Kwanini Wakenya Huamini Watanzania ni Wachawi Zaidi?

Kwanini Wakenya Huamini Watanzania ni Wachawi Zaidi?

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Mara nyingi nimekuwa nikisikia Wakenya wakisema watanzania ni Wachawi sana. Huwa sielewi hii notion imetoka wapi.

Lakini nikifikiria matukio ya hivi karibuni, kama kunatana kwa wagoni, mwizi kurudisha gari akicheza ndombolo napata shida kutowavulia Wakenya kofia. Sangoma wa bongo utapoteza pesa zako tu.
 
Mara nyingi nimekuwa nikisikia Wakenya wakisema watanzania ni Wachawi sana. Huwa sielewi hii notion imetoka wapi.

Lakini nikifikiria matukio ya hivi karibuni, kama kunatana kwa wagoni, mwizi kurudisha gari akicheza ndombolo napata shida kutowavulia Wakenya kofia. Sangoma wa bongo utapoteza pesa zako tu.
Nadhani ni kwa sababu matangazo mengi ya waganga huko Kenya (hasa Nairobi) wanajitambulisha kama waganga kutoka Watanzania, kama ilivyo kwetu waganga wanaona fahari kudai wametoka Nigeria, au Sumbawanga...
 
Mara nyingi nimekuwa nikisikia Wakenya wakisema watanzania ni Wachawi sana. Huwa sielewi hii notion imetoka wapi.

Lakini nikifikiria matukio ya hivi karibuni, kama kunatana kwa wagoni, mwizi kurudisha gari akicheza ndombolo napata shida kutowavulia Wakenya kofia. Sangoma wa bongo utapoteza pesa zako tu.

Huo ulikuwa ukora wa waganga bandia waliokuwa wakitaka wateja. Kulikuwa na CCTV Cameras ambazo zishaonyesha kuwa ulikuwa to ni utapeli mtupu. Tayari washfikishwa mahakamani.

Kuna mambo mawili ambayo mie huskia kutoka TZ:

1. Kuna kabila la watu wanaoitwa wachaga amba ni wachawi sana.
2. Kuna waislamu wengi TZ kushinda Kenya, na mara nyingi kenya ukitaka kuifanya biashara hii, ni lazima ujiite Sheikh Abdulaziz ndiposa upate wateja
 
Huo ulikuwa ukora wa waganga bandia waliokuwa wakitaka wateja. Kulikuwa na CCTV Cameras ambazo zishaonyesha kuwa ulikuwa to ni utapeli mtupu. Tayari washfikishwa mahakamani.

Kuna mambo mawili ambayo mie huskia kutoka TZ:

1. Kuna kabila la watu wanaoitwa wachaga amba ni wachawi sana.
2. Kuna waislamu wengi TZ kushinda Kenya, na mara nyingi kenya ukitaka kuifanya biashara hii, ni lazima ujiite Sheikh Abdulaziz ndiposa upate wateja
Wasukuma ndio wachawi
 
Huo ulikuwa ukora wa waganga bandia waliokuwa wakitaka wateja. Kulikuwa na CCTV Cameras ambazo zishaonyesha kuwa ulikuwa to ni utapeli mtupu. Tayari washfikishwa mahakamani.

Kuna mambo mawili ambayo mie huskia kutoka TZ:

1. Kuna kabila la watu wanaoitwa wachaga amba ni wachawi sana.
2. Kuna waislamu wengi TZ kushinda Kenya, na mara nyingi kenya ukitaka kuifanya biashara hii, ni lazima ujiite Sheikh Abdulaziz ndiposa upate wateja
Wachaga? Tuheshimiane mkuu. Wanapoendaga December makwao sio kufanya uchawi, ni kukutana na Ndugu na familia na kujuana hali na kusheherekea.

Kenya kuna wachawi wengi tu sana, mnaisingiziaga Tz lakini recently vitendo vikubwa vya kichawi vinatokea kwenu.
 
Sio Wakenya tu, bali dunia yote inawajua Watanzania kuwa wachawi na washirikina, haswa matukio yenu ya kuwachinja albino yameangazwa dunia yote. Hii hapa orodha ya nchi zinazoongona kwa imani za kishirikina duniani, humo mumetajwa

1. Indonesia
2. Democratic Republic of Congo
3. Ghana
4. Colombia
5. Uganda
6. Papua New Guinea
7. India
8. Nepal
9. Gambia
10. Tanzania
http://www.therichest.com/rich-list/11-countries-that-still-believe-in-witchcraft/
 
Sio Wakenya tu, bali dunia yote inawajua Watanzania kuwa wachawi na washirikina, haswa matukio yenu ya kuwachinja albino yameangazwa dunia yote. Hii hapa orodha ya nchi zinazoongona kwa imani za kishirikina duniani, humo mumetajwa

1. Indonesia
2. Democratic Republic of Congo
3. Ghana
4. Colombia
5. Uganda
6. Papua New Guinea
7. India
8. Nepal
9. Gambia
10. Tanzania
http://www.therichest.com/rich-list/11-countries-that-still-believe-in-witchcraft/
Nigeria na Haiti haipo top ten? Huu ni uwongo

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Nigeria na Haiti haipo top ten? Huu ni uwongo

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?

Halafu haya mabango yamejaa kwetu

20160428_090134.jpg
 
hahaa
Mara nyingi nimekuwa nikisikia Wakenya wakisema watanzania ni Wachawi sana. Huwa sielewi hii notion imetoka wapi.

Lakini nikifikiria matukio ya hivi karibuni, kama kunatana kwa wagoni, mwizi kurudisha gari akicheza ndombolo napata shida kutowavulia Wakenya kofia. Sangoma wa bongo utapoteza pesa zako tu.
kwanza,that was a stage managed act by a mganga kutoka Uganda. secondly kuna mabango sehemu nyingi kama hayo MK254 amepost ya "mganga kutoka tanzania" which makes it evident
 
Sio Wakenya tu, bali dunia yote inawajua Watanzania kuwa wachawi na washirikina, haswa matukio yenu ya kuwachinja albino yameangazwa dunia yote. Hii hapa orodha ya nchi zinazoongona kwa imani za kishirikina duniani, humo mumetajwa

1. Indonesia
2. Democratic Republic of Congo
3. Ghana
4. Colombia
5. Uganda
6. Papua New Guinea
7. India
8. Nepal
9. Gambia
10. Tanzania
http://www.therichest.com/rich-list/11-countries-that-still-believe-in-witchcraft/
duu hii noma sana...DRC nasikia uchawi sana na bure..
 
Halafu haya mabango yamejaa kwetu

View attachment 584774
hao ni matapeli tu kama matapeli wengine wa kawaida.wanaiba pesa ya wakenya kiulaini kwa kisingizio cha mganga toka sumbawanga-tanzania.

kwa hakika "wanawapiga" wakenya wengi sana huko.

wanafanya hivo wakijua kwamba wakenya wengi ni waamini na washiriki wa mambo ya ushirikiana,hasa hasa ushirikina wa kutafuta utajiri.

NB:
mganga halisi aliyebobea katika kazi yake ya uganga hua hajitangazi kwa mabango ya barabarani bali kazi yake kwa kupitia wale aliowafanikishia ndio humtangaza.

by the way,hata mimi ni gwiji wa kazi hiyo,kwa mfano toka hapa nilipo jiji dar, naweza nikafanya mambo yangu,halafu wewe huko kenya ukageuka kuwa shoga,ghafla unaanza kutamani "kushughulikiwa" na kila mwanaume hapo nairobi.

usicheze na sisi watz,"gademu iti".[emoji23]
 
Sasa mimi nikisema ni mganga toka Tanzania na ukaniamini kisa nimesema hivyo, nani ni mshirikina kati yetu?

Mi najiona mjasiriamali, mshirikina ni wewe unayedhani nitakupa suluhisho la matatizo yako kupitia manyanga.
 
Huo ulikuwa ukora wa waganga bandia waliokuwa wakitaka wateja. Kulikuwa na CCTV Cameras ambazo zishaonyesha kuwa ulikuwa to ni utapeli mtupu. Tayari washfikishwa mahakamani.

Kuna mambo mawili ambayo mie huskia kutoka TZ:

1. Kuna kabila la watu wanaoitwa wachaga amba ni wachawi sana.
2. Kuna waislamu wengi TZ kushinda Kenya, na mara nyingi kenya ukitaka kuifanya biashara hii, ni lazima ujiite Sheikh Abdulaziz ndiposa upate wateja
duh!
 
Nadhani ni kwa sababu matangazo mengi ya waganga huko Kenya (hasa Nairobi) wanajitambulisha kama waganga kutoka Watanzania, kama ilivyo kwetu waganga wanaona fahari kudai wametoka Nigeria, au Sumbawanga...
Sumbawanga ni wapi?

Pili hyo story ya gari ni vako

Ilikuwa promotion ya sales za uchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ulikuwa ukora wa waganga bandia waliokuwa wakitaka wateja. Kulikuwa na CCTV Cameras ambazo zishaonyesha kuwa ulikuwa to ni utapeli mtupu. Tayari washfikishwa mahakamani.

Kuna mambo mawili ambayo mie huskia kutoka TZ:

1. Kuna kabila la watu wanaoitwa wachaga amba ni wachawi sana.
2. Kuna waislamu wengi TZ kushinda Kenya, na mara nyingi kenya ukitaka kuifanya biashara hii, ni lazima ujiite Sheikh Abdulaziz ndiposa upate wateja
Shekh shalifu majini.

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Sio Wakenya tu, bali dunia yote inawajua Watanzania kuwa wachawi na washirikina, haswa matukio yenu ya kuwachinja albino yameangazwa dunia yote. Hii hapa orodha ya nchi zinazoongona kwa imani za kishirikina duniani, humo mumetajwa

1. Indonesia
2. Democratic Republic of Congo
3. Ghana
4. Colombia
5. Uganda
6. Papua New Guinea
7. India
8. Nepal
9. Gambia
10. Tanzania
http://www.therichest.com/rich-list/11-countries-that-still-believe-in-witchcraft/

Pamoja na kwamba napinga uchawi na uganga kwa sababu inarudisha nyuma maendeleo, lakini hii ya wakenya kusema watanzania ni wachawi imenisaidia sana. Nairobi mtaani kwetu nilikuwa naweza hata kulala mlango wazi na hakuna anayeingia wanasema yule mama ni mtanzania ni wachawi sana. Naacha vitu vyangu nje na vikuta asubuhi.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom