Hawajui kuzungunza kiswahili lakini wahadhiri wa kiswahili wengi ni wa Kenya katika vyuo vikuu vya mataifa ya ulaya ,amerika na sehemu nyinginezo dunani.Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Huo sio ugonjwa kiswahili kilipigwa vita sana Kenya kipindi cha biashara ya utumwa iliyo kuwa ikijulikana kama ( long distance trade)biashara iliendeshwa na waarabu kipindi hicho mnamo karne ya 15 na lugha iliyokuwa inatumika ni kiswahili pia waarubu hawakujipenyeza sana Kenya kutokana na wanyama wakali katika mbuga ya tsavo na makabila strong kipindi hicho hayakuruhusu wageni kuingia Kenya na kuienza lugha hii mfano ni Wanandi ,hii ilipelekea waarubu kuishia pembezoni Kwa upwa wa bahari ya Hindi hasa maeneo ya Mombasa bandari ya kilindini,somalia,lamu,pate,shungwaya kuja kusini mwa Kenya.hivya wakenya baada ya kupata Uhuru hawakuchukua hatua zozote za kuiendeleza lugha ya kiswahili waliendelea kutumia lugha zao za kikabila katika mafundisho ya dini na kwenye taasisi zingne kama elimu walitumia kiingereza kutoka Kwa watawala wao (Britain)....kama unataka maelezo zaidi kuhusu afrika na chimbuko LA lugha zao za asili ni PMNikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Shinda nini..sport pesa ama Mpesa?Kukosa elimu ni shinda.....wewe ata kupewa elimu tofauti kati gauge za standard,cape Na meter rail itakua kupoteza muda...bye
UongoHuo sio ugonjwa kiswahili kilipigwa vita sana Kenya kipindi cha biashara ya utumwa iliyo kuwa ikijulikana kama ( long distance trade)biashara iliendeshwa na waarabu kipindi hicho mnamo karne ya 15 na lugha iliyokuwa inatumika ni kiswahili pia waarubu hawakujipenyeza sana Kenya kutokana na wanyama wakali katika mbuga ya tsavo na makabila strong kipindi hicho hayakuruhusu wageni kuingia Kenya na kuienza lugha hii mfano ni Wanandi ,hii ilipelekea waarubu kuishia pembezoni Kwa upwa wa bahari ya Hindi hasa maeneo ya Mombasa bandari ya kilindini,somalia,lamu,pate,shungwaya kuja kusini mwa Kenya.hivya wakenya baada ya kupata Uhuru hawakuchukua hatua zozote za kuiendeleza lugha ya kiswahili waliendelea kutumia lugha zao za kikabila katika mafundisho ya dini na kwenye taasisi zingne kama elimu walitumia kiingereza kutoka Kwa watawala wao (Britain)....kama unataka maelezo zaidi kuhusu afrika na chimbuko LA lugha zao za asili ni PM
Ile siku wanyarwanda ama warundi watakapo tushinda kwa lugha fasaha ya kiswahili, kweli hapo ndio nitasadiki ya kwamba sisi sio manyang'au halisi.Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Nimecheka sana eti "NDUKA" halafu tena "NDAWA" tena kwa maandishi makubwa!
Nimecheka sana eti "NDUKA" halafu tena "NDAWA" tena kwa maandishi makubwa!
Kaka, nchi yetu sasa ina umri wa miaka zaidi ya 50 tangu tupate uhuru, hivi unataka kusema tumekua tukitumia nini kuwasiliana. Leo hii tunaongoza ukanda huu wote kiuchumi, kielimu na kila kitu.
Ifahamike kwamba sisi tunajivunia uwezo wa kuongea lugha nyingi, kwanza tunaenzi lugha zetu za asili, halafu Kiswahili ambacho kilibuniwa kwenye Pwani zetu kwa ushirikiano wa Mwarabu na Waafrika, tunaongea Kingereza na kuna baadhi yetu wanatumia lugha zingine za kigeni.
Nyie hapo mumekomaa na lugha moja ya Kiswahili, halafu uandishi wenu wa Kiswahili hutia kichefuchefu, hebu pitia alichoandika mleta mada ambaye amejikita kwenye kukosoa Wakenya, ameandika sentensi chache lakini zimejaa majanga kwenye uandishi. Tatizo mnafikiria Kiswahili mnachoongea kitaa ndio fasaha, na mara nyingi ndio mnaandika huku JF, watu wa buku jeru.
Tatizo ujamaa uliwafundisha nyie kuishi maisha ya kufungiwa kwenye mfumo mmoja bila kuthubutu mapya, kawaida yenu hutiririka kwenye kitu kimoja bila yeyote kujitolea na kuthubutu chochote kipya. Mumekomaa kwenye lugha moja (ambayo uandishi wenu wa ovyo), halafu stakabadhi zenu muhimu zote zimeandikwa kwa Kingereza, na ndio maana huwa mnaibiwa kwenye hilo shamba la bibi, mna kila kitu, madini, ardhi kubwa yenye rotuba, vivutio bora vya utalii n.k. lakini leo hii bado mnatajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa Afrika.
Naskia leo hii ndio mnashtuka eti mumekua mkiibiwa kwenye mchanga wa dhahabu....hehehehe!!
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Mimi nawaomba tujaribu kuwa waungwana japo kidogo, sioni busara MTU kumcheka mwezake kwasababu yakukosea lugha MTU lugha yake aliyozaliwa nayo, anakosea, unashangaa nini kuona anakosea lugha yakigeni!? ebu igeni tabiya yawaafrika kusini hawana upuuzi huo wakumcheka MTU kwasababu yakukosea lugha ila watakuelekeza. Kueni waungwa hii jamiiforums nimedia. sasa kwann upost kisicho nafaida ktk jamii???Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Naweza sema kwa kujiamini kwamba hakuna Mtz JF anayekielewa Kiswahili kwa Ufasaha kama Mkenya MK254
Nawashinda =nina washindaUmenisahau? Mimi nawashinda!
Ni sababu zile zile zinazowafanya Watanzania waongee Kiingereza kibovu.
Naweza sema kwa kujiamini kwamba hakuna Mtz JF anayekielewa Kiswahili kwa Ufasaha kama Mkenya MK254
Shida yako ni moja tu, unachanganya madesa sana hadi unaondoka kwenye kuntu ya msingi!Kaka, nchi yetu sasa ina umri wa miaka zaidi ya 50 tangu tupate uhuru, hivi unataka kusema tumekua tukitumia nini kuwasiliana. Leo hii tunaongoza ukanda huu wote kiuchumi, kielimu na kila kitu.
Ifahamike kwamba sisi tunajivunia uwezo wa kuongea lugha nyingi, kwanza tunaenzi lugha zetu za asili, halafu Kiswahili ambacho kilibuniwa kwenye Pwani zetu kwa ushirikiano wa Mwarabu na Waafrika, tunaongea Kingereza na kuna baadhi yetu wanatumia lugha zingine za kigeni.
Nyie hapo mumekomaa na lugha moja ya Kiswahili, halafu uandishi wenu wa Kiswahili hutia kichefuchefu, hebu pitia alichoandika mleta mada ambaye amejikita kwenye kukosoa Wakenya, ameandika sentensi chache lakini zimejaa majanga kwenye uandishi. Tatizo mnafikiria Kiswahili mnachoongea kitaa ndio fasaha, na mara nyingi ndio mnaandika huku JF, watu wa buku jeru.
Tatizo ujamaa uliwafundisha nyie kuishi maisha ya kufungiwa kwenye mfumo mmoja bila kuthubutu mapya, kawaida yenu hutiririka kwenye kitu kimoja bila yeyote kujitolea na kuthubutu chochote kipya. Mumekomaa kwenye lugha moja (ambayo uandishi wenu wa ovyo), halafu stakabadhi zenu muhimu zote zimeandikwa kwa Kingereza, na ndio maana huwa mnaibiwa kwenye hilo shamba la bibi, mna kila kitu, madini, ardhi kubwa yenye rotuba, vivutio bora vya utalii n.k. lakini leo hii bado mnatajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa Afrika.
Naskia leo hii ndio mnashtuka eti mumekua mkiibiwa kwenye mchanga wa dhahabu....hehehehe!!
Ni kifupisho hicho. Waona? Hata hilo hulijui!Nawashinda =nina washinda