaa wanachangishanaga kwa mbine bado hawapati fungu la maana. Ila wakristo wauza mchicha tu wanaweza kujinyima wakashusha mjengo kwa nguvu zao na wakaendesha mambo yao bila backup. Hapo kuna tofauti kwa mqsikini.

Mkristo Tajiri atajulikana maana kama ni muaminifu atatoa zaka. Na zaka waheesabuji wanajua anamzigo na viongozi. Kuna mmoja US aliwahi kutoa kama TSh Bil 300 zaka tu.
Hivi unahisi kati ya waislam na wakristo wepi wanatoa zaka sana?
 
Siku tqjiri wa kanisa alipoudhuria ibada za katikati ya wiki, akaudhuria na mkesha wa maombi makali japo masaa matatu mchungaji alipagawa. Akawa anamtambulisha mara kumikumi.

Hii inaonekana matajiri wa kikristo hawategemewi kuwa siriasi na ibada kihivyo. Ndio maana hata mimi nikashangaa kuona mchungaji anashangaa ingawa hashangai kupokea sadaka zake.

Bila kujali ipi dini ya kweli, niwe mkweli matajiri wengi wa kiislam wanapenda ibada sana. Kuna wengine huko saudia wanaishi misikitini tu huku mambo yanaenda. Wetu wa kikristo wako shalo kiroho, wanakuja wamechelewa na kuwahi kuondoka. Wengine hawaji kabisa wanasubiri kuombwa kichango tu japo wengu hutoa sio bahiri.

Sababu ni nini?
Siwasimangi watumishi wa Mungu mbona mabilionea wa kibibilia walikuwa watu wa ibada kupitiliza hadi ibirisi anawaonea wivu?

Mfano: Ibrahim, Isaka, Yakobo, Ayubu, Suleiman, Daudi, Yusuph wa Armathaya, etc

Hawa jamaa wasaidiwe aisee. Wanatakiwa kuwa mfano mzuri kiroho kwa waumini masikini ambao ndio rundo makanisani.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Mkiristo wa kweli ni yule ambaye anafanya haya Matayo 6:6

Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini.

Ufungapo

Mt 6:16-24 Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki ...

Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso; ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini.....
Yeyote anaesali au kufunga na kujionyesha kwa watu huyu ni mnafiki sala yake/ Funga yake - Aikubaliki na Mungu wa kweli. Kujionyesha wewe ni Mtu wa Mungu ili waliokuzunguka waone hilo- Mungu apendi, Ataki na apokei sala wala funga yako
Matayo 23:25-28
Kwa kuongezea ni kuwa
Mungu wa Kwenye Quran sio Yule Mungu wa Bibilia Takatifu.
 
Kumchangia nani?

Upande wa Pili mostly kazi ya sadaka wanawachangia viongozi wa dini ama taasisi husika.

Waisilamu viongozi wa dini dhima yao ni kusimamia tu hizo Mali ila sadaka zinachangwa kwa ajili ya jamii na charity mbalimbali.

Kawaida sana kwa muisilamu kufa na kuacha nyumba ya Bilioni ama zaidi wakfu.

Tatizo kubwa la Tanzania ni Bakwata ambao wao na CCM ni chanda na pete, wanafuja mno Mali za waisilamu.
Sijakataa upo sawa kabisa
 
Back
Top Bottom