Kwanini wakati wa mvua Makende ya Wanaume wengi hukakamaa na kuleta ushirikiano?

Kichwa cha habari kimeshajitosheleza hivyo karibu tu ' utiririke '. Hapo katika neno ' makende ' namaanisha ' mapumbu ' kwa wale ambao ni wageni wa Kiswahili sanifu.

Nawasilisha.
[emoji17] [emoji21] [emoji29] [emoji29]
Napita tu wakuu........
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Mbona vitamin ya nyau kwenye vitabu vya sayansi haipo.
Usinilishe matango pori mkuu.
Sio Tango Pori mkuu sisi Tunakulaga sana Nyau,Ngedere, Kenge, Kunguru, Bundi ,Na hata digidigi
Hapa saa hiz tunabanika Ndezi karibu.
 
Kichwa cha habari kimeshajitosheleza hivyo karibu tu ' utiririke '. Hapo katika neno ' makende ' namaanisha ' mapumbu ' kwa wale ambao ni wageni wa Kiswahili sanifu.

Nawasilisha.

[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Kuna wengine kende zetu zinaning'inia levo za magoti always (wala hazitambui hayo mambo ya external wala internal body temperature).
 
Inaonesha Hiyo topic uliiva(ulielewa) sana mkuu
 
Naombeni na jibu kama makende au pumbu zinawasha na kuna mda ukizikuna zinatoa kama tuvidonda ivi tatizo nini maana hospitali chenga tu na zinasinyaa ushauri [emoji120] [emoji120] [emoji120] apa wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…