Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Juzi kati Mfalme wa Uingereza katua pale Kibera, nchini Kenya. Hatujakaa sawa Rais wa Ujerumani katia nanga hapa Tanzania.
Wote kwanza wakaomba msamaha na radhi juu ya unyama waliotenda Babu zao katika ardhi hizi mbili, kuua na kuwafanya watumwa Majimaji warriors kwa Ujerumani hapa Tanzania na Maumau warriors kwa upande wa uingereza pale Kenya.
Ni kama hawa Wakulungwa walikuwa na mission yao, maana ngozi nyeupe iko mbele ya muda sana kuzidi ngozi nyeusi. Unaweza kudhani ni Presidential visit ya kawaida tu, kumbe ni patrol ya wazee wa kazi.
Wote kwanza wakaomba msamaha na radhi juu ya unyama waliotenda Babu zao katika ardhi hizi mbili, kuua na kuwafanya watumwa Majimaji warriors kwa Ujerumani hapa Tanzania na Maumau warriors kwa upande wa uingereza pale Kenya.
Ni kama hawa Wakulungwa walikuwa na mission yao, maana ngozi nyeupe iko mbele ya muda sana kuzidi ngozi nyeusi. Unaweza kudhani ni Presidential visit ya kawaida tu, kumbe ni patrol ya wazee wa kazi.