John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Nadhani kwa wakati huu kuliko kilabu ya Simba kukaa tu bila any specific mission au kazi maalum (uzururaji) ingeweza kusaidia nchi katika kutoa maoni na kuhamasisha wananchi kuhusu katiba mpya walau ingekuwa mchango wao katika jamii kuliko kukaa tu huku baadhi ya wachezaji wakianza kuota vitambi kwani hawana mission yoyote kwa sasa.
Nawasilisha
Nawasilisha