Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Hoja hii inapapaswa tu! Haijachimbuliwa ipasavyo! Hivi Kuna Tanganyika ngapi?uingereza ngapi? Historia ngapi?
 
Mimi huku sina mchango wa kutosha ngoja niwapishe,, ingekuwa ni masuala ya Trial Balance na Manufacturing A/c ningekuwa na kamchango ka mawazo kudogo,, mngekuwa mnazungumzia habari ya Direct na Indirect Cost Aisee tungekuwa pamoja Lakini hiz habar za akina Carl Peter na Chief Mangungo Acha tukae pembeni tusome Comments zenu tu.
 
Unamaanisha hayo maeneo yalikua chini utawala wa Wenyeji wa Zanzibar au chini ya utawala wa Sultan wa Zanzibar..?..
Sultan wa Zanzibar ni mzaliwa na mwenyeji wa Zanzibar
 
Baada ya Ujerumani kushindwa kwenye vita vya kwanza vya dunia, ilinyang'anywa makoloni yake na League of Nations.

Uingereza walipewa Tanganyika kuilea (Protectorate) na sio koloni. Rwanda na Burundi walipewa Ubelgiji. Kwa hiyo Uingereza walikuwa walezi tu na ndio maana hawakujali kuiendeleza. In fact, Uingereza ilikuwa ikichukua mapato yatokayo Tanganyika (mkonge, chai, kahawa, madini, n.k.) na kuwekeza kwenye koloni lake la Kenya.
Kumbe sie tulikuwa chanzo cha malighafi tu,ndio maana uchumi wa kenya uko juuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom