Mkuu kwani waliondoka lini? Nauliza hivyo kwa sababu!
1. Lugha rasmi tunayo tumia kwenye mawasiliano muhimu ya ndani na kimataifa ni Kwao.
2. Mfumo wa uendeshaji serikali, Bunge na mahakama tunaotumia ni wa kwako
3. Tunaabudu kwa kutumia dini na vitabu vyao vya imani.
4. Tunakopa kwao
5. Mfumo wa elimu ni wa kwao.
6. Mfumo wa uchumi tunaotumia ni wa kwao.
5. Fedha tunazotumia kuagiza vitu mbali mbali kimataifa ni ya kwao
7. Mfumo wa siasa wa kidemokrasia ni wa kwao.
8. Teknolojia ya viwanda, usafirishaji, afya na habari ni ya kwao.
9. Silaha, taratibu na mifumo ya usalama na ulinzi ni wataifa ni ya kwao
10. Starehe, sanaa na muziki tunaomba na kuburudisha ni ya kwao.
Mkuu hapo unasemaje wa narudi wakati hawakuondoka?