Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

.....if so shukuru kwa ulicho nacho mdada.......... pia na amini hapo ulipo una booking ya kutosha tu ya wanaume .......pia sio ujinga kwa mwanaume kupendezwa na umbo...bali ni kuonesha uhalisia wa kilicho moyoni mwake......myself napenda hitachi........
Umenena ukweli kaka kama vile wanifahamu. Booking hiyo! Karibu inaniletea ukichaa! Lakini ajabu sina hiyo chura wanayoipenda!
 
Umenena ukweli kaka kama vile wanifahamu. Booking hiyo! Karibu inaniletea ukichaa! Lakini ajabu sina hiyo chura wanayoipenda!
...cha msing...mdada ni kujikubali tuuu pia na kukubali hitaji la nafsi akooo......,,,ila wadada na wakaka wenzangi kumbukeni afya ni muhimu....
 
Husifananishe kalio la mwanamke na vitu vya kijinga wew
 
Hata sijui kwann tunayapenda ila mm ni mojawapo nikiona tako tuu moyo wangu di di di unakimbia
 
Back
Top Bottom