Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Labda mamayako, wewe na dada zako ndiyo wanamakalio ila mimi kwetu wanaume tu ndiyo tuna makalio wanawake wote wanamatako..! Na siye wanaume tunapenda matako hatupendi makalio.
Katika viungo vya binadamu hakuna viungo vinavyoitwa makalio, yanaitwa matako, yawe ya kiume au ya kike yote ni matako.
Ila neno Makalio ni neno la ki Tafsida, kama neno "Zunga", "Njoromoka" "Dushe" Zakari nk.
 
Hii post ni wazi inaonyesha,we mtoaji mada hauna ata ilo kalio la kutisha,ila unataka kujifariji kwa kusikia ni wanaume wa ngapii wanapenda makalio,jikubalii utapata tu mwenzi.
 
1.Tako ndiyo kipimo cha mwanamke kunona. nikama vile ukienda kuchagua kondoo unaangalia mkia. 2.Napia tako linamfanya mwanaume ajisikie vizuri kihisia. hasa anapowaza wangapi wamelikosa ila yeye analipaka mafuta analifinyanga kama unga wa ngano tena na makofi juu, kama halipendi vile e e e.
 
ni hazina ilibakia barani africa kwa sisi wanaume vingine dhahabu,almasi wanachukua wazungu
 
Picha za mademu online zinafurahisha sana, kila mtu ana chura kila mtu ana iPhone kila mtu amegeuza matako tuyaone, wanawake mnapenda sana attention
Mi ndo huwa nashindwa hadi kushangaa hawa wanawake wenzangu wa insta yaezekana hawako dunia hii
 
Back
Top Bottom