Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Baraghash

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
2,713
Reaction score
1,790
Ukiangalia Tanganyika ni nchi ilioathirika sana na utawala wa Uingereza na hasa katika ukanda huu wa kusini mwa jangwa la Sahara.

1.Kenya na Zanzibar kabla ya kukabidhiwa serikali na uingereza, mtawala huyo alihakikisha anaweka mipaka ya nchi hizi kwa kuzinufaisha! Kenya ambayo awali ilikuwa haina bahari iaipatiwa Mombasa tena kwa gharama.

Zanzibar, kwa upande wake, ilithibitishiwa kimaandishi eneo lake lote inalolimiliki na kuinyima Tanganyika hata umiliki wa fukwe na bahari kuanzia Mombasa mpaka Ras Kanzi, kiasi cha kilomita 120 urefu na upana kilomita 40 na hivyo kuifanya Tanganyika kuwa ni nchi kasoro bahari. Sehemu pekee ya Tanganyika kuwa na bahari ni kuanzia Ras Kanzi kwenda kusini

2.Malawi ambayo pia ilitawaliwa na Uingereza, wao walipewa eneo lote la ziwa mpaka kwenye fukwe za eneo lote la Tanganyika. Lakini ilipokuja mpaka wa Msumbiji na Malawi,Ziwa Malawi liligawiwa nusu kwa nusu. Msumbiji ilikuwa inatawaliwa na wareno.

3.Tanganyika sasa inalazimika kuwa na uchu wa kudaka kila kitu mbele ya macho yao iwe kwa hadaa au kujaribu kujenga hoja bila mafanikio.

4. Uingereza pia ilihusika kunyofolewa kwa Ruanda Urundi kutoka Tanganyika wakati awali ikiwa chini ya mtawala mmoja Ujerumani.

Hivi Tanganyika ilkosa nini kwa Uingereza kustahili kufanyiwa yote haya?Kitu pekee Uingereza ilioifanyia Tanganyika na cha kukumbukwa ni "kuigaia" Mlima Kilimnjaro kutoka nchi ya Kenya.
 
Mada nzuri sana,nafikiri pia ukubwa wa tanganyika ni kama ukubwa wa pua, asilimia.kubwa ya tanganyika ardhi yake haina manufaa,jangwa tu singida yote hiyo,

pia madhara ya vita ya pili na ya kwanza ya dunia,uingereza nafikiri alitaka kubomoa maeneo yote ambayo yalishikiliwa na mjerumani kiuchumi,

kiufupi,tanganyika ililelewa na mama wa kambo(muingereza).

kuna utafiti inadai kwamba Tanganyika na burundi ni nchi zenye watu wenye IQ ya chini sana katika ukanda huu
 
Ukiangalia Tanganyika ni nchi ilioathirika sana na utawala wa Uingereza na hasa katika ukanda huu wa kusini mwa jangwa la Sahara.

1.Kenya na Zanzibar kabla ya kukabidhiwa serikali na uingereza, mtawala huyo alihakikisha anaweka mipaka ya nchi hizi kwa kuzinufaisha! Kenya ambayo awali ilikuwa haina bahari iaipatiwa Mombasa tena kwa gharama.

Zanzibar, kwa upande wake, ilithibitishiwa kimaandishi eneo lake lote inalolimiliki na kuinyima Tanganyika hata umiliki wa fukwe na bahari kuanzia Mombasa mpaka Ras Kanzi, kiasi cha kilomita 120 urefu na upana kilomita 40 na hivyo kuifanya Tanganyika kuwa ni nchi kasoro bahari. Sehemu pekee ya Tanganyika kuwa na bahari ni kuanzia Ras Kanzi kwenda kusini

2.Malawi ambayo pia ilitawaliwa na Uingereza, wao walipewa eneo lote la ziwa mpaka kwenye fukwe za eneo lote la Tanganyika. Lakini ilipokuja mpaka wa Msumbiji na Malawi,Ziwa Malawi liligawiwa nusu kwa nusu. Msumbiji ilikuwa inatawaliwa na wareno.

3.Tanganyika sasa inalazimika kuwa na uchu wa kudaka kila kitu mbele ya macho yao iwe kwa hadaa au kujaribu kujenga hoja bila mafanikio.

4. Uingereza pia ilihusika kunyofolewa kwa Ruanda Urundi kutoka Tanganyika wakati awali ikiwa chini ya mtawala mmoja Ujerumani.

Hivi Tanganyika ilkosa nini kwa Uingereza kustahili kufanyiwa yote haya?Kitu pekee Uingereza ilioifanyia Tanganyika na cha kukumbukwa ni "kuigaia" Mlima Kilimnjaro kutoka nchi ya Kenya.
Ulisoma Historia nusunusu tena chini ya mwalimu asiyejua Historia.
 
Ulisoma Historia nusunusu tena chini ya mwalimu asiyejua Historia.
Nimekubali wala si mbishi,wewe mwenzangu uliosoma100% historia na hukumtaja"your last headmistress History teacher" aliekufunza, nielemishe basi!
 
Nimekubali wala si mbishi,wewe mwenzangu uliosoma100% historia na hukumtaja"your last headmistress History teacher" aliekufunza, nielemishe basi!
Wewe na yule Mzee wa Historia ya Kariakoo hamfundishiki
 
Ukiangalia Tanganyika ni nchi ilioathirika sana na utawala wa Uingereza na hasa katika ukanda huu wa kusini mwa jangwa la Sahara.

1.Kenya na Zanzibar kabla ya kukabidhiwa serikali na uingereza, mtawala huyo alihakikisha anaweka mipaka ya nchi hizi kwa kuzinufaisha! Kenya ambayo awali ilikuwa haina bahari iaipatiwa Mombasa tena kwa gharama.

Zanzibar, kwa upande wake, ilithibitishiwa kimaandishi eneo lake lote inalolimiliki na kuinyima Tanganyika hata umiliki wa fukwe na bahari kuanzia Mombasa mpaka Ras Kanzi, kiasi cha kilomita 120 urefu na upana kilomita 40 na hivyo kuifanya Tanganyika kuwa ni nchi kasoro bahari. Sehemu pekee ya Tanganyika kuwa na bahari ni kuanzia Ras Kanzi kwenda kusini

2.Malawi ambayo pia ilitawaliwa na Uingereza, wao walipewa eneo lote la ziwa mpaka kwenye fukwe za eneo lote la Tanganyika. Lakini ilipokuja mpaka wa Msumbiji na Malawi,Ziwa Malawi liligawiwa nusu kwa nusu. Msumbiji ilikuwa inatawaliwa na wareno.

3.Tanganyika sasa inalazimika kuwa na uchu wa kudaka kila kitu mbele ya macho yao iwe kwa hadaa au kujaribu kujenga hoja bila mafanikio.

4. Uingereza pia ilihusika kunyofolewa kwa Ruanda Urundi kutoka Tanganyika wakati awali ikiwa chini ya mtawala mmoja Ujerumani.

Hivi Tanganyika ilkosa nini kwa Uingereza kustahili kufanyiwa yote haya?Kitu pekee Uingereza ilioifanyia Tanganyika na cha kukumbukwa ni "kuigaia" Mlima Kilimnjaro kutoka nchi ya Kenya.


Tanganyika haijawahi kuwa Koloni la Uingereza!
 
Kasome tena historia. Tanganyika yoote, Kenya, Uganda, sehemu za Somalia na mpaka Kongo zilikuwa chini ya Zanzibar. Ni Waingereza, Wajerumani, Wabeleji ndio walioinyofoa Zanzibar kwa awamu!
 
Hivi lini Tanganyika ilikua chini ya Ujerumani? Mimi najua 1922 ndio kuzaliwa kwa Tanganyika tena china ya Muingereza ... Kabla ya hapo tulikua na Germany East Africa Protectorate ambayo leo ndo Burundi, Rwanda na Tanganyika iliyokufa 26/04/1964
 
mimi na mwalim wangu wa histoty tuliingia mikataba ya kina-Carl Peters, hakunipenda, sikumpenda, sikulipenda somo lake nika sign kutosoma history kamwe na sitafanya mtihan wake na sikufanya necta-history kweli. but naamin ni vzr kujua historia yako.
 
Kasome tena historia. Tanganyika yoote, Kenya, Uganda, sehemu za Somalia na mpaka Kongo zilikuwa chini ya Zanzibar. Ni Waingereza, Wajerumani, Wabeleji ndio walioinyofoa Zanzibar kwa awamu!
Historia hii umesoma kutoka kwenye kitabu gani?
 
Historia hii umesoma kutoka kwenye kitabu gani?

Vingi tu, karibuni vyote. Anza kwa 'The Lunatic Express" cha Charles Miller. Hiki kinaelezea historia ya kujengwa kwa reli kutoka Mombasa hadi Kampala. Lakini kimeanza kwa historia ya sehemu hii. Kumbuka reli ilijengwa 1887. Kama hakikukutosha, nirudie.
 
Kwa hiyo IQ yako ni ya chini sana?
ya watanganyika,inaanza kuongoza kwa IQ kenya,inafuata zanzibar, rwanda,inafuata uganda,tanzania halafu burundi.
Tanganyika mjerumani ilibidi aje na meli ya bakora ndipo ikajengeka
 
ya watanganyika,inaanza kuongoza kwa IQ kenya,inafuata zanzibar, rwanda,inafuata uganda,tanzania halafu burundi.
Tanganyika mjerumani ilibidi aje na meli ya bakora ndipo ikajengeka
Sawa manaake wewe ni msudani kusini.
 
Kuna athari kubwa sana ya kuandika mambo kwa dhana ya kujenga chuki baina ya watu!
 
Baada ya Ujerumani kushindwa kwenye vita vya kwanza vya dunia, ilinyang'anywa makoloni yake na League of Nations.

Uingereza walipewa Tanganyika kuilea (Protectorate) na sio koloni. Rwanda na Burundi walipewa Ubelgiji. Kwa hiyo Uingereza walikuwa walezi tu na ndio maana hawakujali kuiendeleza. In fact, Uingereza ilikuwa ikichukua mapato yatokayo Tanganyika (mkonge, chai, kahawa, madini, n.k.) na kuwekeza kwenye koloni lake la Kenya.
 
Back
Top Bottom