Kwanini Wakenya hawajui kiswahili!!!

Kwanini Wakenya hawajui kiswahili!!!

Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Hawajui kuzungunza kiswahili lakini wahadhiri wa kiswahili wengi ni wa Kenya katika vyuo vikuu vya mataifa ya ulaya ,amerika na sehemu nyinginezo dunani.
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Huo sio ugonjwa kiswahili kilipigwa vita sana Kenya kipindi cha biashara ya utumwa iliyo kuwa ikijulikana kama ( long distance trade)biashara iliendeshwa na waarabu kipindi hicho mnamo karne ya 15 na lugha iliyokuwa inatumika ni kiswahili pia waarubu hawakujipenyeza sana Kenya kutokana na wanyama wakali katika mbuga ya tsavo na makabila strong kipindi hicho hayakuruhusu wageni kuingia Kenya na kuienza lugha hii mfano ni Wanandi ,hii ilipelekea waarubu kuishia pembezoni Kwa upwa wa bahari ya Hindi hasa maeneo ya Mombasa bandari ya kilindini,somalia,lamu,pate,shungwaya kuja kusini mwa Kenya.hivya wakenya baada ya kupata Uhuru hawakuchukua hatua zozote za kuiendeleza lugha ya kiswahili waliendelea kutumia lugha zao za kikabila katika mafundisho ya dini na kwenye taasisi zingne kama elimu walitumia kiingereza kutoka Kwa watawala wao (Britain)....kama unataka maelezo zaidi kuhusu afrika na chimbuko LA lugha zao za asili ni PM
 
Huo sio ugonjwa kiswahili kilipigwa vita sana Kenya kipindi cha biashara ya utumwa iliyo kuwa ikijulikana kama ( long distance trade)biashara iliendeshwa na waarabu kipindi hicho mnamo karne ya 15 na lugha iliyokuwa inatumika ni kiswahili pia waarubu hawakujipenyeza sana Kenya kutokana na wanyama wakali katika mbuga ya tsavo na makabila strong kipindi hicho hayakuruhusu wageni kuingia Kenya na kuienza lugha hii mfano ni Wanandi ,hii ilipelekea waarubu kuishia pembezoni Kwa upwa wa bahari ya Hindi hasa maeneo ya Mombasa bandari ya kilindini,somalia,lamu,pate,shungwaya kuja kusini mwa Kenya.hivya wakenya baada ya kupata Uhuru hawakuchukua hatua zozote za kuiendeleza lugha ya kiswahili waliendelea kutumia lugha zao za kikabila katika mafundisho ya dini na kwenye taasisi zingne kama elimu walitumia kiingereza kutoka Kwa watawala wao (Britain)....kama unataka maelezo zaidi kuhusu afrika na chimbuko LA lugha zao za asili ni PM
Uongo
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Ile siku wanyarwanda ama warundi watakapo tushinda kwa lugha fasaha ya kiswahili, kweli hapo ndio nitasadiki ya kwamba sisi sio manyang'au halisi.
 
Nimecheka sana eti "NDUKA" halafu tena "NDAWA" tena kwa maandishi makubwa!
0fgjhs4i370ih5dsa.dd2d34b6.jpg
0fgjhs5d67nm76fse.ebbfa71e.jpg
 
every language has a diversity depending on region example USA english is spoken differently from UK english but its still english so this notion of sijui Kenya hawafahamu kiswahili is highly dependent on region.actually i can tell the difference between a Sukuma and Kuria if they both reached 16 years of age at their native homes speaking Kiswahili.Wakuria hutumia sana R badala ya L kwa maongezi yao maana lugha ya Kikuria Hamna sehemu herufi L inatumika ila hii haimaanishi hajui kiswahili inategemea ulipolelewa.Ukimskiza mcongo kutoka Lubumbashi atakuambia anaongea kiswahili ila wewe maana unatoka sehemu tofauti na yeye hutakubaliana na yeye.
 
Wakenya hawajui kiswahili ndio, lakini dunia inatambua kuwa wao ndio wenye kiswahili sasa sijui nani mjanja.
 
Kaka, nchi yetu sasa ina umri wa miaka zaidi ya 50 tangu tupate uhuru, hivi unataka kusema tumekua tukitumia nini kuwasiliana. Leo hii tunaongoza ukanda huu wote kiuchumi, kielimu na kila kitu.
Ifahamike kwamba sisi tunajivunia uwezo wa kuongea lugha nyingi, kwanza tunaenzi lugha zetu za asili, halafu Kiswahili ambacho kilibuniwa kwenye Pwani zetu kwa ushirikiano wa Mwarabu na Waafrika, tunaongea Kingereza na kuna baadhi yetu wanatumia lugha zingine za kigeni.

Nyie hapo mumekomaa na lugha moja ya Kiswahili, halafu uandishi wenu wa Kiswahili hutia kichefuchefu, hebu pitia alichoandika mleta mada ambaye amejikita kwenye kukosoa Wakenya, ameandika sentensi chache lakini zimejaa majanga kwenye uandishi. Tatizo mnafikiria Kiswahili mnachoongea kitaa ndio fasaha, na mara nyingi ndio mnaandika huku JF, watu wa buku jeru.

Tatizo ujamaa uliwafundisha nyie kuishi maisha ya kufungiwa kwenye mfumo mmoja bila kuthubutu mapya, kawaida yenu hutiririka kwenye kitu kimoja bila yeyote kujitolea na kuthubutu chochote kipya. Mumekomaa kwenye lugha moja (ambayo uandishi wenu wa ovyo), halafu stakabadhi zenu muhimu zote zimeandikwa kwa Kingereza, na ndio maana huwa mnaibiwa kwenye hilo shamba la bibi, mna kila kitu, madini, ardhi kubwa yenye rotuba, vivutio bora vya utalii n.k. lakini leo hii bado mnatajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa Afrika.
Naskia leo hii ndio mnashtuka eti mumekua mkiibiwa kwenye mchanga wa dhahabu....hehehehe!!


Naweza sema kwa kujiamini kwamba hakuna Mtz JF anayekielewa Kiswahili kwa Ufasaha kama Mkenya MK254
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk

Dawa usiwasikilize!
 
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Mimi nawaomba tujaribu kuwa waungwana japo kidogo, sioni busara MTU kumcheka mwezake kwasababu yakukosea lugha MTU lugha yake aliyozaliwa nayo, anakosea, unashangaa nini kuona anakosea lugha yakigeni!? ebu igeni tabiya yawaafrika kusini hawana upuuzi huo wakumcheka MTU kwasababu yakukosea lugha ila watakuelekeza. Kueni waungwa hii jamiiforums nimedia. sasa kwann upost kisicho nafaida ktk jamii???
 
Naweza sema kwa kujiamini kwamba hakuna Mtz JF anayekielewa Kiswahili kwa Ufasaha kama Mkenya MK254

Abomination!
Wewe bwana hebu acha porojo! Huyo anamshinda mleta mada lakini sio wengine! Nashangaa unamsifia kwa lipi wakati huo ujumbe wake alioandika umejaa makosa mengi ya kisarufi!

Au basi tupe mtihani wa wazi mimi na MK254
 
Kaka, nchi yetu sasa ina umri wa miaka zaidi ya 50 tangu tupate uhuru, hivi unataka kusema tumekua tukitumia nini kuwasiliana. Leo hii tunaongoza ukanda huu wote kiuchumi, kielimu na kila kitu.
Ifahamike kwamba sisi tunajivunia uwezo wa kuongea lugha nyingi, kwanza tunaenzi lugha zetu za asili, halafu Kiswahili ambacho kilibuniwa kwenye Pwani zetu kwa ushirikiano wa Mwarabu na Waafrika, tunaongea Kingereza na kuna baadhi yetu wanatumia lugha zingine za kigeni.

Nyie hapo mumekomaa na lugha moja ya Kiswahili, halafu uandishi wenu wa Kiswahili hutia kichefuchefu, hebu pitia alichoandika mleta mada ambaye amejikita kwenye kukosoa Wakenya, ameandika sentensi chache lakini zimejaa majanga kwenye uandishi. Tatizo mnafikiria Kiswahili mnachoongea kitaa ndio fasaha, na mara nyingi ndio mnaandika huku JF, watu wa buku jeru.

Tatizo ujamaa uliwafundisha nyie kuishi maisha ya kufungiwa kwenye mfumo mmoja bila kuthubutu mapya, kawaida yenu hutiririka kwenye kitu kimoja bila yeyote kujitolea na kuthubutu chochote kipya. Mumekomaa kwenye lugha moja (ambayo uandishi wenu wa ovyo), halafu stakabadhi zenu muhimu zote zimeandikwa kwa Kingereza, na ndio maana huwa mnaibiwa kwenye hilo shamba la bibi, mna kila kitu, madini, ardhi kubwa yenye rotuba, vivutio bora vya utalii n.k. lakini leo hii bado mnatajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa Afrika.
Naskia leo hii ndio mnashtuka eti mumekua mkiibiwa kwenye mchanga wa dhahabu....hehehehe!!
Shida yako ni moja tu, unachanganya madesa sana hadi unaondoka kwenye kuntu ya msingi!

Huu uzi unahusu lugha ya kiswahili, ila kwa jinsi unavyopenda kujikweza lazima utaandika mambo tofauti na hoja husika! Sijui mitihani yako ulifaulu vipi kwa mtindo huu!

Hapa umeongelea sijui madini, mara umaskini, hujachoka ukachomekea ardhi na vitu vingine kibao! Ebo!

Bwana jua kujikita kwenye hoja ukiwa unataka kujadili suala jipya unalifungulia uzi!
 
Humu ukisema kufuatilia makosa madogo madogo ya kisarufi na muundo karibia kila mtu anaandika makosa, maana wengi tunaandika tukiwa kwenye haraka!

Hii ni kwa lugha zote tu zinasotumika humu
 
Back
Top Bottom