Kwanini wakoloni wameamua kutembelea makoloni yao kwa mpigo

Kwanini wakoloni wameamua kutembelea makoloni yao kwa mpigo

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Juzi kati Mfalme wa Uingereza katua pale Kibera, nchini Kenya. Hatujakaa sawa Rais wa Ujerumani katia nanga hapa Tanzania.

Wote kwanza wakaomba msamaha na radhi juu ya unyama waliotenda Babu zao katika ardhi hizi mbili, kuua na kuwafanya watumwa Majimaji warriors kwa Ujerumani hapa Tanzania na Maumau warriors kwa upande wa uingereza pale Kenya.

Ni kama hawa Wakulungwa walikuwa na mission yao, maana ngozi nyeupe iko mbele ya muda sana kuzidi ngozi nyeusi. Unaweza kudhani ni Presidential visit ya kawaida tu, kumbe ni patrol ya wazee wa kazi.
 
Wanakuja na gia mpya iliyoboreshwa kutaka kutaka kurudi ki namna katika makoloni yao. Wameona china na urusi wanawapiku huku wenyewe ndiyo waliyotawala moja kwa moja kwa kuweka magavana wao. Ujerumani na uingereza zimekumbuka makoloni yao waliyoyaacha miaka mingi. Ufaransa iliendelea kuwepo kuwepo kwenye makoloni yake mpaka miaka hii na imechokwa haitakiwi
 
Back
Top Bottom