Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Naandika na kuuliza haya siyo nakashfu ila ndiyo ukweli unaonishangaza sana
Ni nadra sana kuona mtu mzima au mtoto maeneo ya Masaki, Oysterbay au Mikocheni akiingiza vidole puani ili kuondoa uchafu au muwasho bila ya kutumia kitambaa ' handkerchief'
Yaani kwanini wakazi wa maeneo hayo wengi hutumia vitambaa kusafisha pua zinapowasha au pale wanapopenga kamasi? Mila na desturi? Mazoea?! Makuzi!? Kiwango cha Elimu!?
Sitotaja hali ikoje maeneo mengineyo naepusha kuleta tafsiri mbaya japo huo ndiyo ukweli
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele
Naandika na kuuliza haya siyo nakashfu ila ndiyo ukweli unaonishangaza sana
Ni nadra sana kuona mtu mzima au mtoto maeneo ya Masaki, Oysterbay au Mikocheni akiingiza vidole puani ili kuondoa uchafu au muwasho bila ya kutumia kitambaa ' handkerchief'
Yaani kwanini wakazi wa maeneo hayo wengi hutumia vitambaa kusafisha pua zinapowasha au pale wanapopenga kamasi? Mila na desturi? Mazoea?! Makuzi!? Kiwango cha Elimu!?
Sitotaja hali ikoje maeneo mengineyo naepusha kuleta tafsiri mbaya japo huo ndiyo ukweli
Niwatakie usiku mwema wenye baraka tele