Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Daah,ila wanawake ni wazur jameni,daah,hakuna kiumbe kizur na kinatamanisha kama mwanamke..n.b,..unapojitoa ukada wa chaputa ndio hujisikia hiv,yan wanawake woote unawaona ni malaika,..asee
 
Mnajishtukia tu ndio maana akili yote inakua hapo!
 
Kwa hiyo wahindi,wachina,wazungu wanazaa mazuzu maana hawana makalio,,,mbona nchi zao zimeendelea tofauti na sisi huku wamama wengi wana makalio makubwa
Unajuaje kwamba kuendelea kuna uhusiano wa moja kwamoja na akili?
 
Ila muwe mnaochamba vizur manake kuna wengin tako kubww chafu teleee,iko ning'ia ning'ia chafu ingine bana!!
 
Aiseeee!!

Huku nikutiana majaribuni tu mkuu richaabra

Yaani hapa kichwa kidogo kimesimama na kikubwa hakifanyi kazi aiseeee!!

Anyway!! Mat@ko kwa mwanamke ni sawa na dushe kuwa na kichwa/rungu.

Napita Tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]

Ivi wew mwanamke au mwanamme ,..!?au unamsimu
 
Wachimba vyoo ndo tunataka hiyo kindu........................
 
Mbona nyie mnapenda hela zetu.? Jibu nikwamba kila mtu anapenda kitu ambacho hana..tusichoshane [emoji30]
 
Back
Top Bottom