Kwanini wake za watu wengi wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu wengi wanaongoza kuchepuka?

Tatizo la wanawake kutoka nje ya ndoa ni kutokana na utamu alokuwa akipewa na wanaume walotembea nae kabla ya kuolewa, kwa mumewe hapati hasa wa kingono.

Pia kingine ni ile hali ya kuzoeana sana. Kutokana na kuishi kwa pamoja sana, mtu ni yuleyule, kucheka ni kulekule, kuongea kulekule, kununa kulekule, kitombo kilekile, wanachokana.

Kwa hali hii mwanamke akiona mwanaume mwingine atampendea kitu kidogo tuu, na jamaa akijiongeza lazma atakula mzigo tuu. Hatimae mwanamke anatoka nje ya ndoa.

Alkazalika na kwa upande wa wanaume ni hivohivo. Ndo maana tunapoelekea ndoa inabidi ziwe za mkataba kama ulaya. Mnawekeana mkataba hata wa kila baada ya miaka miwili,

Mkataba ukiisha kama hamjachokana mnaongeza tena, kama mtakuwa mmechokana baada ya hiyo miaka miwili mkataba ukiisha mnaachana, then kila mtu atafute kifaa kimpya mke na mume mpya na mkataba uendelee.

Dunia ya utandawazi ya sasa wanawake sio tena wale wa zamani. Wanawake wa kileo hata ukioa usijisifu sana, muda wowote anaenda kupasuliwa marinda nje ya ndoa.
Hili nakubali, matatizo yote huanzia hapa kwenye mazoea! Ukiishi na mwanamke kwa zaidi ya mwaka maisha yenu yanakuwa kama routine yani!

Kunyanduana, vyakula na mawasiliano kwa ujumla yanakuwa yapo flat na sio dynamic. Hii hali inapelekea kupoteza mvuto imagine mke anaona uvivu kukupa tendo na kuanza kulalamika kuwa unapenda sana kutiana kuliko maswala mengine. Mabadiliko yanaanzaga kwa wanawake mara nyingi ndio hukinai mapenzi hata uwe una mtreat vizuri kiasi gani.Ulalamishi hauishi na anaanza kuona kuwa kukufanyia mambo flani mazuri ni kama kukufanyia favor hivi. Kwa mwanaume rijali anaamua kutafta pumziko tu kwa hawara ambaye atampa good treatment sababu mke anakuwa ameanza mazoea ya kijinga.

Mwanamke akija kustuka jamaa amepunguza care anaanza kuhaha kujua ni kwanini mwisho anagundua amesalitiwa bila kuelewa kuwa chanzo ni yeye kuleta mazoea ya kijinga basi ni ugomvi na kisha nae anaanza kuchepuka hovyo.
 
Wake za watu hawaridhiki.

mi ninae huyu

kaahidi kunizalia kabisaa daadek

ananipenda hasa mmeru
View attachment 1954080View attachment 1954080
Hahahahah ila wengi husingizia tatizo ni mume sijui hamkazi vizuri ila ishu ni mazoea ya kipuuzi tu ambayo yamepelekea mume kuamua kuacha kumsumbua kuhusu unyumba maana inakera kuanza kumtongoza mkeo upya kila ukitaka kumbandua na hapo bado atakuletea upuuzi wa kukupa K kwa masharti!
 
Mi sina wivu ila kugongewa mwanamke hiyo ni dharau iliyovuka mipaka na kosa siyo la mwanaume anaemgonga kosa ni la huyo mwanamke maana kama anakuheshimu hawezi kukuvua utu wako na aende kugongwa na msela mwngne hiyo ni dharau iliyovuka mipaka suala hilo hata aje anisuluhishe mama yangu mzazi sitakua tayari kulisamehe nitaachana na huyo mwanamke.
Una kipengele kizito sana mzee na kwa kukusihi tu usije ukaanza tabia ya kumpekua mwanamke wako simu! Utaacha Yutong 3 kabla hujafikia miaka 60
 
Hahahahah ila wengi husingizia tatizo ni mume sijui hamkazi vizuri ila ishu ni mazoea ya kipuuzi tu ambayo yamepelekea mume kuamua kuacha kumsumbua kuhusu unyumba maana inakera kuanza kumtongoza mkeo upya kila ukitaka kumbandua na hapo bado atakuletea upuuzi wa kukupa K kwa masharti!
Nilichogundua tu ni kwamba tamaa za mwili haziishagi.

Tamaa za vitu vipya haziishi.

Mimi sijawahi kumpa hata mia huyu mmachame lakini ananipenda hasa.
 
Nilichogundua tu ni kwamba tamaa za mwili haziishagi.

Tamaa za vitu vipya haziishi.

Mimi sijawahi kumpa hata mia huyu mmachame lakini ananipenda hasa.
Kupendwa kupo na kingine mi naona mwanamke anayekupenda binafsi atakupa amani kuliko mwanamke ambaye utatumia nguvu kuwa nae!

