Kwanini Wakoloni wa Kingereza waliichukia Tanganyika?

Hoja hii inapapaswa tu! Haijachimbuliwa ipasavyo! Hivi Kuna Tanganyika ngapi?uingereza ngapi? Historia ngapi?
 
Mimi huku sina mchango wa kutosha ngoja niwapishe,, ingekuwa ni masuala ya Trial Balance na Manufacturing A/c ningekuwa na kamchango ka mawazo kudogo,, mngekuwa mnazungumzia habari ya Direct na Indirect Cost Aisee tungekuwa pamoja Lakini hiz habar za akina Carl Peter na Chief Mangungo Acha tukae pembeni tusome Comments zenu tu.
 
Unamaanisha hayo maeneo yalikua chini utawala wa Wenyeji wa Zanzibar au chini ya utawala wa Sultan wa Zanzibar..?..
Sultan wa Zanzibar ni mzaliwa na mwenyeji wa Zanzibar
 
Kumbe sie tulikuwa chanzo cha malighafi tu,ndio maana uchumi wa kenya uko juuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…