theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Ha ha haaaa umesema upendacho naenda kukiongezaSiwezi mtaja ila huwezi mkosa makapuku forum......
Mwanaume kifua bhanaa hata nikilia unanilaza kifua unanibembeleza......ewala raha muburudaniii.......mpk unasahau kilicho kulizaa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji40]
We mwenyewe hujanijibu nilichoulizaHujajibu swali nililokuuliza.
Mimindiye niliyeanza kukuuliza wewe.We mwenyewe hujanijibu nilichouliza
Kwan unadhan wanawake wana sura nzur kuliko wanaume? Hapana sisi ndio tunawabia kua wao ni wazurMungu alijua kwa vyovyote bila kumuongezea mwanamke vionjo kama vile sura nzuri kumshinda mwanaume na angalao akikosa sura awe na macho ya kumvutia Adam,makalio yanayo vibrate,miguuu nk.Si rahisi mwanaume kushawishika juijaza nchi kwa kuwa kile kizalishio akikinyima sura mwanaume angeogopa kumkaribia mwanamke.Jaribu kutafakari ,mwanamke mwenye sura mbaya,makalio mazuri hana,hata idadi ya wanaume kumtongoza ni chache labda walevi.Maana wanafikiri kama sura iko hivi na huko kukoje?
Teh teh nendaaHa ha haaaa umesema upendacho naenda kukiongeza
Nakuona tuuNachangia mada
Naenda nda anza kabisa kunipendaTeh teh nendaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wewe sasa ulitaka kuyafanyia nini zaidi ya hapo?
Naenda nda anza kabisa kunipenda
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sura hata mbuzi anayo bhanaa acha kuchagua sana[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwani nimekwambia napenda kifua tuu. ..km unasura km Rammy ongala je
Teh teh were reception muhimu[emoji1] [emoji1] [emoji1] sura hata mbuzi anayo bhanaa acha kuchagua sana[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haita kua na maana hapa kati hapanogi au wewe sio ishu sana mgegedo?Teh teh were reception muhimu