KWANINI WAKE ZA WATU WANAPENDA SANA VIJANA TENA WADOGO KIUMRI??TATIZO NI NN WAUNGWAN?[emoji36][emoji36]

KWANINI WAKE ZA WATU WANAPENDA SANA VIJANA TENA WADOGO KIUMRI??TATIZO NI NN WAUNGWAN?[emoji36][emoji36]

kuna wanawake wengine ni smart..yaan unakuwa pekeyako ila ajili ya wenge still tunahis tunamegewa..hata humu wapo
 
Tatizo wakati mnaoa, mnaacha waliotulia, mnaenda oa mashankupe yaliyoshindikana yasiyojua maana ya ndoa. Waliotulia na heshima zao mnawaita washamba mnaenda oa wanja na mawigi. Lazima msome namba
 
Tatizo wakati mnaoa, mnaacha waliotulia, mnaenda oa mashankupe yaliyoshindikana yasiyojua maana ya ndoa. Waliotulia na heshima zao mnawaita washamba mnaenda oa wanja na mawigi. Lazima msome namba
Duuuuh unaongea kweli,koz ving'aavyo vyote si Tanzanite#
 
Sasa hao wanaofanya hivo kweli wanakuwa na wenge pia mtaalam?

nina maana unaweza kuta mke ama mpenzi yupo nawewe tuu, lakini wewe ndo kicheche unamhisi na yeye ni hivyo...hao wengine ndio hivyo unakuta anawashwa hao mi siwazungumzii
 
Nawaza sana na natamani kufahamu kwanini wake za watu wanacheate??tena ukizingatia unakuta mwanaume wake anapambana kwa ajili ya mkewe ili ampatie anachokitaka ila kuuutwa kutembea na watoto wadogo,experiencing disaster[emoji17][emoji17][emoji17] ndio maana nikifikiria kuoa nachoka

Shahawa / Mbegu za Vijana wadogo zikiwaingia ' Mbunyeni ' mwao huwa zinaruka urefu wa Dar to Kigoma hivyo wanaridhika / wanakunika vizuri sana na za Watu wazima huwa zinaruka urefu tu wa Ubungo hadi Mlandizi.
 
Hahahahaha lol!

Shahawa / Mbegu za Vijana wadogo zikiwaingia ' Mbunyeni ' mwao huwa zinaruka urefu wa Dar to Kigoma hivyo wanaridhika / wanakunika vizuri sana na za Watu wazima huwa zinaruka urefu tu wa Ubungo hadi Mlandizi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom