Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Baada ya Ujerumani kushindwa kwenye vita vya kwanza vya dunia, ilinyang'anywa makoloni yake na League of Nations.

Uingereza walipewa Tanganyika kuilea (Protectorate) na sio koloni. Rwanda na Burundi walipewa Ubelgiji. Kwa hiyo Uingereza walikuwa walezi tu na ndio maana hawakujali kuiendeleza. In fact, Uingereza ilikuwa ikichukua mapato yatokayo Tanganyika (mkonge, chai, kahawa, madini, n.k.) na kuwekeza kwenye koloni lake la Kenya.
Ahsante kwa mchango lakini Tanganyika haikuwahi kuwa Protectorate hata siku moja kwa vile hakukuwa na uongozi wenye kuheshimika kama vile Zanzibar, Malawi na Uganda. Nchi hizi ndio zilikuwa ni Protectorate. Tanganyika ilikuwa ni Territory (1916-1961)

Hata hivyo napata shida sana kutafautisha baina ya Colony na Territory na kwangu naona kama ni sawa tu kwa vile msimamizi anakuwa ima mtu au Taifa.

Naweka hapa maana ya maneno haya mawili kwa lugha ya kiingereza kuhofia kupunguza au kuongeza maana.
“a colony is a territory under the immediate political control of a state” while “a territory is a defined area, including land and waters, considered to be a possession of a person, organization or nation state"
 
Kuna ushahidi gani kuwa Mwigereza aliichukia sana Tanganyika? Hayo uliyoeleza ni madai tu.
 
Ahsante kwa mchango lakini Tanganyika haikuwahi kuwa Protectorate hata siku moja kwa vile hakukuwa na uongozi wenye kuheshimika kama vile Zanzibar, Malawi na Uganda. Nchi hizi ndio zilikuwa ni Protectorate. Tanganyika ilikuwa ni Territory (1916-1961)

Hata hivyo napata shida sana kutafautisha baina ya Colony na Territory na kwangu naona kama ni sawa tu kwa vile msimamizi anakuwa ima mtu au Taifa.

Naweka hapa maana ya maneno haya mawili kwa lugha ya kiingereza kuhofia kupunguza au kuongeza maana.
“a colony is a territory under the immediate political control of a state” while “a territory is a defined area, including land and waters, considered to be a possession of a person, organization or nation state"
You are right, haikuwa protectorate au koloni la Uingereza bali Waingereza walikuwa care takers tu wa Tanganyika. Baada ya WW1 (1919) Tanganyika ilifanywa MANDATE ya League of Nations na Waingereza wakaambiwa waitawale (administration) tu. Off course Waingereza waliitumia Tanganyika kwa manufaa yao kama outpost ya majeshi yao na pia kama sehemu ya kupata mali ghafi ya kuendeshea viwanda vyao na vita ya WW2.

Baada ya WW2 (1946) United Nations (Umoja wa Mataifa wa sasa) kuundwa na hapo Tanganyika ilifanywa UN TRUST TERITORY na kukabidhiwa Uingereza tena kwa ajili ya administration tu.

Kwa hiyo utaona Uingereza walikuwa care takers tu wa Tanganyika na hawakuwa na sababu ya kuiendeleza kama walivyofanya kwenye makoloni yao kama Kenya.
 
Mada nzuri sana,nafikiri pia ukubwa wa tanganyika ni kama ukubwa wa pua, asilimia.kubwa ya tanganyika ardhi yake haina manufaa,jangwa tu singida yote hiyo,

pia madhara ya vita ya pili na ya kwanza ya dunia,uingereza nafikiri alitaka kubomoa maeneo yote ambayo yalishikiliwa na mjerumani kiuchumi,

kiufupi,tanganyika ililelewa na mama wa kambo(muingereza).

kuna utafiti inadai kwamba Tanganyika na burundi ni nchi zenye watu wenye IQ ya chini sana katika ukanda huu
1475850571046.jpg
suala la akili limesha hakikiwa.
 
Ahsante kwa mchango lakini Tanganyika haikuwahi kuwa Protectorate hata siku moja kwa vile hakukuwa na uongozi wenye kuheshimika kama vile Zanzibar, Malawi na Uganda. Nchi hizi ndio zilikuwa ni Protectorate. Tanganyika ilikuwa ni Territory (1916-1961)

Hata hivyo napata shida sana kutafautisha baina ya Colony na Territory na kwangu naona kama ni sawa tu kwa vile msimamizi anakuwa ima mtu au Taifa.

Naweka hapa maana ya maneno haya mawili kwa lugha ya kiingereza kuhofia kupunguza au kuongeza maana.
“a colony is a territory under the immediate political control of a state” while “a territory is a defined area, including land and waters, considered to be a possession of a person, organization or nation state"
Ahsante kwa mchango lakini Tanganyika haikuwahi kuwa Protectorate hata siku moja kwa vile hakukuwa na uongozi wenye kuheshimika kama vile Zanzibar, Malawi na Uganda. Nchi hizi ndio zilikuwa ni Protectorate. Tanganyika ilikuwa ni Territory (1916-1961)

Hata hivyo napata shida sana kutafautisha baina ya Colony na Territory na kwangu naona kama ni sawa tu kwa vile msimamizi anakuwa ima mtu au Taifa.

Naweka hapa maana ya maneno haya mawili kwa lugha ya kiingereza kuhofia kupunguza au kuongeza maana.
“a colony is a territory under the immediate political control of a state” while “a territory is a defined area, including land and waters, considered to be a possession of a person, organization or nation state"

Tatizo lako limeanzia hapo. Kutokujua kilichoandikwa. Kama huwezi kutofautisha kati ya protectorate na territory hayo mengine yatakuwa magumu zaidi kuyajua
 
Baada ya Ujerumani kushindwa kwenye vita vya kwanza vya dunia, ilinyang'anywa makoloni yake na League of Nations.

Uingereza walipewa Tanganyika kuilea (Protectorate) na sio koloni. Rwanda na Burundi walipewa Ubelgiji. Kwa hiyo Uingereza walikuwa walezi tu na ndio maana hawakujali kuiendeleza. In fact, Uingereza ilikuwa ikichukua mapato yatokayo Tanganyika (mkonge, chai, kahawa, madini, n.k.) na kuwekeza kwenye koloni lake la Kenya.

KENYA na Zimbabwe(South Rhodesia) katika Africa hayakuwa makoloni tu bali Settler Colonies sawa na Australia, New Zealand na Canada. Makoloni mengine kama Malawi, Ghana, n.k. yalikuwa makoloni ya kawaida
 
Mada nzuri sana,nafikiri pia ukubwa wa tanganyika ni kama ukubwa wa pua, asilimia.kubwa ya tanganyika ardhi yake haina manufaa,jangwa tu singida yote hiyo,

pia madhara ya vita ya pili na ya kwanza ya dunia,uingereza nafikiri alitaka kubomoa maeneo yote ambayo yalishikiliwa na mjerumani kiuchumi,

kiufupi,tanganyika ililelewa na mama wa kambo(muingereza).

kuna utafiti inadai kwamba Tanganyika na burundi ni nchi zenye watu wenye IQ ya chini sana katika ukanda huu
Ardhi ya tz ni kubwa na haina faida!? Labda kama unaizungumzia Kenya. Tanzania hakuna jangwa ukitaka kuona Jangwa nenda Turkana kaskazini mwa Kenya ndio utaona na kujua Jangwa ni nini.
Hiyo isho ya IQ utakua umetumia makali* yako kufanya hiyo Reseach.
 
Wazenji bana!!
ya watanganyika,inaanza kuongoza kwa IQ kenya,inafuata zanzibar, rwanda,inafuata uganda,tanzania halafu burundi.
Tanganyika mjerumani ilibidi aje na meli ya bakora ndipo ikajengeka
Wazenji bana!! Hiyo IQ yenu ime wasaidia nini!? Kila siku shule zenu zinashika mkia katika matokeo!? Sijawahi kuona mzenje smart sana sana wengi ni malooser na ndio maana hadi leo mnatawaliwa na watu mnao waona hawana IQ kubwa.
 
KARUDI USOME BERLIN CONFERENCE YA 1884-1885 NDIO UTAPATA MAJIBU SAHIHI
 
KENYA na Zimbabwe(South Rhodesia) katika Africa hayakuwa makoloni tu bali Settler Colonies sawa na Australia, New Zealand na Canada. Makoloni mengine kama Malawi, Ghana, n.k. yalikuwa makoloni ya kawaida
Sahihisho. Malawi haikuwa Colony lakini ilikuwa ni Protectorate.Ilikuwa inajuulikana kama "British Central Africa Protectorate (BCA)" kuanzia mwaka 1891- 1907 na baadae ikaitwa Nyasaland Protectorate kuanzia 06 July 1907 mpaka6 July 1964 ilipopata uhuru wake.

https://en.wikipedia.org/wiki/Constitutional_monarchy
Protectorate ni zile nchi ambazo zilikutwa na utawala wa ndani unaoheshimika na kukubalika ambazo ni Constitutional monarchy kama vile Zanzibar,Malawi,Uganda.
 
Wazenji bana!!

Wazenji bana!! Hiyo IQ yenu ime wasaidia nini!? Kila siku shule zenu zinashika mkia katika matokeo!? Sijawahi kuona mzenje smart sana sana wengi ni malooser na ndio maana hadi leo mnatawaliwa na watu mnao waona hawana IQ kubwa.
Sera ya CCM kukandamiza elimu Zanzibar. Zanzibar ilikuwa na wasomi wazuru tu kabla ya Muungano.
 
Wazenji bana!!

Wazenji bana!! Hiyo IQ yenu ime wasaidia nini!? Kila siku shule zenu zinashika mkia katika matokeo!? Sijawahi kuona mzenje smart sana sana wengi ni malooser na ndio maana hadi leo mnatawaliwa na watu mnao waona hawana IQ kubwa.
Waombe radhi, Zanzibar ni chimbuko la elimu. Zanzibar ilikuwa inashindana na shule za London na haijawahi kushuka kumi bora. Ni huu muungano uliotulazimisha tutoke kwenye mfumo ule wa Cambridge na kufuata mfumo wa Mrima"Tanganyika" (Sera ya vijiji vya ujamaa) na hiyo ndio ilioingusha elimu Zanzibar tena kwa makusudi. Wasomi wote wazuri wa Zanzibar mpaka wakati huu ni wale waliosoma ukoloni au kupata msingi kutoka serikali hiyo ya kikoloni. Tunacholazalisha sasa katika elimu hii ya " muungano Tanganyika" ni mazezeta, mazombie na Janjaweed tu.
 
Waombe radhi, Zanzibar ni chimbuko la elimu. Zanzibar ilikuwa inashindana na shule za London na haijawahi kushuka kumi bora. Ni huu muungano uliotulazimisha tutoke kwenye mfumo ule wa Cambridge na kufuata mfumo wa Mrima"Tanganyika" (Sera ya vijiji vya ujamaa) na hiyo ndio ilioingusha elimu Zanzibar tena kwa makusudi. Wasomi wote wazuri wa Zanzibar mpaka wakati huu ni wale waliosoma ukoloni au kupata msingi kutoka serikali hiyo ya kikoloni. Tunacholazalisha sasa katika elimu hii ya " muungano Tanganyika" ni mazezeta, mazombie na Janjaweed tu.
wazee wa kutuletea zilipendwa
 
Watu wamehamaki kwa kusikia IQ zao ndogo na ndio ukweli japo unauma.. mfano mdogo tu ili kujua wa Tz wavivu kufikiri ni swali la kipima joto la I.T.V eti kuna jibu la sijui na kuna watu 20% wanachangia mada na kutoa jibu cjui, sasa kama hujui unapoteza muda wako wa nin kutoa maoni?
 
Sera ya CCM kukandamiza elimu Zanzibar. Zanzibar ilikuwa na wasomi wazuru tu kabla ya Muungano.
Qwi Qwi Qwi.... as usual lazma mumtafute wa kumtupia lawama. Wazenji hii tabia ya kulaumu na kulalamika mmeitoa wapi!? Maana hata waarabu na waturuki nao wakizungumzia Ottoman yao badala ya kutoa sababu za maana wanaanza kwa kulaumu nchi za West!! Ukiona mtu anakutawala, anakukandamiza au amekuvuruga basi ujue amekuzidi akili na wewe ni dhaifu. Hiyo CCM yenu nyie wenyewe si ndio mna ipigia kura kila mara. Unguja siku zoote si inajulikana kama Base ya CCM. Qwi Qwi Qwi....
 
Ukiangalia Tanganyika ni nchi ilioathirika sana na utawala wa Uingereza na hasa katika ukanda huu wa kusini mwa jangwa la Sahara.

1.Kenya na Zanzibar kabla ya kukabidhiwa serikali na uingereza, mtawala huyo alihakikisha anaweka mipaka ya nchi hizi kwa kuzinufaisha! Kenya ambayo awali ilikuwa haina bahari iaipatiwa Mombasa tena kwa gharama.

Zanzibar, kwa upande wake, ilithibitishiwa kimaandishi eneo lake lote inalolimiliki na kuinyima Tanganyika hata umiliki wa fukwe na bahari kuanzia Mombasa mpaka Ras Kanzi, kiasi cha kilomita 120 urefu na upana kilomita 40 na hivyo kuifanya Tanganyika kuwa ni nchi kasoro bahari. Sehemu pekee ya Tanganyika kuwa na bahari ni kuanzia Ras Kanzi kwenda kusini

2.Malawi ambayo pia ilitawaliwa na Uingereza, wao walipewa eneo lote la ziwa mpaka kwenye fukwe za eneo lote la Tanganyika. Lakini ilipokuja mpaka wa Msumbiji na Malawi,Ziwa Malawi liligawiwa nusu kwa nusu. Msumbiji ilikuwa inatawaliwa na wareno.

3.Tanganyika sasa inalazimika kuwa na uchu wa kudaka kila kitu mbele ya macho yao iwe kwa hadaa au kujaribu kujenga hoja bila mafanikio.

4. Uingereza pia ilihusika kunyofolewa kwa Ruanda Urundi kutoka Tanganyika wakati awali ikiwa chini ya mtawala mmoja Ujerumani.

Hivi Tanganyika ilkosa nini kwa Uingereza kustahili kufanyiwa yote haya?Kitu pekee Uingereza ilioifanyia Tanganyika na cha kukumbukwa ni "kuigaia" Mlima Kilimnjaro kutoka nchi ya Kenya.
Muingereza alipokabidhi uhuru kwa Tanganyika alikabidhi uhuru kwenye nchi mipaka ipi ambayo alikabidhiwa na League of Nations?..

Na shughuli hiyo adhimu ilifanyika katika mji/mkoa upi wa nchi gani?..

......
Ninachokiona mara nyingi ni watu wengi wasiopenda Muungano wetu ni ule mkataba/makubaliano ya mgawanyo kati ya eneo miliki la Sultan wa Zanzibar,Muingereza na Mjerumani..bila ya kufahamu hao waliokubaliana walikubaliana kugawana ardhi ya wenyewe bila ridhaa ya wenyewe..maana hakuna mzawa halisi na asili alieshirikishwa katika mchakato mzima wa hayo makubaliano..huo mkataba naufananisha na ule mkataba wa matumizi ya maji mto Nile pamoja na chanzo chake ambacho ni ziwa victoria..mwenye haki ya kuyatumia yale maji kwa mujibu wa ule mkataba ni Misri peke yake hata msukuma haruhusiwi kuyagusa..
 
Kasome tena historia. Tanganyika yoote, Kenya, Uganda, sehemu za Somalia na mpaka Kongo zilikuwa chini ya Zanzibar. Ni Waingereza, Wajerumani, Wabeleji ndio walioinyofoa Zanzibar kwa awamu!
Unamaanisha hayo maeneo yalikua chini utawala wa Wenyeji wa Zanzibar au chini ya utawala wa Sultan wa Zanzibar..?..
 
Back
Top Bottom