Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Siwezi mtaja ila huwezi mkosa makapuku forum......
Mwanaume kifua bhanaa hata nikilia unanilaza kifua unanibembeleza......ewala raha muburudaniii.......mpk unasahau kilicho kulizaa
Ha ha haaaa umesema upendacho naenda kukiongeza
 
Wanaume tunapenda wanawake sio makalio ndo mana mwanaume unaweza ukakaa sehemu unajisikia raha tu kuangalia wanawake mbalimbali...mimi ntaka mwembamba mrefu tafadhali
 
Mungu alijua kwa vyovyote bila kumuongezea mwanamke vionjo kama vile sura nzuri kumshinda mwanaume na angalao akikosa sura awe na macho ya kumvutia Adam,makalio yanayo vibrate,miguuu nk.Si rahisi mwanaume kushawishika juijaza nchi kwa kuwa kile kizalishio akikinyima sura mwanaume angeogopa kumkaribia mwanamke.Jaribu kutafakari ,mwanamke mwenye sura mbaya,makalio mazuri hana,hata idadi ya wanaume kumtongoza ni chache labda walevi.Maana wanafikiri kama sura iko hivi na huko kukoje?
 
12d82f162577c42cbcce85c8fe127cb5.jpg
magu kaza kaza kaza siku hizi hawa tunawapata chin ya 50k
 
Mungu alijua kwa vyovyote bila kumuongezea mwanamke vionjo kama vile sura nzuri kumshinda mwanaume na angalao akikosa sura awe na macho ya kumvutia Adam,makalio yanayo vibrate,miguuu nk.Si rahisi mwanaume kushawishika juijaza nchi kwa kuwa kile kizalishio akikinyima sura mwanaume angeogopa kumkaribia mwanamke.Jaribu kutafakari ,mwanamke mwenye sura mbaya,makalio mazuri hana,hata idadi ya wanaume kumtongoza ni chache labda walevi.Maana wanafikiri kama sura iko hivi na huko kukoje?
Kwan unadhan wanawake wana sura nzur kuliko wanaume? Hapana sisi ndio tunawabia kua wao ni wazur
 
Wavulana hatuna matako tuombe radhi.. Sisi tuna makalio tuu Matako wanayo wadada unakuta tako tako kweli kama la *richaabra*
 
Kwani nimekwambia napenda kifua tuu. ..km unasura km Rammy ongala je
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sura hata mbuzi anayo bhanaa acha kuchagua sana[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom