Kwanini wakati huu Simba ihamishie nguvu kudai katiba mpya kuliko kukaa

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Nadhani kwa wakati huu kuliko kilabu ya Simba kukaa tu bila any specific mission au kazi maalum (uzururaji) ingeweza kusaidia nchi katika kutoa maoni na kuhamasisha wananchi kuhusu katiba mpya walau ingekuwa mchango wao katika jamii kuliko kukaa tu huku baadhi ya wachezaji wakianza kuota vitambi kwani hawana mission yoyote kwa sasa.

Nawasilisha

 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…