Aidha umdanganyie pesa au mafanikio yako kimaisha.
 
Tatizo la wanawake kutoka nje ya ndoa ni kutokana na utamu alokuwa akipewa na wanaume walotembea nae kabla ya kuolewa, kwa mumewe hapati hasa wa kingono.

Pia kingine ni ile hali ya kuzoeana sana. Kutokana na kuishi kwa pamoja sana, mtu ni yuleyule, kucheka ni kulekule, kuongea kulekule, kununa kulekule, kitombo kilekile, wanachokana.

Kwa hali hii mwanamke akiona mwanaume mwingine atampendea kitu kidogo tuu, na jamaa akijiongeza lazma atakula mzigo tuu. Hatimae mwanamke anatoka nje ya ndoa.

Alkazalika na kwa upande wa wanaume ni hivohivo. Ndo maana tunapoelekea ndoa inabidi ziwe za mkataba kama ulaya. Mnawekeana mkataba hata wa kila baada ya miaka miwili,

Mkataba ukiisha kama hamjachokana mnaongeza tena, kama mtakuwa mmechokana baada ya hiyo miaka miwili mkataba ukiisha mnaachana, then kila mtu atafute kifaa kimpya mke na mume mpya na mkataba uendelee.

Dunia ya utandawazi ya sasa wanawake sio tena wale wa zamani. Wanawake wa kileo hata ukioa usijisifu sana, muda wowote anaenda kupasuliwa marinda nje ya ndoa.
vizuri umeeleweka sana boss lakini kitu kimoja nachokiona hapo ni issue anbazo tunaweza kuzipa ufumbuzi.
1. kwa hoja yako ya msingi tunaweza kuitatua kama vijana wataoa mabinti bikra jambo ambalo kiukweli ndio swala la msingi kabisa katika uchepukaji .unakuta mwanaume anaoa mwanamke kishaonja rungu la mzaramo , keshaonja la mchaga keshaonja la msukuma nk nk. kwa mke kama huyu mume ukiteleza kidogo tu kwenye tendo huna chako.mabinti mabikra wapoo tena wapo sana tatizo vijana tunakimbilia hawa wadada wa mjini wavaa mawig tunaona ndio wanawake wanaofaa kuwa wake.
2.Kwenye swala la kuchokana, hapa kwanza kabisa vijana wanaoa kwa mazoea au mashinikizo fulani na sio kwa kupenda .kama kweli unampenda mtu kumchoka huwa ni ngumu sana, pamoja na hayo ni vyema kujenga tabia ya kujaribu kuwa mpya kwa mwenza wako kila wakati yani usiwe mtu wa kutabiria kirahisi,ukifanya hivi ni ngumu sana kuchokana.
3. kuna hizi semina za maswala ya ndoa pia ni muhimu vijana kuhunduria maana zina afya sana kwenye ndoa zetu hasa katika hatua za awali za ndoa. ndoa ni jambo pana sana linahitaji maarifa na hekma ya juu sana .kwa elimu inayopatikana kwenye hizi semina ni nzuri mno hasa katika hatua za mwanzo za ndoa.
4 Wanaume tunachepuka mnoo ,halafu kibaya tumehalalisha kuchepuka kwetu na kuharamisha kwa mwanamke. kitu ambacho kwa mwanamke akishagundua kuwa unachepuka wengi hupoteza kabisa upendo na mwisho wa sku naye huamua kumpa jamaa alokuwa anammendea.

hitimisho : oa bikra mwenye hofu ya mungu, mpende ,kuwa rafiki yake, usichepuke ,nendeni mpate elimu ya ndoa popote mtaposikia inatolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke ukiona unatongozwa ni kwa sababu umependeza na kuna mtu anakuhudumia au kwa sababu uko kwenye ndoa lakini nakuhakikishia kuwa single uwone kama huyo anayekutongoza atakuja kukuposa. Usiharibu ndoa yako kwa sababu tu labda mume wako hakutongozi tena na maneno ya uwongo, hakutongozi sababu wewe ni mke wake na wala wewe hufunguki kwa mume wako sababu umeshakuwa mke unaishi kwa mazoea. Mazoea mazuri yanajenga ndoa imara. Mwanamke unatongozwa tu kutumiwa sio kuolewa maana muowaji hatongozi mke wa mtu usiharibu ndoa yako utakimbiwa na hapo waliokuwa wanakutongoza.
 
Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
We endelea tu kuwala,wako nae ataliwa tu.
 
Ukishaoa,unajua busy na life,malovee huwezi yaendekeza Sana.
Na ulitaka kufeli maisha,wekeza akili zako kwenye mapenzi,sir wengine tunaiza chips huku vyuoni,Kama tungekua tunaendekeza mapenzi Basi tungefilisika,maana girls kibao,wanakuzunguka anytime,full kujibebisha,naona kamanda ungefanya kazi Kama yangu,sijui ingekuaje
Dah inahitaji moyo sana mkuu ..hii kazi ya chips hasa kwa wanafunzi usipokaza hivi vident chuchu kama vifuu vya nazi unaeza hata kufilisika.
 
Ni kwamba hata mzazi huwachoka wanawe sembuse mke kwa mumewe
 
Kuna vitu unasahau sijasema kumchunga nimesema ndoa inakosa mvuto kwa walengwa wanaume wanasahau wake zao wanaanza kutaka furaha nje ya waume zao
Mkuu hao wanawake ni watu wa kubadilika badilika wengi wao hawaeleweki nn wanataka. Sio rahisi kumpa kila anachokihitaji ni kufanya kilicho ndani ya uwezo wako tu,

Sasa kuna wale wapuuzi wengine wanataka uwe kama wanaume wa rafiki zake, yani jinsi anasimuliwa na rafiki zake basi nae atataka na wewe uact kama vile kwa kila kitu ama zaidi bila kujali kua unaweza kuathiri mambo yako kibao.
 
vizuri umeeleweka sana boss lakini kitu kimoja nachokiona hapo ni issue anbazo tunaweza kuzipa ufumbuzi.
1. kwa hoja yako ya msingi tunaweza kuitatua kama vijana wataoa mabinti bikra jambo ambalo kiukweli ndio swala la msingi kabisa katika uchepukaji .unakuta mwanaume anaoa mwanamke kishaonja rungu la mzaramo , keshaonja la mchaga keshaonja la msukuma nk nk. kwa mke kama huyu mume ukiteleza kidogo tu kwenye tendo huna chako.mabinti mabikra wapoo tena wapo sana tatizo vijana tunakimbilia hawa wadada wa mjini wavaa mawig tunaona ndio wanawake wanaofaa kuwa wake.
2.Kwenye swala la kuchokana, hapa kwanza kabisa vijana wanaoa kwa mazoea au mashinikizo fulani na sio kwa kupenda .kama kweli unampenda mtu kumchoka huwa ni ngumu sana, pamoja na hayo ni vyema kujenga tabia ya kujaribu kuwa mpya kwa mwenza wako kila wakati yani usiwe mtu wa kutabiria kirahisi,ukifanya hivi ni ngumu sana kuchokana.
3. kuna hizi semina za maswala ya ndoa pia ni muhimu vijana kuhunduria maana zina afya sana kwenye ndoa zetu hasa katika hatua za awali za ndoa. ndoa ni jambo pana sana linahitaji maarifa na hekma ya juu sana .kwa elimu inayopatikana kwenye hizi semina ni nzuri mno hasa katika hatua za mwanzo za ndoa.
4 Wanaume tunachepuka mnoo ,halafu kibaya tumehalalisha kuchepuka kwetu na kuharamisha kwa mwanamke. kitu ambacho kwa mwanamke akishagundua kuwa unachepuka wengi hupoteza kabisa upendo na mwisho wa sku naye huamua kumpa jamaa alokuwa anammendea.

hitimisho : oa bikra mwenye hofu ya mungu, mpende ,kuwa rafiki yake, usichepuke ,nendeni mpate elimu ya ndoa popote mtaposikia inatolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwani hao malaya nao hapo awali si itakuwa waliwahi kuwa bikira wakati fulani labda wakiwa Shule ya msingi au sekondari ?
Ikayolewa wakaanza kuzoelea kutumika na kubadilisha mishedede ya namna tofauti tofauti ?
Au sio?
Maana yake hata ukioa bikira ni swala la muda tu huenda nae akaanza kugawa tena kama mtu alochelewa.
Atagawa with bonus 😀😅
Kwa hiyo to avoid disappointment expect less or nothing.
 
Mwanamke anaweza kuchepuka sababu ni tabia yake hajatulia ako na tamaa na mashindano na mashoga zake kwa kujilinganisha,
Au sababu ya kuikosa furaha alotarajia toka kwa mumewe . (Walau kundi hili linaweza kueleweka). Hawa Mwanaume unaweza kumla mke wa mtu kwa gharama zake wewe Mwanaume usitoe hata mia sansana yeye mwanamke ndie anaweza kukupa pesa iwapo ana kipato cha kutosha.
Hawa hufurabia sana penzi la nje iwapo mara gumiś kwa mtu ambae chemistry zao zinaendana.
Wengine huchepuka kutafuta uzazi hii ni exceptional kidogo lakini huwa inatokea.
Kundi hili hata walokuwa bikira kabla ya kuolewa linawahusu.
Hawa huwa ni honest mno.
Wana heshimu hata mke wa mchepuko.
Motive yake ni ku enjoy na kutafuta mimba tu kisha baasi.
 
Back
Top Bottom