KWANINI WAKE ZA WATU WANAPENDA SANA VIJANA TENA WADOGO KIUMRI??TATIZO NI NN WAUNGWAN?[emoji36][emoji36]

KWANINI WAKE ZA WATU WANAPENDA SANA VIJANA TENA WADOGO KIUMRI??TATIZO NI NN WAUNGWAN?[emoji36][emoji36]

Upande mwingine akili zao kama watoto wanaoshindwa kujisimamia, wengine akili zao kama wendawazimu na wakati mwingine wapo fresh, hawajui nini wanataka bali wao hufata upepo kama bendera nk.
 
Upande mwingine akili zao kama watoto wanaoshindwa kujisimamia, wengine akili zao kama wendawazimu na wakati mwingine wapo fresh, hawajui nini wanataka bali wao hufata upepo kama bendera nk.
Nashindwa kuwaelewa kabisa yan unakuta eti kisa tu mumewe anamkasirikia basi kosa oooh ana mambo ya kizamani[emoji33]
 
Ndoa nyingi watu wanaolewa au kuowana na watu wasio wapenda
Kwanini inatokea hivo je utamuoa vipi mtu usiempenda?kwa wanawake inawezekana ila kwetu sis sidhani kama ipo hivo
 
Kwanini inatokea hivo je utamuoa vipi mtu usiempenda?kwa wanawake inawezekana ila kwetu sis sidhani kama ipo hivo
Hata mada yako inazungumzia wamama walioko kwenye ndoa, kwakuwa wameolewa na wanaume wasio wapenda ndio maana wana cheat kutokana na hitaji la moyo wao halipo kwa waume zao , bali pengine wapo tu ilimradi ndoa basi lakini kihakisia upendo wa ndoa haupo
 
Watu hamtoi majibu ya aliyouliza....na nyie mnauliza....keel noma mamaee
 
Labda Watakuwa wamerithi kwa Hawa/Eva, si unakumbuka alivyo cheat na nyoka
 
Sina experience ya kuona wake za watu wakicheat kwa vijana wadogo, bali nina experience ya kuona wake za watu wakiliwa na watu wazima, sometime waume za watu sababu ya maisha magumu kutafuta marejesho ya vicoba.
 
Damu moto wachakarikaji, siyo wengine mkishazoeana hata zile baby baby zinakwisha, kudekezwa ndio hakupo tn unadhani nn kifuatacho hapo ss.. Ni kupata kitoto chako kitachokufanyia vitu roho inapenda. Hahaaa
 
Walah utakua umetombewa na mtoto na usikute wife wako kakunjwa style matata
 
Ni maroho tu kama roho chafu nyingine zitendazo kazi!
Ni Kama roho ya uchawi ukiangalia haina faida isipokuwa hasara zaidi Kwa mchawi na uzao wake wote !
 
Back
Top Bottom